iArmaniAdamson
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 944
- 287
Usipayuke tafuta ukweli juu ya hiyo kata ya ziada kwanza.usifanye ushabiki kila mahali.onesha angalao tone dogo la weledi uliojaliwa.
swala la Kyela limepelekwa mahakamani, ila hiyo statement yangu ni kuhusu hurka jumuisho ya wana UKAWA. waliposhinda kuna demokrasia ya kweli, wasiposhindwa tupige kura upya hata hawakumbuki wanashindana na chama hiko hiko kila mahali.