Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

, hivi kweli hii bara bara ya nata kisesa kuwekwa njia nne hawa watu hawaioni?? Na hii bara bara ya posta usagara kuwa njia nne mpaka sita nayo hawaioni!! Hii kadhia ya jam mjini hapa hawa viongozi wetu hawaoni aibu???
 
, hivi kweli hii bara bara ya nata kisesa kuwekwa njia nne hawa watu hawaioni?? Na hii bara bara ya posta usagara kuwa njia nne mpaka sita nayo hawaioni!! Hii kadhia ya jam mjini hapa hawa viongozi wetu hawaoni aibu???
Wameiona ,,,,iko kwenye mipango ujenzi
 
Hii Barbara nilikua inajenfwa upya kumbe ni marekebisho na upanuzi ...
Au mi ndio sijaelewa...
Screenshot_2022-08-16-11-18-10-43.jpg
 
Kwa jiji la mwanza hakuwezi kukosekana mradi angalau hata mmoja mkubwa, na hii itaendelea hivi kwa muda mrefu.

Miradi inayoendelea kujengws
1. Jpm Bridge
2. Sgr
3. Soko kuu
4. Stendi ya nyegezi
5. Chanzo cha maji Butimba.
6. Airport_terminal 1.

Miradi itayoanza muda wowote.
1. Marine rescue centre.
2. Airport _terminal 2.
3. Uboreshaji mto mirongo.
4. 14km buhongwa to Igoma road
5. 9km stendi mpya to buswelu.
6. Soko la kirumba.
7. Soko la mkuyuni
8. DIT Mwanza Campus.

Miradi tarajiwa.
1. 25km njia nne mwanza usagara
2. 20km njia nne mwanza kisesa.
3. 42km Igombe Nyanguge road.
4. Mwanza south port.
5. Buzuruga commercial complex.
6. Bugando cardiac institute 15f.


Mpaka hii yote ije kuisha kutakuwa na miradi mingine itaanza.
NB: miradi tajwa ni ile ninayojua mimi tu. Najua kuna miradi binafsi kama Mega Mall Complex 19f, Nyakato National.
 
Nyafula, Sangabuye pamekuwa pamoto, sqm 24,500/-. Baada ya miaka 5 sijui kama patakamatika.
Screenshot_20220818-211244.jpg


Hata watakaofanikiwa kujenga, hawatatutania
 
Back
Top Bottom