Mwanyamaki Kumburuza Mwakyembe mahakamani

Erythropoietin/erythrocyte wew mwakembe alikokosea nin mbona kwanzia 2014 unamwaandama sana DR . Mwakembe,mara oo!!! Hatoki mara anahali ngumu ona sasa ulivyoumbuka na unafiki wako , hivi huyu dr,alikutelekeza akaoa mke mwingine ndio maana una hasira naye
kwanin usiwe hata na chembe ya busara kuanzia kumpokea FISADI ,huku ukipingana na matamshi yako ?
Matusi hayataokoa chochote mkuu , mimi nimetoa taarifa ya uamuzi wa mwanyamaki , kosa langu liko wapi mkuu ?
 
nitajie nchi yenye haki na sheria inayotendeka na kufuatwa 100% - hivi vitu vimewekwa na wanadamu na kuna wakati wanakosea. ila hatuwezi kurudia rudia vitu mpaka mridhike. why?
Wizi wa kura ni lazima upingwe na kila mwenye akili timamu .
 
tafsiri ya demokrasia ya kweli kwa wana UKAWA ni kwamba, uchaguzi unatakiwa upigwe tena, tena na tena mpaka mgombea wao apate kura za kutosha.

Sheria inaruhusu kukata rufaa, ndiyo maana Makamba amesema CCM watakata rufaa majimbo 4 so hata Kyela kama wanaushahidi ni haki yao.
 
Matusi hayataokoa chochote mkuu , mimi nimetoa taarifa ya uamuzi wa mwanyamaki , kosa langu liko wapi mkuu ?

Kosa lako ni hivi mtu akifuatilia thread zako zote za nyuma unaonyesha waziwazi kuwa ni mtu mwenye kisasi na DR ,
 
Kosa lako ni hivi mtu akifuatilia thread zako zote za nyuma unaonyesha waziwazi kuwa ni mtu mwenye kisasi na DR ,

Lengo la jf ni kuwajulisha wadau kile kinachojiri kule waliko , na mimi nawakilisha jf upande huu sasa siwezi kuandika habari za kondoa , halafu hili ni jukwaa la siasa ni vigumu kwa mimi kuweka hapa habari za mavuno ya mpunga halafu chengine ni kwamba kama hakukukuwa na utata kwenye uchaguzi wala nisingeleta habari hii hapa , kumbuka kwamba jf si kichaka cha kuficha maovu .na kiukweli si lengo langu kumchukia daktari bali lengo langu ni kuona kyela ikisonga mbele .
 
Lengo la jf ni kuwajulisha wadau kile kinachojiri kule waliko , na mimi nawakilisha jf upande huu sasa siwezi kuandika habari za kondoa , halafu hili ni jukwaa la siasa ni vigumu kwa mimi kuweka hapa habari za mavuno ya mpunga halafu chengine ni kwamba kama hakukukuwa na utata kwenye uchaguzi wala nisingeleta habari hii hapa , kumbuka kwamba jf si kichaka cha kuficha maovu .na kiukweli si lengo langu kumchukia daktari bali lengo langu ni kuona kyela ikisonga mbele .

Achana na huyo mlalamishi!

Vijana kuanzia 15-45 wanataka mabadiliko nchini. Huyo akili bado imejaa maziwa ya nyonyo za mama yake!!
 
Sasa mbona mlimtelekeza bila msaada ? Mkasubiri mpaka agalagazwe ndio mumuokoe kwa mlango wa uani ! Haya sasa wananchi wa kyela wameuza mpunga na cocoa ili kugharamia kesi mahakama kuu .
Hebu nisaidie Kisheria, kama atakuwa Mbunge wa kuteuliwa na akawa Waziri Mkuu
ninyi mliempeleka Mahakamani akaukosa huo Ubunge wa Kyela mtapata faida gani?
mjaribu kuiga makabila ya wenzenu, hasa wa kaskazini, km wana mgombea yupo ngazi ya juu na hasa uwaziri ni nadra sana kumpinga, ni makabila machache km Wanyakyusa, wagogo ndio ambao hawajali cheo/uwaziri wa mgombea wao ni bora WAKOSE WOTE
nawashauri Harrison Mwakyembe mumuwache tu yeye ni Jembe la Magufuli, kuanzia Kura za maoni CCM mlimchafua
Mkamkodi Lowassa na Kubenea wakammalize kisa tu kasema ukweli kuhusu Richmond
 
Kosa lako ni hivi mtu akifuatilia thread zako zote za nyuma unaonyesha waziwazi kuwa ni mtu mwenye kisasi na DR ,
Kaa kimya wewe.
Mfalme juha ndio mtu wa visasi...alisaidia kuihujumu Kyl fm,...kasaidia kuhujumu Mango tree project....watt na yatima wanawayawaya tu....huyu mfalme hakika yatamrudi..karma itafanya yake tu.
 
Eti hawa ndio watawafunga wezi na mafisadi? Kesi ya ngedere kula mahindi kumpelekea tumbili.

Kweli wajinga ni chakula cha CCM
 
Kama ulidhani sakata la ubunge kyela limemalizika basi futa mawazo hayo , taarifa kutoka kyela zinabainisha kwamba mgombea wa UKAWA Mh Abraham Mwanyamaki anaelekea mahakamani kupinga ubunge wa mwakyembe , tayari wananchi wa kyela wamefahamishwa kupitia mkutano wa hadhara uliofanyika jimboni hapo , inasemekana kuna kata imeongezwa kinyemela huko Mwaya inaitwa serengeti , maana yake ni kwamba safari hii kyela ilikuwa na kata mbili zinazoitwa serengeti ! Moja ya mjini (ambayo ni halali ) na nyingine ya mwaya ( ambayo ni ya magumashi ), tuendelee kutega sikio .

hahahaa! Ktk ubora wako. Halafu sijakuona tangu mwakyembe na tingatinga wachuke nchi.

Mkuu hata mti wa muwese au mchikichi ukiukata na ukishaanguka hakauki moja kwa moja. Palepale chini ulipoangukia unaanza kuchipua matawi mapya hapo ndio unaelekea kuoza. Au bhikuti ulufwilo.

Kwahyo hata mwanyamaki hajakosea ndio anaelekea kuteketea.

Mwenzake lowasa anaenda kuchunga ngombe nayeye aende kwao ikombe kuvua samaki hasa usipa
 
Siyo kihalali tu bali hakushinda kabisa , mpaka leo wananchi wa kyela wanaandamana kwenda kwenye ofisi za mkurugenzi kudai atangazwe mwanyamaki .

acha kuudanganya umma. Ww uko dar unatoa taarifa za kyela wakat sisi tuliopo huku hatujaona kitu kama hyo.

Mkuu nikuulize ulienda kupiga kura kyela?
 
Erythropoietin/erythrocyte wew mwakembe alikokosea nin mbona kwanzia 2014 unamwaandama sana DR . Mwakembe,mara oo!!! Hatoki mara anahali ngumu ona sasa ulivyoumbuka na unafiki wako , hivi huyu dr,alikutelekeza akaoa mke mwingine ndio maana una hasira naye
kwanin usiwe hata na chembe ya busara kuanzia kumpokea FISADI ,huku ukipingana na matamshi yako ?

kuna watu wanamwandama sana mwakyembe na mbaya zaidi kat ya wote wanaomwandama hawaishi kyela. Wengi wanaiangalia kyela pale mjini tu ndio hapo wanamlaumu. Lakn kwamimi niliyekulia kyela tangu enzi za akina kasyupa, mwakipesile na mpaka hii ya mwakyembe hakuna mbunge aliyefanya vzr zaidi ya mwakyembe. Kyela maeneo ya vijijin kuna sehem watu walikuwa wanaliwa na mamba sababu ya ukosefu wa barabara, watu walikuwa wasombwa na maji.

Kuna maeneo kuuona umeme ilibidi mpaka uje kyela mjini, kuna watu wamekunywa maji ya mito tangu uhuru mpaka alipoingia mwakyembe 2005 lakn sasa hvi barabara zinapitika mpaka vijijin sitimbi, umeme mpaka mashamban, maji mpaka yamejaa tele. Lakn bado watu hawaoni tofauti.

Kuna kipindi mwakyembe alikuwa anaonekana adui wa ccm yote hyo kwaajili ya kuipigania maendeleo ya kyela. Lakn yote hayo hawayaoni.

Kwa wanakyela wachache mnaomchukia mwakyembe mjue mnajisumbua. Mungu yu pamoja na mwakyembe atampigania kama alivyompigania kipindi jitu jeupe lilivyotaka kumfanyia figisu.

Mwakyembe hajawakosea wanakyela anatenda kadri ya uwezo wake na kadri bajeti inavyopangwa.
 
Lengo la jf ni kuwajulisha wadau kile kinachojiri kule waliko , na mimi nawakilisha jf upande huu sasa siwezi kuandika habari za kondoa , halafu hili ni jukwaa la siasa ni vigumu kwa mimi kuweka hapa habari za mavuno ya mpunga halafu chengine ni kwamba kama hakukukuwa na utata kwenye uchaguzi wala nisingeleta habari hii hapa , kumbuka kwamba jf si kichaka cha kuficha maovu .na kiukweli si lengo langu kumchukia daktari bali lengo langu ni kuona kyela ikisonga mbele .

mkuu hebu tupe mchango wako kwa maendeleo ya kyela. Maana usije ukalaumu tu mwakyembe wakat kumbe hata kodi yako wanakyela hawaijui.
 
tafsiri ya demokrasia ya kweli kwa wana UKAWA ni kwamba, uchaguzi unatakiwa upigwe tena, tena na tena mpaka mgombea wao apate kura za kutosha.
Vipi kwa tafsiri ya CCM na ZEC Zanzibar? Wao ili demokrasia itamalaki inatakiwa uchaguzi ufutwe na kurudiwa tena hadi mgombea wao ashinde?

Kama dai hilo ni la uzushi, anayeenda mahakamani atapoteza fedha yake bure. Ila kama kweli hiyo kata haipo imewekwa kinyemela, huna sababu ya kutetea ushetani huo.
 
Duuuuuh!!!
Na Gufuli angepingwa pia kama Sheria ingekuwa inaruhusu.



Ibara number 41 ya katiba ya JMT inazungumzia uchaguzi wa raisi. Ninaomba wanasheria mtusaidie kupata ufafanuzi kifungu cha saba.


(6) Mgombea yeyote wa kiti cha Rais atatangazwa kuwaamechaguliwa kuwa Rais iwapo tu amepata kura nyingi zaidikuliko mgombea mwingine yeyote.

(7) Iwapo mgombea ametangazwa na Tume ya Uchaguzikwamba amechaguliwa kuwa Rais kwa mujibu wa ibara hii, basihakuna Mahakama yoyote itakayokuwa na mamlaka yakuchunguza kuchaguliwa kwake.

Ufafanuzi ninaoumba ni kama tangazo la tume juu ya raisi litakuwa na kinga ya kutokuchunguzwa na mahakama yoyote hata pale ambapo maamuzi ya tangazo hilo hayajazingatia matakwa ya Ibara hii ya 41 mfano kama kifungu cha 6 ama chochote kikiwa kimekiukwa.

Kifungu cha saba kinasema wazi "Iwapo mgombea ametangazwa na tume ya uchaguzi kwamba amechaguliwa kuwa raisi kwa mujibu wa ibara hii (ya 41)". Vipi kama kilichotangazwa hakiko kwa mujibu wa ibara hii? Bado tangazo hilo ni legally binding?

Swali lingine, ni chombo gani kinatakiwa kuhakiki compliace ya tume ( iliyopewa nguvu hiyo kwenye) ili kujiridhisha kwamba inachokitangaza kimefanyika inline with stipulations za ibara hii ya 41?


Vipi ikitokea msemaji wa tume, on insanity, corruption, Rebellion, conspiracy, au threat grounds akamtangaza mtu kuwa raisi bila taratibu na mahitaji ya ibara hii ya 41 kufuatwa, bado itakuwa ni lawful, binding and enforceable announcement?

NAOMBA TUJADILIANE NA KUELEIMISHANA KWA HOJA. Na ni vizuri tukiwa tunarejea mfano wa kifungu cha sita hapo juu.
 
Back
Top Bottom