Mwanyamaki Kumburuza Mwakyembe mahakamani

kuna watu wanamwandama sana mwakyembe na mbaya zaidi kat ya wote wanaomwandama hawaishi kyela. Wengi wanaiangalia kyela pale mjini tu ndio hapo wanamlaumu. Lakn kwamimi niliyekulia kyela tangu enzi za akina kasyupa, mwakipesile na mpaka hii ya mwakyembe hakuna mbunge aliyefanya vzr zaidi ya mwakyembe. Kyela maeneo ya vijijin kuna sehem watu walikuwa wanaliwa na mamba sababu ya ukosefu wa barabara, watu walikuwa wasombwa na maji.

Hakuna

Kuna maeneo kuuona umeme ilibidi mpaka uje kyela mjini, kuna watu wamekunywa maji ya mito tangu uhuru mpaka alipoingia mwakyembe 2005 lakn sasa hvi barabara zinapitika mpaka vijijin sitimbi, umeme mpaka mashamban, maji mpaka yamejaa tele. Lakn bado watu hawaoni tofauti.

Kuna kipindi mwakyembe alikuwa anaonekana adui wa ccm yote hyo kwaajili ya kuipigania maendeleo ya kyela. Lakn yote hayo hawayaoni.

Kwa wanakyela wachache mnaomchukia mwakyembe mjue mnajisumbua. Mungu yu pamoja na mwakyembe atampigania kama alivyompigania kipindi jitu jeupe lilivyotaka kumfanyia figisu.

Mwakyembe hajawakosea wanakyela anatenda kadri ya uwezo wake na kadri bajeti inavyopangwa.


Hapo kwenye wekundu ndipo shida. Ni dhahiri kwamb Ccm haiwezi kuendeleza taifa na ndiyo sababu wanakyela hawamtaki mwakyembe na ccm yake. Kama mnajua miaka yote mmeshindwa hatakuwapa maji ya kunywa wakati wanaishi na samaki ziwani, bado unaujasiri gani wa kutaka ccm iendelee kuwanyanyasa?

Kwa nini mlazimishe ikiw ammeshindwa,? Waachieni wenye nchi mlioshindwa kuwahudumia wapate huduma toka kweninge wanakoona kuko bora zaidi!.

Mwakyembe amefanya nini Kyela cha maana? Orodhesha.

Na usidanganye. Daraja lililjengwa na wanajeshi enzi zile ndilo unasema kaejnga mwankyembe?

Kyela kila siku watu na madumu ya utafuta maji. Maji hakuna ni shida tena wako ziwani kila siku mafuriko yanawakimbiza.

Unataka kusema nini juu ya barabara. Unasahau kwamba kila mwaka tunaona vile sehemu mbali mbai za kyela zinakatika wkati wa mvua watu wanatembea wamebeba baiskeli mabegani wakivuka maji ajili ya ukosefu wa barabara?

Wadanganye wengine lakini usiwasemee uwongo wanakyela. Uwongo huo ni wa Mwakyembe tu lakini sisi hapata. "Ubutungulu bubibi fijo".
 
tafsiri ya demokrasia ya kweli kwa wana UKAWA ni kwamba, uchaguzi unatakiwa upigwe tena, tena na tena mpaka mgombea wao apate kura za kutosha.

Usipayuke tafuta ukweli juu ya hiyo kata ya ziada kwanza.usifanye ushabiki kila mahali.onesha angalao tone dogo la weledi uliojaliwa.
 
.

Mwakyembe amefanya nini Kyela cha maana? Orodhesha.

Na usidanganye. Daraja lililjengwa na wanajeshi enzi zile ndilo unasema kaejnga mwankyembe?

Kyela kila siku watu na madumu ya utafuta maji. Maji hakuna ni shida tena wako ziwani kila siku mafuriko yanawakimbiza.

Unataka kusema nini juu ya barabara. Unasahau kwamba kila mwaka tunaona vile sehemu mbali mbai za kyela zinakatika wkati wa mvua watu wanatembea wamebeba baiskeli mabegani wakivuka maji ajili ya ukosefu wa barabara?

Wadanganye wengine lakini usiwasemee uwongo wanakyela. Uwongo huo ni wa Mwakyembe tu lakini sisi hapata. "Ubutungulu bubibi fijo".

mkuu ntapenda sana ukinijibu kwa mifano iliyo hai.
Huko wanakotembea na madumu ni wapi?

Ukisema daraja lilijengwa na wanajeshi hivi lilijengwa baada ya nani kuhitaji hilo daraja?

Hivi umejiuliza kwann halikujengwa miaka yote na lijengwe kwenye kipindi cha mwakyembe?

Yawezekana ww ndio wale wanajiita wanakyela lakn kumbe hata kaburi la babu yake halipo kyela ila inasemekana asili yake n kyela.. Haya twende kaz:

-. Daraja imara kabisa ndani ya kata lusungo.
- barabara kutoka njia panda ipinda kupitia lusungo kupitia hadi mto mabhi sehem ambayo ilijaa viboko na mamba mpaka kisyosyo na kunyoosha hadi matema hyo njia sasa hvi ndio shortcut ukiacha ile ya kuzunguka makwale.
- umeme kutoka ipinda mjini mpaka matema ziwan, zaman ile hospitali ya matema ilikuwa shida kutoa huduma kama a upasuaji sababu ya umeme lakn sasa hvi ile hospital inatoa huduma hizo.

- kutoka ipinda kuingia mpaka khanga ndan huko hakukuwa na barabara lakn sasa hvi magari yanapita japo bado ni kwakiwango cha kokoto.

-bei ya kokoa kilo mpaka mwaka 2004 ilikuwa shi 400 lakn kuanzia mwaka 2005 mwakyembe alivyoanza kulalamika bungen imefikia mpaka 2000 na zaidi.

Sio hapo tu zunguka kata mbalimbali za nje ya mji hayo ni baadhi tu. Msiongelee ushabiki
 
tupe vielelezo vinavyoonesha hajashinda kihalali

Mkuu weka siasa kando, tafuta nduguzo wa Kyela wakusimulie A - Z ilivyokuwa....

Harrison alikuwa kashakatwa na raia karudi kwa nguvu ya CCM
 
pole sana mtoa post kwasababu we kila post yako wewe ni kumkandia MWAKYEMBE ila ndo hivyo kumtoa mwakyembe pale kyela mjipange Sana ikiwezekana mafisadi wote muunganike ili mumtoe lkn sisi wanakyela tunajua nini Dk mwakyembe ametufanyia na hatuwezi kumuangusha tunamuamini na tutaendelea kumuamini mpk 2025
 
Mkuu weka siasa kando, tafuta nduguzo wa Kyela wakusimulie A - Z ilivyokuwa....

Harrison alikuwa kashakatwa na raia karudi kwa nguvu ya CCM

sasa ndg yangu Watu8 kumbe haupo kyela ila usikia tetesi tu. Aisee!! Mm siambiwi sasa haya nmeyaona.
 
Last edited by a moderator:
Ibara number 41 ya katiba ya JMT inazungumzia uchaguzi wa raisi. Ninaomba wanasheria mtusaidie kupata ufafanuzi kifungu cha saba.


(6) Mgombea yeyote wa kiti cha Rais atatangazwa kuwaamechaguliwa kuwa Rais iwapo tu amepata kura nyingi zaidikuliko mgombea mwingine yeyote.

(7) Iwapo mgombea ametangazwa na Tume ya Uchaguzikwamba amechaguliwa kuwa Rais kwa mujibu wa ibara hii, basihakuna Mahakama yoyote itakayokuwa na mamlaka yakuchunguza kuchaguliwa kwake.

Ufafanuzi ninaoumba ni kama tangazo la tume juu ya raisi litakuwa na kinga ya kutokuchunguzwa na mahakama yoyote hata pale ambapo maamuzi ya tangazo hilo hayajazingatia matakwa ya Ibara hii ya 41 mfano kama kifungu cha 6 ama chochote kikiwa kimekiukwa.

Kifungu cha saba kinasema wazi "Iwapo mgombea ametangazwa na tume ya uchaguzi kwamba amechaguliwa kuwa raisi kwa mujibu wa ibara hii (ya 41)". Vipi kama kilichotangazwa hakiko kwa mujibu wa ibara hii? Bado tangazo hilo ni legally binding?

Swali lingine, ni chombo gani kinatakiwa kuhakiki compliace ya tume ( iliyopewa nguvu hiyo kwenye) ili kujiridhisha kwamba inachokitangaza kimefanyika inline with stipulations za ibara hii ya 41?


Vipi ikitokea msemaji wa tume, on insanity, corruption, Rebellion, conspiracy, au threat grounds akamtangaza mtu kuwa raisi bila taratibu na mahitaji ya ibara hii ya 41 kufuatwa, bado itakuwa ni lawful, binding and enforceable announcement?

NAOMBA TUJADILIANE NA KUELEIMISHANA KWA HOJA. Na ni vizuri tukiwa tunarejea mfano wa kifungu cha sita hapo juu.

Hoja nzuri sana hii. Tatizo ni mahakama zetu hasa mahakama ya rufaa kwenye kesi ya mgombea binafsi ilisema sio kazi ya mahakama kuhoji uhalali wa vifungu vya katiba, eti hiyo ni kazi ya wanasiasa na wabunge. Yenyewe eti inatafsiri katiba dhidi ya sheria zinginezo. Lakini hoja yako ni mpya kidogo inaweza kuleta precedent/kanuni mpya ya sheria. Kwa sababu ni kweli lazima tuhoji je hilo tangazo la nec ni kwa mujibu wa katiba hasa ukizingatia kufutwa kwa matokeo znz.
 
Hebu nisaidie Kisheria, kama atakuwa Mbunge wa kuteuliwa na akawa Waziri Mkuu
ninyi mliempeleka Mahakamani akaukosa huo Ubunge wa Kyela mtapata faida gani?
mjaribu kuiga makabila ya wenzenu, hasa wa kaskazini, km wana mgombea yupo ngazi ya juu na hasa uwaziri ni nadra sana kumpinga, ni makabila machache km Wanyakyusa, wagogo ndio ambao hawajali cheo/uwaziri wa mgombea wao ni bora WAKOSE WOTE
nawashauri Harrison Mwakyembe mumuwache tu yeye ni Jembe la Magufuli, kuanzia Kura za maoni CCM mlimchafua
Mkamkodi Lowassa na Kubenea wakammalize kisa tu kasema ukweli kuhusu Richmond
Hivi watanzania tumefikia huku ! Eti mtu aachwe akisigina sheria kisa tunataka awe waziri ? Sasa kama ataharibu katika ngazi ya ubunge unadhani akiwa waziri itakuwaje ?
 
acha kuudanganya umma. Ww uko dar unatoa taarifa za kyela wakat sisi tuliopo huku hatujaona kitu kama hyo.

Mkuu nikuulize ulienda kupiga kura kyela?
Unajua Mgirik hata bado sijajua unachotetea , kama kweli unamuogopa Mungu wako na unajua kilichotendeka kyela tubu dhambi zako , nakuombea msamaha wa nguvu sana kwa muumba , mimi naamini umeteleza tu .
 
Last edited by a moderator:
Unajua Mgirik hata bado sijajua unachotetea , kama kweli unamuogopa Mungu wako na unajua kilichotendeka kyela tubu dhambi zako , nakuombea msamaha wa nguvu sana kwa muumba , mimi naamini umeteleza tu .

sijateleza hata kidogo naongea yaliyotendeka. Baadhi aliyofanya mwakyembe nmeyataja hapo juu ila kama ni uongo yakanushe ww na uniambie nani kayafanya.

Au kukurahisishia nenda pale mbeya mjin kwa jimbo la sugu au iringa mjin kwa msigwa halafu njoo na matokeo waliyoyafanya kwa kipind chao uone kwann namktaa hata mwanyamaki
 
Last edited by a moderator:
sijateleza hata kidogo naongea yaliyotendeka. Baadhi aliyofanya mwakyembe nmeyataja hapo juu ila kama ni uongo yakanushe ww na uniambie nani kayafanya.

Au kukurahisishia nenda pale mbeya mjin kwa jimbo la sugu au iringa mjin kwa msigwa halafu njoo na matokeo waliyoyafanya kwa kipind chao uone kwann namktaa hata mwanyamaki
Ni kijiji gani kilichoahidiwa kuondolewa maji ya kichocho ambacho kimeondolewa , kwanini mradi wa maji wa DANIDA umekufa ? Je kwanini kata feki imechomekwa ili kuwezesha ushindi kwa mtu anayejiamini kumwaga maendeleo kyela ?
 
Vipi kwa tafsiri ya CCM na ZEC Zanzibar? Wao ili demokrasia itamalaki inatakiwa uchaguzi ufutwe na kurudiwa tena hadi mgombea wao ashinde?

Kama dai hilo ni la uzushi, anayeenda mahakamani atapoteza fedha yake bure. Ila kama kweli hiyo kata haipo imewekwa kinyemela, huna sababu ya kutetea ushetani huo.

laiti kama ungejua nini hasa kimetokea Zanzibar ungebadilisha usemi wako. kilichofanyika Zanzibar sio mambo ya uzushi wa kuongeza kata kama Kyela, huko Zanzibar watu wamefanyiwa ugaidi kwenda kupiga kura. yaani system nzima ya upigaji kura ilikuwa infected na watu CUF na nguvu zimetumika. Huo ndio ushetani sio hili swala la Kyela.
 
Ni kijiji gani kilichoahidiwa kuondolewa maji ya kichocho ambacho kimeondolewa , kwanini mradi wa maji wa DANIDA umekufa ? Je kwanini kata feki imechomekwa ili kuwezesha ushindi kwa mtu anayejiamini kumwaga maendeleo kyela ?

DANIDA nani aliyeua? Suala la maji hilo sio la kumlaumu mwakyembe hilo ni wanachi wenyewe.

Kama umetembea sehem mbalimbali utakubaliana namimi kuwa sehem nyingi zinamabomba lakn hayo mabomba yamevunjwa koki na mpaka mengne yamebomolewa yote hii sababu ya uvivu wa wananchi kuhudumia.

Maji waliletewa ila wao kwa uvivu na ubahili wao wanaharibu mabomba na hilo ulitaka mwakyembe ndio akawanunulie koki na kuwanunulia mabomba waliyoyapasua? Wao wanajivunia uwingi wa chem chem.

Kyela ni miongoni mwa wilaya iliyotumia maji bure bila bili kama unabisha na hili sema.
 
Ni kijiji gani kilichoahidiwa kuondolewa maji ya kichocho ambacho kimeondolewa , kwanini mradi wa maji wa DANIDA umekufa ? Je kwanini kata feki imechomekwa ili kuwezesha ushindi kwa mtu anayejiamini kumwaga maendeleo kyela ?

yaani ukimlaumu mwakyembe kwa suala la maji utakuwa una yako moyon. Kyela ni miongon mwa wilaya ambayo kila baada ya mita mia tano unakuta bomba barabaran. Watu sasa hivi wamesambaziwa umeme mpaka vijijin lakn kwa uvuvu wao wameshindwa kuvuta umeme majumban mwao Erythrocyte ongea ukweli na Mungu akuone.

Ukimlalamikia mtu kwa ambayo hayapo unamkosea sana Mungu na kwasababu mnatoa lawama ambazo hazipo ndio mnazidi kumbariki mwakyembe
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom