Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,271
- 108,268
Hahaha....naona mmeamua kututolea uvivu...lakini mbona Money stunna akijitamba kuwa anae hela huwa mnamdis....!!!
Last edited by a moderator:
Huamini au?
Hahaha....naona mmeamua kututolea uvivu...lakini mbona Money stunna akijitamba kuwa anae hela huwa mnamdis....!!!
warembo wa JF awajawai kunidiss labda njemba zenye wivu
Nimekua nikifuatilia post zenu akina dada wa humu Jf. Nataka mchumba, na details zenu zinaonyesha kuwa ni vifaa vya ukweli. Swali langu ina maana huko mtaani hamuonekani?
Kwa wanaume wa jf wanawake tunakuwa na choices mbali mbali kutoka mikoa mbali mbali sio kuwa limited na one place so you have a chance to make a choice.
'love doesn ask why-celine dion'
Ushawapata wangapi hadi sasa?
warembo wa jf nawaona kama dada zangu. usumbufu ninaopata mtaan na facebook unatosha si unajua ukiwa handsome na tajiri mtoto ni tabu.