Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,079
- 8,219
Ukiona kiongozi anawekwa madarakani na Machinga basi huyo atakuwa kiongozi wa hovyo kupata kutokea (mfano tunao)2025 ni The return of Machinga
Ukiona kiongozi anawekwa madarakani na Machinga basi huyo atakuwa kiongozi wa hovyo kupata kutokea (mfano tunao)2025 ni The return of Machinga
Si tulikubaliana upinzani unachelewesha maendeleo na mkachagua ccmHivi vyama vya upinzani viko wapi kwenye hii issue?? hapo ndio unagundua upinzani wa bongo ni zero kabisa. Sasa mpaka wamsubiri huyo mkimbizi wao alieko belgium aone kwa video ndio halafu aombe interview bbc au deutsche welle. Upinzani bongo mavi kabisa na hautashika dola milele, maana issue ya wamachinga ingewajazia kura...
Yan unataka upange bidhaa barabaran kisha upinzani ukutetee!??upHivi vyama vya upinzani viko wapi kwenye hii issue?? hapo ndio unagundua upinzani wa bongo ni zero kabisa. Sasa mpaka wamsubiri huyo mkimbizi wao alieko belgium aone kwa video ndio halafu aombe interview bbc au deutsche welle. Upinzani bongo mavi kabisa na hautashika dola milele, maana issue ya wamachinga ingewajazia kura...
Tumeachwa Imara X 2 (kiitikio)Machinga zaidi ya 5,000 waliopo katika eneo la Makoroboi jijini Mwanza licha ya kutii agizo la Mkuu wa Mkoa huo Mhandisi Robert Gabriel la kuwataka kupisha katika eneo hilo wamemlilia Rais Samia kwani wamevunja vibanda vyao na hawana eneo mbadala la kufanyia biasha...
Pumbavu zenu mkiambiwa msichague ccm huwa amsikiiHapa ni pale walipokuwa wanabomoa mabanda yao kwenye maeneo yaliyokatazwa.
Sikufurahishwa na Wamachinga kuzagaa kila mahali, lakini kilio chao kimenisikitisha sana, Viongozi waliowatapeli hawa watu na kuwaweka kwenye maeneo hatarishi hadi wakajisahau namna hii walaaniwe haraka.
Unajua pale Makoroboi ndio ilikuwa mlango mmoja ya zamani ? wangesema tuwaache kipindi kile huenda leo kungekuwa hakuna mlango mmoja..., na hawa wa sasa wasingepata sehemu sababu wa zamani wangekuwepo.... pale ndani kuna shule, msikiti na hospitali pia ni njia shortcut ya watu kupita..., kwa watu kuziba barabara hata wanunuzi kupata mahitaji inakuwa shida....Makoroboi si kama kariakoo. Wangewaacha tu hao wa makoroboi. Hakuna barabara za waenda kwa miguu hapo.
Kuna siku uliwasikia upinzani wakitaka machinga wafanye biashara pasipotakiwa?. Yaani wawaruhusu CCM lawama uwape upinzani?Hivi vyama vya upinzani viko wapi kwenye hii issue?? hapo ndio unagundua upinzani wa bongo ni zero kabisa. Sasa mpaka wamsubiri huyo mkimbizi wao alieko belgium aone kwa video ndio halafu aombe interview bbc au deutsche welle. Upinzani bongo mavi kabisa na hautashika dola milele, maana issue ya wamachinga ingewajazia kura...
kwani ww ukipiga kelele si inatosha au mpaka mwanaume aje akuteteeHivi vyama vya upinzani viko wapi kwenye hii issue?? hapo ndio unagundua upinzani wa bongo ni zero kabisa. Sasa mpaka wamsubiri huyo mkimbizi wao alieko belgium aone kwa video ndio halafu aombe interview bbc au deutsche welle. Upinzani bongo mavi kabisa na hautashika dola milele, maana issue ya wamachinga ingewajazia kura...
Enzi hizo machinga walikua wanatembeza bidhaa zao mitaani na kwa Dar kazi hii ilikua inafanywa zaidi na vijana wa kimakonde na ndio hapo lilipotoka jina hili la machinga(chinga,mmakonde)Mabadiliko yoyote huwa ni machungu. Wavumilie, watazoea.
Mama simkubali mambo mengi, lakini kwenye hili nampa heko.
Lazima tuwe systematic sio kufanya biashara kiholela. Lakini bado lawama zangu kwa serikali inayoongozwa na CCM. Miaka yote waliacha umachinga ukue. Enzi hizo nakumbuka ilikua raha kutembea Kariakoo. Kipindi mambo haya yanaanza walikaa kimya hakuna jitihada.
Wameulea uozo.
Tatizo ni siasa nyepesi za viongozi wetu walafi na majuha.
Tuanzie Hapo Maana Waliambiwa Twenty Inawapa Nguvu Kufanya Biashara Popote PaleKwani vitambulisho vyao vimepotelea wapi?
Wamachinga ni wabishi, walilemazwa na Magufuli msigina katiba. Aliwaruhusu kuzagaa mijini kinyume na sheria za mipango miji. Samia alieleza waondoke maeneo yasiyo ruhusiwa, mpaka leo mikoani hawajahama.