Mwanshangaza wadada wa jf

Mwanshangaza wadada wa jf

ally habib

Member
Joined
Feb 19, 2013
Posts
37
Reaction score
8
Nimekua nikifuatilia post zenu akina dada wa humu Jf. Nataka mchumba, na details zenu zinaonyesha kuwa ni vifaa vya ukweli. Swali langu ina maana huko mtaani hamuonekani?
 
Tunataka wasomi ndo maana tunaweka post huku, si unajua tena mtaani hadi ujue mtu amesoma ni hadi mzoeane sana?

pia tumesikia JF kuna mapedeshee kama akina Bishanga na Dark City na wabeba box ambao madolari kwao sio mchezo ndo maana tunawawinda walau tukiweka application watume maombi....
 
Last edited by a moderator:
Tunataka wasomi ndo maana tunaweka post huku, si unajua tena mtaani hadi ujue mtu amesoma ni hadi mzoeane sana?

pia tumesikia JF kuna mapedeshee kama akina Bishanga na Dark City na wabeba box ambao madolari kwao sio mchezo ndo maana tunawawinda walau tukiweka application watume maombi....

na pia wengi wanajua kitu pesa ndio mpango mzima.......huyo wa mtaani nitajuaje kama ana pesa....?.....je kama kaazima mitungo ili anizengue......? akaaaa weeee.....humu humu ndani ndio mpango mzima.......
 
na pia wengi wanajua kitu pesa ndio mpango mzima.......huyo wa mtaani nitajuaje kama ana pesa....?.....je kama kaazima mitungo ili anizengue......? akaaaa weeee.....humu humu ndani ndio mpango mzima.......

Hahahaha mtoa mada atajuta kutufahamu
 
Huku mtaani hakuna wa maana. Vipi wewe umeshaonekana ama ndo wajiuza hapa?
 
Hahahah dokta kuna gari la pesa limeanguka mtaa wa pili hapo...kama vipi beba kikapu twende!!

na pia wengi wanajua kitu pesa ndio mpango mzima.......huyo wa mtaani nitajuaje kama ana pesa....?.....je kama kaazima mitungo ili anizengue......? akaaaa weeee.....humu humu ndani ndio mpango mzima.......
 
Hahahah dokta kuna gari la pesa limeanguka mtaa wa pili hapo...kama vipi beba kikapu twende!!

Yeooouu.....unasema kweli.......?....zipo noti za sh ngapi ngapi......?.....nihakikishie hakuna sh 500.........
 
Hapa ninaona rangi nyekundu tu....hebu kuja basi Dr zisije kuisha!!

Yeooouu.....unasema kweli.......?....zipo noti za sh ngapi ngapi......?.....nihakikishie hakuna sh 500.........
 
Wanaume wa humu hamna chochote ni madebe matupu wa mtaani hamna hela kukopwa ndio sababu tupo tupo,mwanaume ambaye akaunti yake bank akiwa na hela ni laki 7 wa nini huyo!atakuua njaa mwanaume pesa dudu hata nguruwe,mbwa ,nyani,ng,ombe wanasimamisha
cc. watu8 na Preta
 
Last edited by a moderator:
Wa humu hanijui kiundani hivo ni rahisi kumzingua............
Btw wa Mtaani ananijua vizuri hivo sitaweza kumfanyia mandingo labda nimletee ukauzu.
 
Wanaume wa humu hamna chochote ni madebe matupu wa mtaani hamna hela kukopwa ndio sababu tupo tupo,mwanaume ambaye akaunti yake bank akiwa na hela ni laki 7 wa nini huyo!atakuua njaa mwanaume pesa dudu hata nguruwe,mbwa ,nyani,ng,ombe wanasimamisha
cc. watu8 na Preta

Aisee!
 
Wanaume wa humu hamna chochote ni madebe matupu wa mtaani hamna hela kukopwa ndio sababu tupo tupo,mwanaume ambaye akaunti yake bank akiwa na hela ni laki 7 wa nini huyo!atakuua njaa mwanaume pesa dudu hata nguruwe,mbwa ,nyani,ng,ombe wanasimamisha
cc. watu8 na Preta

Wa humu special kwa matumizi ya baadae.
 
Wanaume wa humu hamna chochote ni madebe matupu wa mtaani hamna hela kukopwa ndio sababu tupo tupo,mwanaume ambaye akaunti yake bank akiwa na hela ni laki 7 wa nini huyo!atakuua njaa mwanaume pesa dudu hata nguruwe,mbwa ,nyani,ng,ombe wanasimamisha
cc. watu8 na Preta

twende mwaya....kuna gari la pesa Dr watu8 kaliona limeanguka.....mimi ndio naelekea huko.......
 
Last edited by a moderator:
Wa humu hanijui kiundani hivo ni rahisi kumzingua............
Btw wa Mtaani ananijua vizuri hivo sitaweza kumfanyia mandingo labda nimletee ukauzu.

Aisee Madame B unanifungua macho na masikio sasa. Mmh hapa kazi ipo.
 
Last edited by a moderator:
Hivi hizi stori zinaishiaga humuhumu au baada ya contact watu wanakutana mtaani kweli? Madame B, Preta.
 
Last edited by a moderator:
wanawake wa humu n kama mvua za dar hahahah@ mkijua kupokea na mjue kutoa@
 
ni bora waje apa kutafuta,sisi wengine uwa atuzuruli kazi nyingi tunafanya kwa ofisi adi usiku,na tunashinda kwa mitandao hivo itakuwa rahis kuwaona na kuangalia kama wamekizi vigezo na masharti kuzingatiwa
 
Back
Top Bottom