Keen
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 617
- 170
Hivi hauelewi au unajitoa ufahamu? Umeambiwa matokeo yaliyokuwa yanasomwa na Lubuva ni tofauti na yaliyobandikwa majimboni, unaambiwa ccm waliingilia na ku-divert (kwa kibali kabisa) system ya kutuma zile data kutoka majimboni, wakafanya editing walivyotaka kabla ya kuruhusu zielekee kwa Lubuva. Kwa maana hiyo Lubuva alikuwa akipokea altered data... wewe unaongelea habari ya mawakala kwenye vituo?
Well said!