Ile njia ya Hiace Kishiri - Igoma haitaguswa kabisa?Mzee ni km 14 coz haitokei pale igoma centre but inatokea barabara ya ndofe had st marrys
Ndio Raman ya hyo barabara sio hapo ni st marrysIle njia ya Hiace Kishiri - Igoma haitaguswa kabisa?
Ikitokea St Marry itakuwa imeunganisha nyamhongolo stendi na buhongwaMzee ni km 14 coz haitokei pale igoma centre but inatokea barabara ya ndofe had st marrys
Nimemependa namna unavyoeleza experience yako .Stand ya mabus nyegezi ni kama imeisha wapo asilimia 98 baadh ya sehemu wameanza kutoa mabati ya kuzunguka ukuta sahv hata ukitembea kwa miguu unaona kinachofanyika af kule juu ya sehemu wanapoingilia abiria wamepalabel kwa maandishi ya taa "stand kuu ya mabus nyegezi"
Ndio plan yake hyoIkitokea St Marry itakuwa imeunganisha nyamhongolo stendi na buhongwa
Mwasonge ipo mbele ya nyakagwe na bulale hyo ipo wilaya ya misungwi nyuma ya mita 200 ndio mpaka wa wilaya ya nyamagana na misungwi mbele yake ni njia inaenda kutokea bukumbi kwny Lami ya usagaraMwasongwe Iko wap
HIV ni eneo ambalo linapakana na ziwa ukiwa pale buhongwa,unaona Kwa mbali kama swamp flan Kuna Majengo mengi panaitwajMwasonge ipo mbele ya nyakagwe na bulale hyo ipo wilaya ya misungwi nyuma ya mita 200 ndio mpaka wa wilaya ya nyamagana na misungwi mbele yake ni njia inaenda kutokea bukumbi kwny Lami ya usagara
Oky ..ndio Iko upande wa dampo la buhongwa!!?Mwasonge ipo mbele ya nyakagwe na bulale hyo ipo wilaya ya misungwi nyuma ya mita 200 ndio mpaka wa wilaya ya nyamagana na misungwi mbele yake ni njia inaenda kutokea bukumbi kwny Lami ya usagara
Exactly ni ziwan pale pamepakana na buhongwaHIV ni eneo ambalo linapakana na ziwa ukiwa pale buhongwa,unaona Kwa mbali kama swamp flan Kuna Majengo mengi panaitwaj
Five stars hotel ndio hotel za namna gani?Hivi Mwanza kuna Five stars hotel ? Usiniuluze kama Arusha ipo maana zipo.
Ni hotel zenye standard ya juu ya kimataifa.yaani hata rais wa nchi anaweza kulala humo...lazima ziwe na huduma zote na zenye wa Hali ya juu.. lodging, restaurant,internet connectivity,bar ,lounge, parking, playground,nkFive stars hotel ndio hotel za namna gani?
Five star ndio zikoje?kuna mtu kauliza kama kuna five stars hotel mwanza. hotel zilizopo kwasasa hakuna five star ila zilizopo ni nzuri tutaupload picha zake. The only five star hotel ni ile ya nssf ambayo bado ipo kwenye ujenzi.
Yaani lodge, internet, bar, lounge, na parking Mwanza hakuna hotel yenye vitu hivyo? Playground sijaelewa ni nini, uwanja wa mpira au?Ni hotel zenye standard ya juu ya kimataifa.yaani hata rais wa nchi anaweza kulala humo...lazima ziwe na huduma zote na zenye wa Hali ya juu.. lodging, restaurant,internet connectivity,bar ,lounge, parking, playground,nk
Playground ni eneo la kuchezea na kuburudika ,mfano eneo la watoto .au swimming pool..lakin hizo nimetoa mfano tu wa huduma ambazo hotel ya nyota Tano inatakiwa iwe navyo japo pia sio kila five star Ina hvyo vitu ..Yaani lodge, internet, bar, lounge, na parking Mwanza hakuna hotel yenye vitu hivyo? Playground sijaelewa ni nini, uwanja wa mpira au?
Asante sana mkuu, naomba usichoke kunielewesha. Huwa pia zipo hotel za nyota nne na nyota sita au huwa ni nyota tano tu?Playground ni eneo la kuchezea na kuburudika ,mfano eneo la watoto .au swimming pool..lakin hizo nimetoa mfano tu wa huduma ambazo hotel ya nyota Tano inatakiwa iwe navyo japo pia sio kila five star Ina hvyo vitu ..
Mara nyingi mwisho nyota 5Asante sana mkuu, naomba usichoke kunielewesha. Huwa pia zipo hotel za nyota nne na nyota sita au huwa ni nyota tano tu?