macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,822
- 39,655
Huyu ni zimepungua kichwani tu. Mambo ya ukatili hajui. Upepo unakoelekea na yeye ni huko huko. Inaonekana akipata msosi na bia wala hawazi kingine. Ila mahesabu safari hii yameenda kombo. Unajua alipoteuliwa kuendelea na ukuu wa mkoa akafikiri mizaha yake ya wakati wa mwendazake ndiyo imemfanya mama amkubali. Hivyo akajaribu kuendeleza ili apendwe zaidi. Kumbe alikosea mahesabu.Yaan mm ilikua nikimuona naanza kucheka...ameniuma...ila huyu hajatocha watu kama sabaya na makonda!
Mama hataki manunda awamu hii...yes huyu zimempelea..mwanzoni nilikua najiuliza huko chuoni alikua anafundishaje!.nilikua simpendi balaa..ila ukimfatilia ni comedian mzuri sana...napenda kucheka mno!Huyu ni zimepungua kichwani tu. Mambo ya ukatili hajui. Upepo unakoelekea na yeye ni huko huko. Inaonekana akipata msosi na bia wala hawazi kingine. Ila mahesabu safari hii yameenda kombo. Unajua alipoteuliwa kuendelea na ukuu wa mkoa akafikiri mizaha yake ya wakati wa mwendazake ndiyo imemfanya mama amkubali. Hivyo akajaribu kuendeleza ili apendwe zaidi. Kumbe alikosea mahesabu.
Kinyonge sana.Too Fast .. Under 24 hours tangu kutenguliwa anatakiwa kukabidhi na aondoke haraka..
Picha zinaongea kwa sauti ya juu kuliko manenoView attachment 1815407
Ulimi umemletea njaa kuu!!NENO la MUNGU:
"Vivyo hivyo ulimi nao ni kiungo kidogo, nao hujivuna majivuno makuu. Angalieni jinsi moto mdogo uwashavyo msitu mkubwa sana"
Yakobo 3:5
Anamkabidhi ofisi kabla hata hajaapishwa?
wanaume wanajua kujikaza
mi ningelia
Hahahaaaa akazidi kuichafuaMaisha ni foleni kila siku inasogea, pole sana bwana Chalamila najua sisiem ni jungu kubwa utasogezwa pengine
JPM,alitamba sana,akadharau korona,ikamuondoa,
Makonda,akatamba sana,akaonea sana,alipoenda kugombea ubunge,mwisho wake ukafika,
Huyu chalamila,alionywa sana,akavimbisha kichwa,leo matamshi yake tu,yamemuondoa,
Unahisi watamfanyaje...ungekuwa wewe mjumbe ungepayuka kwa mwenye nchi.?Mama anacheza makida.hatoboi 2025,wajumbe wanamchekiiii ,Kama vile hawaoni.anasumbuka bule kuhangaika na kupanga safu yake,haya mambo yalikuwa enzi zile,kwa ss wajumbe wamejanjaluka .bi mkubwa tulia,acha kuhangaika na mauteuzi,fanya kazi tizione.mpaka ss hakuna jipya kutoka kwake.
Chalamila ni Comedian wala hajali. Haya maisha hatutakiwi kuwa serious sana!Muonekano wa Chalamila hapo ni Kama mtu mwenye kuumia sana
Kwani ni mwalimu wa shule ki kada?Mama hataki manunda awamu hii...yes huyu zimempelea..mwanzoni nilikua najiuliza huko chuoni alikua anafundishaje!.nilikua simpendi balaa..ila ukimfatilia ni comedian mzuri sana...napenda kucheka mno!
Hahahaha hatari sanaChalamila ni Comedian wala hajali. Haya maisha hatutakiwi kuwa serious sana!
Unavumilia tuu, utafanyaje sasa🤣🤣🤣🤣wanaume wanajua kujikaza
mi ningelia
Yes yuko huko kwa academicKwani ni mwalimu wa shule ki kada?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😅Soon anatambulisha album yake mpyaView attachment 1816023
Ama kweli watu wanafani zao looh nimecheka kiboya sana jamani hebu tulieni kidogo basi tumalizie kazi za watuSoon anatambulisha album yake mpyaView attachment 1816023
Yaani huyu nadhan anakipaji cha kuchekesha zaidi ..nimecheka mno..dahAma kweli watu wanafani zao looh nimecheka kiboya sana jamani hebu tulieni kidogo basi tumalizie kazi za watu