Mwanya in english unaitwaje?

Mwanya in english unaitwaje?

Kuna miandiko inanichanganya humu mwenzenu,

Mwachiluwi
Poor Brain
mshamba_hachekwi
KENZY

Muda wote wapo kicomedy comedy naonaga kama mtu mmoja ila najua sio mmoja basi tu nawafananisha

Wengine ni hawa
min -me
Half american

Wapole pole flani hivi km waoga waoga miandiko yenu na nyie inafanana
Yaani mimi nipo kundi moja na mwamba mshamba achekwi.....

Thank you GOD now na mimi nina akili sasa wewe mshamba_hachekwi habari za kunisema uache mi na wewe ni equally yaan wewe mimi, Mwachiluwi

Cha kufurahia zaidi nimewekwa kundi moj na mwamba wa astrophysics afrika mashariki na kati Mr KENZY

Kenzi last time nilisema wewe sio mda tutakua pamoja unaona sasa...

Kiufupi Kapeace umejua kunifurahisha sana sana sana.... 😂😂😂😂😂😂🙏🙏😂😂😂😂

Alafu unakuta kwenye hilo kundi kuna mtu anakwambia apendi mishangazi, kama hana wazimu ni nini...
 
Yaani mimi nipo kundi moja na mwamba mshamba achekwi.....

Thank you GOD now na mimi nina akili sasa wewe mshamba_hachekwi habari za kunisema uache mi na wewe ni equally yaan wewe mimi, Mwachiluwi

Cha kufurahia zaidi nimewekwa kundi moj na mwamba wa astrophysics afrika mashariki na kati Mr KENZY

Kenzi last time nilisema wewe sio mda tutakua pamoja unaona sasa...

Kiufupi Kapeace umejua kunifurahisha sana sana sana.... 😂😂😂😂😂😂🙏🙏😂😂😂😂

Alafu unakuta kwenye hilo kundi kuna mtu anakwambia apendi mishangazi, kama hana wazimu ni nini...
Mkuu mi nimtaka huyo kapeace hayo mambo mengine mtajua wenyewe!..😅
 
Yaani mimi nipo kundi moja na mwamba mshamba achekwi.....

Thank you GOD now na mimi nina akili sasa wewe mshamba_hachekwi habari za kunisema uache mi na wewe ni equally yaan wewe mimi, Mwachiluwi

Cha kufurahia zaidi nimewekwa kundi moj na mwamba wa astrophysics afrika mashariki na kati Mr KENZY

Kenzi last time nilisema wewe sio mda tutakua pamoja unaona sasa...

Kiufupi Kapeace umejua kunifurahisha sana sana sana.... 😂😂😂😂😂😂🙏🙏😂😂😂😂

Alafu unakuta kwenye hilo kundi kuna mtu anakwambia apendi mishangazi, kama hana wazimu ni nini...
Kwanza majina yenu mi nachekaga kabla ya kusoma hata mlichopost


Kwahiyo wote mnanitaka jamani si kitachanika sasa
 
Screenshot_20250426-210834_ChatGPT.jpg
 
Back
Top Bottom