Mwanshangaza wadada wa jf

Mwanshangaza wadada wa jf

Hahahah i missed jf..!!
Lol yani kijiwe cha mtaa! Comment ya mtu unamuimajini alivo...
 
Yeooouu.....unasema kweli.......?....zipo noti za sh ngapi ngapi......?.....nihakikishie hakuna sh 500.........

Hahah..kweli we Mchagga real maana katika ule uzi mlijitetea sana hamuui watu kwa pesa.
 
Wanaume wa humu hamna chochote ni madebe matupu wa mtaani hamna hela kukopwa ndio sababu tupo tupo,mwanaume ambaye akaunti yake bank akiwa na hela ni laki 7 wa nini huyo!atakuua njaa mwanaume pesa dudu hata nguruwe,mbwa ,nyani,ng,ombe wanasimamisha
cc. watu8 na Preta


Ukiendelea kuwa na mawazo hayo utavuliwa sana chupi na kuliwa Kabaang ila ndoa utaisikia kwa wenzako tu.
 
Last edited by a moderator:
mhm tokeni zenu hamna cha choice wala nini semwni market value yenu ipo chini....mikoa tofahti mapenzi ya mbali tangu lini yakadumu?

Mzabzab hapo kwenye RED nakukatalia, ni matter of Time, ikifika kila kitu kinakaa sawa, kwa hiyo kusema kuwa soko lao limeshuka hilo sikubaliani na wewe, wako watu wanakaa mpk 36 up 40 na wanaolewa harusi kubwa , iwe wao wenye 26 up 36? KWA KWELI WADOGO ZANGU AMBAO HAMJAOLEWA CHAGUENI WANAUME MNAOWAPENDA NA WENYE HELA HUU MPANGO WA KWENDA KUCHUMA WOTE , UNAJIBANA NA KUFUNGA MKANDA, MALI INAPOPATIKANA , ANAKUJA KULA MWENZIO, SO NA WEWE HERI UKUTE VIMECHUMWA UNAINGIA KULA TU.
 
vipi mbona hasira hivo. 0713 aliwe mwingine we mipovu ikutoke majangaaaaa. kama huna madolari we jiendee fb huko utakutanao wa size yako kwi kwi kwi

Ha haaa,hata mi nimeshangaa!
 
wengine hawapend kuwa na mahusiano na watu wa mtaa m1 ndo maana wanataka wa mbali...c unajua mtaa m1 mauzo,umegombezwa home basi nae kajua
 
Back
Top Bottom