View attachment 2344966
Hili eneo linakuja vizuri.
Watu wa mipango miji waliangalie majengo yasibanane kama kariakoo, na kila anayejenga wahakikishe ana parking
[/QUOTE
View attachment 2344966
Hili eneo linakuja vizuri.
Watu wa mipango miji waliangalie majengo yasibanane kama kariakoo, na kila anayejenga wahakikishe ana parking
[/QUOTE
Unaonekana mzururaji sana wewe, 🤣🤣🤣TATHMIN YA UKUAJI MJI 2013 HADI 2022
2013 mji uliishia mkolani ilemela,igoma , buswelu center,.
2014 buhongwa,kahama, kiseke palikuwa Kwa kasi sana mji ulisogea huku
2015 ujenzi nyamhongolo ulishika kasi ,route ya kishiri buhongwa ilipafanya kishiri iwe suburbs ya mji ,
2016 kuanzishwa kwa ruti ya nyanshishi to kisesa na stendi ya nyashishi .kulipafanya nyashishi iwe suburbs ya ujenzi mwanza
2017 nyamhongolo ulianza kuungana na kisesa , buhongwa ikaungana na bulale,isebanda ,na lwanhima,
2018 mahina kati palikoma kuwa kijijini ,ikaanza kuunganisha mhandu ,machinjioni,na kakebe
2019 kahama ilianza kuelekea ilalila ikaungana na nyamadoke na nyamhongolo
2020 bugarika,kuja igelegele ,ipuli Hadi mahina alliance palikoma kuwa kijijini
2021 kisesa ilianza kukua kuelekea kishiri, kuelekea isangijo,na kuelekea Kona ya fela . Usagara ikaungana na mwanza kupitia nyangomango na nyanshishi
2022 kishiri inakua kuelekea kuungana na buhongwa, luchelele kumeanza kuchangamka .mkuyuni kupitia mahina relini ,kanyerere Hadi nyagurugru pameacha kuwa kijijini
MAENEO YANAYOKUA SANA MWANZA
1 kishiri 2 nyashishi 3 kisesa 4 nyamadoke 5 buhongwa 6 kiseke 7 Usagara 8 buswelu 9 kakebe 10 mahina kati
Note : si maeneo yote ya mwanza nayajua nimeweka experience yangu tu . unaruhusiwa kurekebisha
Mwanza n mji mzur asilia hautegemi san majengo kua mzurhii inaifany kua tofaut na miji yote Africa masharik nawaza km ingekua na projects kubw za majengo sjui ingekuaje..pasingetosha
Nilipasahau ..nyasaka ,nyasaka ni best place sana ,..na sa hv Kuna ruti ya kisesa airport kupitia nyasaka ...Pako hot sana..Unaonekana mzururaji sana wewe,
Maeneo ya kabuhoro pia yana changamkia bila kusahau nyasaka
Private sector imeachiwa Hilo eneo
🤣🤣🤣🤣🤣 Kama Mimi tu enzi hizo nasoma advance nilikuwa natoka butimba magereza kwa miguu napita chake chake napasulia igogo natokea bugando then mjini kati natokea daraja la wamasai huyo mpaka lake. Wakati wakurudi home napita huku station nafuta reli mpaka voil halafu Rami mpaka nafika home. Nishawahi kutoka butimba kwa miguu nikaenda buzuruga, kangae nikatokea buswelu nikarudi kwa miguu through the same route . Daaah haya maisha bhana🤣🤣🤣Nilipasahau ..nyasaka ,nyasaka ni best place sana ,..na sa hv Kuna ruti ya kisesa airport kupitia nyasaka ...Pako hot sana..
kwenye kuzurura Ni hobby yangu aisee.napenda sana utalii wa matembezi ,,nishawahi tembea Toka mkuyuni Hadi pasiasi nikaunganisha pasiasi Hadi buzuruga nikaunganisha buzuruga Hadi mkuyuni kupitia mahina kati na ipuli huko ..hii ilinisaidia kufahamu maeneo mengi
Safi sana kaka. Hata mimi kipindi naishi mza nilikuwa napenda sana kuzurura, na hata nikirudi ntafanya hivyo tena nataka niwe na drone camera niombe kibali kabisa halafu nitakushtua tuzurure vizuri, hii ni kama miaka 5 ijayo najua na mji utakuwa umebadilika sana, tuombe uzima.Nilipasahau ..nyasaka ,nyasaka ni best place sana ,..na sa hv Kuna ruti ya kisesa airport kupitia nyasaka ...Pako hot sana..
kwenye kuzurura Ni hobby yangu aisee.napenda sana utalii wa matembezi ,,nishawahi tembea Toka mkuyuni Hadi pasiasi nikaunganisha pasiasi Hadi buzuruga nikaunganisha buzuruga Hadi mkuyuni kupitia mahina kati na ipuli huko ..hii ilinisaidia kufahamu maeneo mengi
Huko nitapafika picha nitakuja nazo hapa. Ni kati ya maeneo yanayojengwa mijumba ya hatariSafi sana kaka. Hata mimi kipindi naishi mza nilikuwa napenda sana kuzurura, na hata nikirudi ntafanya hivyo tena nataka niwe na drone camera niombe kibali kabisa halafu nitakushtua tuzurure vizuri, hii ni kama miaka 5 ijayo najua na mji utakuwa umebadilika sana, tuombe uzima.
Upande wa bwiru kuelekea malaika mpaka airport huko naona yanashushwa mahekalu sio nyumba tena.
Vipi Igombe nilifika huko zamani sana ila pako strategic sana wakipapanga vizuri.
Kama Mimi tu enzi hizo nasoma advance nilikuwa natoka butimba magereza kwa miguu napita chake chake napasulia igogo natokea bugando then mjini kati natokea daraja la wamasai huyo mpaka lake. Wakati wakurudi home napita huku station nafuta reli mpaka voil halafu Rami mpaka nafika home. Nishawahi kutoka butimba kwa miguu nikaenda buzuruga, kangae nikatokea buswelu nikarudi kwa miguu through the same route . Daaah haya maisha bhana
![]()


mtu anaweza asiamini akajua fixWelcome.. brother igombe ni barabara tu ni mbovu ,,wakirekebisha barabara patakuwa Bomba sanaSafi sana kaka. Hata mimi kipindi naishi mza nilikuwa napenda sana kuzurura, na hata nikirudi ntafanya hivyo tena nataka niwe na drone camera niombe kibali kabisa halafu nitakushtua tuzurure vizuri, hii ni kama miaka 5 ijayo najua na mji utakuwa umebadilika sana, tuombe uzima.
Upande wa bwiru kuelekea malaika mpaka airport huko naona yanashushwa mahekalu sio nyumba tena.
Vipi Igombe nilifika huko zamani sana ila pako strategic sana wakipapanga vizuri.
Mimi nilikuwa natembea mara nyingi kwa miguu kutokea Pasiansi, kupitia Kiloleli, Nyasaka Cassanova mpaka Buzuruga, Nundu, Nyakato Mecco mpaka National.🤣🤣🤣🤣🤣 Kama Mimi tu enzi hizo nasoma advance nilikuwa natoka butimba magereza kwa miguu napita chake chake napasulia igogo natokea bugando then mjini kati natokea daraja la wamasai huyo mpaka lake. Wakati wakurudi home napita huku station nafuta reli mpaka voil halafu Rami mpaka nafika home. Nishawahi kutoka butimba kwa miguu nikaenda buzuruga, kangae nikatokea buswelu nikarudi kwa miguu through the same route . Daaah haya maisha bhana🤣🤣🤣
Timu ya wazururaji inaongezeka,🤣🤣🤣🤣🤣 Kama Mimi tu enzi hizo nasoma advance nilikuwa natoka butimba magereza kwa miguu napita chake chake napasulia igogo natokea bugando then mjini kati natokea daraja la wamasai huyo mpaka lake. Wakati wakurudi home napita huku station nafuta reli mpaka voil halafu Rami mpaka nafika home. Nishawahi kutoka butimba kwa miguu nikaenda buzuruga, kangae nikatokea buswelu nikarudi kwa miguu through the same route . Daaah haya maisha bhana🤣🤣🤣
Ambacho nimegundua wengi tuliomo humu ni wenyeji wa mwanza lakini hatupo mwanza...walioko mwanza now .hawapo active kwenye Uzi ndo maana Kuna baadhi ya update hatuzipati Kwa wakati .now nipo kahama ila nikitua hapo ,, update zitakuwa za kutoshaTimu ya wazururaji inaongezeka,
Na wewe nakuongeza kwenye list![]()
Wew ni WA zaman sana..mwanza ya kikwete huko ,Mimi nilikuwa natembea mara kwa miguu kwa mara ni kutokea Pasiansi, kupitia Kiloleli, Nyasaka Cassanova mpaka Buzuruga, Nundu, Nyakato Mecco mpaka National.
Enzi hizo ni vumbi hiyo Barbara na Nyasaka bado ni nje ya mji. Naambiwa Sasa hivi hiyo Barbara ni Mkeka na Nyasaka hapashikiki![]()


Acha kabisa kakaTimu ya wazururaji inaongezeka,
Na wewe nakuongeza kwenye list😄😄
Mwaka huu lazima nitie timu Mwanza aisee!Wew ni WA zaman sana..mwanza ya kikwete huko ,![]()
Wewe ni jirani, mimi nimekulia Nyakato mecco, nyasaka ilikuwa kijijini, mahina ilikuwa kijijini, buswelu, kangae, nyamhongolo, nyamadoke, kishiri, kisesa, ilalila, kahama, sangabuye nk vilikuwa vijiji hasa.Mimi nilikuwa natembea mara kwa miguu kwa mara ni kutokea Pasiansi, kupitia Kiloleli, Nyasaka Cassanova mpaka Buzuruga, Nundu, Nyakato Mecco mpaka National.
Enzi hizo ni vumbi hiyo Barbara na Nyasaka bado ni nje ya mji. Naambiwa Sasa hivi hiyo Barbara ni Mkeka na Nyasaka hapashikiki😁
Siku hizi filling station naona zinaipamba barabara ya Buswelu-Kahama na zitaongezeka uelekeo wa Sangabuye mpaka Igombe na KayenzeWewe ni jirani, mimi nimekulia Nyakato mecco, nyasaka ilikuwa kijijini, mahina ilikuwa kijijini, buswelu, kangae, nyamhongolo, nyamadoke, kishiri, kisesa, ilalila, kahama, sangabuye nk vilikuwa vijiji hasa.
Barbara ya lami ilikuwa mjini kati hadi pasiasi, kipindi hicho pasiasi ilikuwa route yenye daladala nzuri sikuwahi kuona sehemu yoyote Tz.
Stendi ya basi ilikuwa moja tu pale Tanganyika bus ndio baadae wakajenga ya buzuruga and then nyegezi.
Miti mirefu kulikuwa na tope balaa, dah