Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,586
- 66,282
- Thread starter
- #121
Watu wa jf wata andamana najua iloUchochezi tu ntakufungulia kesi ya uhaini 😂
Watu wa jf wata andamana najua iloUchochezi tu ntakufungulia kesi ya uhaini 😂
Kaa mbali ewe mmenya ndizi😂Wewe oyuu
Labda wale wapenda ndizi kama dipresheniWatu wa jf wata andamana najua ilo
Sema una lips nzuri sio poaMwingine ni Mpaji Mungu sema kanajificha ficha sana haka
Sema kuna mahala nakuona unafanya uwindaji haramu wa kimwana mojaUyo kiboko
Sichenzi mbaluli nipo karibu na weww hapaKaa mbali ewe mmenya ndizi😂
We mpenda makande vip ugwen liniLabda wale wapenda ndizi kama dipresheni
Jichanganye ujuteSichenzi mbaluli nipo karibu na weww hapa
Sijawai kula kandeWe mpenda makande vip ugwen lini
Ahahah nikujitoa sadaka tu si unajau 😂Sema kuna mahala nakuona unafanya uwindaji haramu wa kimwana moja
Af njoo pm 😂Jichanganye ujute
Basi jibu sahihi ni Mkapa Stadium.Uongoo
Ukienda bas nibebe ndizi bhnaSijawai kula kande
Hatoki mtuMkapa Stadium.
Kuna ishu gan au unataka tenda ya kumenya mandiziAf njoo pm 😂
Kabisa naitafuta iyo sina hela 😂Kuna ishu gan au unataka tenda ya kumenya mandizi
Gap , opportunity au loopholeWakuu anejua mwanya ini english
Ahahahaha hapana akiwezi...Kwanza majina yenu mi nachekaga kabla ya kusoma hata mlichopost
Kwahiyo wote mnanitaka jamani si kitachanika sasa
Njoo nikuonyeshe cheti changuMh! nitaamini vipi..?
Wabahili sana sitaki hata kujinasabisha nao😂😂😂 Half american ni muhuni sana si unawajua wapare na ufupi wao