Mwanyamaki Kumburuza Mwakyembe mahakamani

1. Kwa hiyo la kuongeza kata huko Kyela ni demokrasia safi?
2. Na hu ugaidi uliotokea Tume imeuona au kuugundua baada ya kutangaza matokeo kwa siku 3? Huo ugaidi kama ulionekana siku ya uchaguzi na kuripotiwa na hao waangalizi au wawakilishi wa vyama vilivyoonewa, kwa nini tume iliendelea na mchakato wa kutangaza matokeo?
3. Nitajie ugaidi huo na jinsi ulivyomwathiri Mzanzibari katika kupiga kura ya Zanzibar pekee na si kura ya Muungano. Au ndiyo ile tumesikia ya kupika nyama ya kuku na kitimoto pamoja halafu unamkaribisha msabato au muislam na kumwambia achambue nyama ya kuku ale aachane na nyama ya kitimoto kwenye sahani moja?

ningependa uchukue nafasi usome tamko la UVCCM walilolitoa asubuhi hii kuhusu mchakato wa uchaguzi Zanzibar, pia chukua muda usome tamko la kuvunja uchaguzi uliotolewa na ZEC. Utapata picha kamili ya nini kilikuwa kinaendelea uchaguzi wa Zanzibar, tangu awamu za awali za kutafuta mzabuni wa kuchapisha karatasi za kura, watu kupiga, kuzuiwa kupiga kura, kujidhihirisha u CUF ndani ya tume, wahesabu kura kujidhihirisha kuwa ni wana CUF. process nzima ilikuwa imepenyezwa na watu wa ndani ya CUF...
 
tafsiri ya demokrasia ya kweli kwa wana UKAWA ni kwamba, uchaguzi unatakiwa upigwe tena, tena na tena mpaka mgombea wao apate kura za kutosha.

Ningeweza kuamini kuwa tumeshinda kihalali kama wenzetu wa ukawa wangekuwa na fursa ya kuthibitisha kuwa matokeo ya urais yalliyokuwa yanatangazwa na mwenyekiti wa tume ndiyo yalivyokuwa katika majimbo husika!!
 
Ningeweza kuamini kuwa tumeshinda kihalali kama wenzetu wa ukawa wangekuwa na fursa ya kuthibitisha kuwa matokeo ya urais yalliyokuwa yanatangazwa na mwenyekiti wa tume ndiyo yalivyokuwa katika majimbo husika!!
Fuatilia kidogo matokeo ya jimbo la bumbuli na tunduma , mengine tuache kwanza .
 
ningependa uchukue nafasi usome tamko la UVCCM walilolitoa asubuhi hii kuhusu mchakato wa uchaguzi Zanzibar, pia chukua muda usome tamko la kuvunja uchaguzi uliotolewa na ZEC. Utapata picha kamili ya nini kilikuwa kinaendelea uchaguzi wa Zanzibar, tangu awamu za awali za kutafuta mzabuni wa kuchapisha karatasi za kura, watu kupiga, kuzuiwa kupiga kura, kujidhihirisha u CUF ndani ya tume, wahesabu kura kujidhihirisha kuwa ni wana CUF. process nzima ilikuwa imepenyezwa na watu wa ndani ya CUF...
hivi bado kuna mtu anaweza kuamini kauli za watu wa aina ya sadifa ?
 
sasa ndg yangu Watu8 kumbe haupo kyela ila usikia tetesi tu. Aisee!! Mm siambiwi sasa haya nmeyaona.

Nawaamini kwa kuwa ni ndugu zangu na pia ni wana CCM....

Watu waliweka mbele uzalendo wa wilaya ya Kyela kwanza bila kujali itikadi zao...
 
Last edited by a moderator:
hebu acheni Majungu enyi Wanyakyusa
kwani ni lazima mshinde? kwa kumuangusha
Mwakyembe ni JEMBE kwa Tanzania nzima ndiye aliyemng'oa Lowassa
mlilipwa mkamdhalilisha na kote akashinda
sasa JPM atamchagua kuwa Waziri Mkuu wa Serikali yetu
sasa mumtake msimtake kwetu atapitia Wabunge maalum 10 wa Rais

Jinsi ninavyomchukia mwakyembe akiwa waziri mkuu nitaenda kuishi uhamishoni ili nipunguze kichefuchefu
 
Fuatilia kidogo matokeo ya jimbo la bumbuli na tunduma , mengine tuache kwanza .

Kwanini majimbo hayo tu? Anyway, ukawa wajipange upya ila kama tume itaendelea kuwa hivi, labda iwe na wajumbe wote malaika ndiyo watangazwe washindi!
 
Ningeweza kuamini kuwa tumeshinda kihalali kama wenzetu wa ukawa wangekuwa na fursa ya kuthibitisha kuwa matokeo ya urais yalliyokuwa yanatangazwa na mwenyekiti wa tume ndiyo yalivyokuwa katika majimbo husika!!

kila chama kilikuwa na wakala kwenye vituo vya kupiga kura, kuna maeneo hata mgambo waliruhusu UKAWA walinde kura, sasa kura ikitangazwa hauwezi kuangalia jimboni kwako na zimebandikwa nje ya kituo? mbona vyama vingine ACT, TLP wamethibitisha na kukubali, mlishindwa nini kufanya hivyo pia?
 
kila chama kilikuwa na wakala kwenye vituo vya kupiga kura, kuna maeneo hata mgambo waliruhusu UKAWA walinde kura, sasa kura ikitangazwa hauwezi kuangalia jimboni kwako na zimebandikwa nje ya kituo? mbona vyama vingine ACT, TLP wamethibitisha na kukubali, mlishindwa nini kufanya hivyo pia?
Hivi hauelewi au unajitoa ufahamu? Umeambiwa matokeo yaliyokuwa yanasomwa na Lubuva ni tofauti na yaliyobandikwa majimboni, unaambiwa ccm waliingilia na ku-divert (kwa kibali kabisa) system ya kutuma zile data kutoka majimboni, wakafanya editing walivyotaka kabla ya kuruhusu zielekee kwa Lubuva. Kwa maana hiyo Lubuva alikuwa akipokea altered data... wewe unaongelea habari ya mawakala kwenye vituo?
 
ningependa uchukue nafasi usome tamko la UVCCM walilolitoa asubuhi hii kuhusu mchakato wa uchaguzi Zanzibar, pia chukua muda usome tamko la kuvunja uchaguzi uliotolewa na ZEC. Utapata picha kamili ya nini kilikuwa kinaendelea uchaguzi wa Zanzibar, tangu awamu za awali za kutafuta mzabuni wa kuchapisha karatasi za kura, watu kupiga, kuzuiwa kupiga kura, kujidhihirisha u CUF ndani ya tume, wahesabu kura kujidhihirisha kuwa ni wana CUF. process nzima ilikuwa imepenyezwa na watu wa ndani ya CUF...

Nina sababu gani ya kuamini wanachosema UVCCM? Mbona hakuna aliyeamini walichosema Lowassa a Haji Duni na UKAWA kwa ujumla? Please think. Use your head, japo kidogo.
 
Kuwa mgombea au wakala wa ukawa ni shida kuliko kipimo.

Zaidi wakishindwa uchaguzi utaimba haleluya, atleast washinde utaona afadhali.
 
Sasa mbona mlimtelekeza bila msaada ? Mkasubiri mpaka agalagazwe ndio mumuokoe kwa mlango wa uani ! Haya sasa wananchi wa kyela wameuza mpunga na cocoa ili kugharamia kesi mahakama kuu .
Leka ubutungulu ndyumana,twawabulile ,Mwakyembe awatolile na ikuwatola kangi,tukigana ubukonyofu ,Sugu ikubasyoba.
 
Leka ubutungulu ndyumana,twawabulile ,Mwakyembe awatolile na ikuwatola kangi,tukigana ubukonyofu ,Sugu ikubasyoba.
I kata ija mmwaja iji mwalyongile jifumile kughu mwaisa ? Ulwa lino mwanyamaki aikubhagholosya fijo mwi koroti lelo , tukwiputa fijo kwa kyala .
 
nitajie nchi yenye haki na sheria inayotendeka na kufuatwa 100% - hivi vitu vimewekwa na wanadamu na kuna wakati wanakosea. ila hatuwezi kurudia rudia vitu mpaka mridhike. why?

Mkuu hebu na wewe uwe mwelewa kidogo , umeambiwa hakushinda na ndio maana wanataka kwenda mahakani na kwa sababu hizi mahakama zipo, shida iko wapi? Na usilaumu ukawa mbona usizungumzie yale majimbo CCM ilisema itaenda mahakamani kupinga.ubunge?
 
Hivi hauelewi au unajitoa ufahamu? Umeambiwa matokeo yaliyokuwa yanasomwa na Lubuva ni tofauti na yaliyobandikwa majimboni, unaambiwa ccm waliingilia na ku-divert (kwa kibali kabisa) system ya kutuma zile data kutoka majimboni, wakafanya editing walivyotaka kabla ya kuruhusu zielekee kwa Lubuva. Kwa maana hiyo Lubuva alikuwa akipokea altered data... wewe unaongelea habari ya mawakala kwenye vituo?

hebu nitumie namba za jimbo ambalo namba zimetofautiana na kwenye kituo. piga picha ushahidi na tuma hapa.
 
Nina sababu gani ya kuamini wanachosema UVCCM? Mbona hakuna aliyeamini walichosema Lowassa a Haji Duni na UKAWA kwa ujumla? Please think. Use your head, japo kidogo.

tatizo lako, hutaki kusikiliza upande mwingine wa hii kesi, hata jaji mahakamani sio lazima amwamini kila mtu anayetoa ushahidi, cha muhimu ni kusikiliza pande zote na wewe una draw conclusion. Mimi nimefanya hivyo, nimesikiliza pande zote, nime draw conclusion yangu. jitahidi fanya hivyo..

 

tatizo lako, hutaki kusikiliza upande mwingine wa hii kesi, hata jaji mahakamani sio lazima amwamini kila mtu anayetoa ushahidi, cha muhimu ni kusikiliza pande zote na wewe una draw conclusion. Mimi nimefanya hivyo, nimesikiliza pande zote, nime draw conclusion yangu. jitahidi fanya hivyo..

Nina hakika unamaanisha kesi ya Zanzibar, ok, nitafanya hivyo. Na wewe umejipa muda kusikiliza na kutathmini wanacholalamikia akina Lowassa kwa mizani hiyo hiyo uliyoniambia? Au unaamini kuwa kwa kesi hiyo Lubuva yupo sahihi 100% kwa kuwa mnachukulia wapinzani ni watu wa kulalamika bila sababu kwa hiyo hawastahili natural justice?
 
hebu nitumie namba za jimbo ambalo namba zimetofautiana na kwenye kituo. piga picha ushahidi na tuma hapa.
Kwa faida ipi? Lubuva alipelekewa petition officially, akakataa. Akaendelea kusoma matokeo aliyopata na akatangaza mshindi. Nitapata manufaa gani kukuridhisha wewe?
 
Back
Top Bottom