Mwandishi wa STAR TV ajuta kumfahamu Joseph Mbilinyi

Kama SUGU aliibiwa "kura" na anao ushahidi kuwa uchaguzi ulikuwa rigged, kwanini hakufungua kesi mahakamani??

Tumewahi kushuhudia matokeo ya Ubunge yakipingwa mahakamani na wapinzani wakashinda, mfano ni Godbless Lema mwaka 2010 rejea kesi yake na Batlida.

Sasa hawa wanaopiga kelele kuwa uchaguzi haukuwa wa haki kwanini hawakwenda Mahakamani kudai haki zao??????????????????????

Wanafiki wakubwa!!
Mahakama zipi wakati wa jiwe?
 
Kunyimwa fomu ni ushahidi pia na unaweza ukatumika mahakamani. Na ndiyo maana nawauliza kwanini hamkufungua kesi mahakamani?

Tatizo lenu CHADEMA mmezoea kukaririshwa ujinga na viongozi wenu na ninyi mnakariri tu kama vitoto vya chekechea.

Mimi nakwambia hivi hao CHADEMA kama wangekuwa na ushahidi wa kuibiwa kura wasingeacha kufungua kesi Mahakamani kupinga matokeo ya Ubunge ambayo kisheria yanaruhusiwa kupingwa.
Jibu ni dogo, hawakwenda Mahakamani sababu hawakuwa na ushahidi wa madai yao.
Mtu kama Mbowe akose Ubunge kwa kudai kuibiwa halafu asiende Mahakamani? Seriously??

Mtu kama Zitto Kabwe aibiwe kura halafu asiende mahakamani??

Endeleeni kushikiwa akili na wanasiasa "wahuni" .
Kwenye mahakama gani?
 
Sasa mbona mnajichanganya na hoja zenu dhaifu?
Kama haki ya rufaa inaweza kupatikana ndani ya mfumo huo huo dhaifu iweje basi haki zingine zisipatikane kama ushahidi upo??

Tusidanganye hata kidogo. Hao akina SUGU hawakuibiwa kura, walishindwa kihalali na ndiyo maana hawakuwa na ushahidi wa kwenda mahakamani kupinga matokeo ya Ubunge.
Yafaa ujipe faraja ya kweli bila kujidanganya.
 
Sasa mbona mnajichanganya na hoja zenu dhaifu?
Kama haki ya rufaa inaweza kupatikana ndani ya mfumo huo huo dhaifu iweje basi haki zingine zisipatikane kama ushahidi upo??

Tusidanganye hata kidogo. Hao akina SUGU hawakuibiwa kura, walishindwa kihalali na ndiyo maana hawakuwa na ushahidi wa kwenda mahakamani kupinga matokeo ya Ubunge.
Elewa kiswahili hata kama una mahaba na jiwe. Rufaa haitegemei hata kama unaekata rufaa kwake ni shetani. Rufaa inatoka kwa mtu sio kwa mkatiwa rufaa. Get that into your thin head. Yule ameondoka tayari kila kitu kitaenda kwa haki sasa
 
Kama SUGU aliibiwa "kura" na anao ushahidi kuwa uchaguzi ulikuwa rigged, kwanini hakufungua kesi mahakamani??

Tumewahi kushuhudia matokeo ya Ubunge yakipingwa mahakamani na wapinzani wakashinda, mfano ni Godbless Lema mwaka 2010 rejea kesi yake na Batlida.

Sasa hawa wanaopiga kelele kuwa uchaguzi haukuwa wa haki kwanini hawakwenda Mahakamani kudai haki zao??????????????????????

Wanafiki wakubwa!!
mahakama zipi mkuu?
au unazungumzia mahakama ile ya magufuli iliyo wabambikizia kesi watu.
 
Kwenye mahakama gani?
Acha kuniuliza maswali ya kitoto wewe. Huyo Sugu alipohukumiwa wakati ule hakukata rufaa na kushinda kesi? Je, hiyo ilikuwa mahakama ya Mbowe au ilikuwa chini ya utawala wa Magufuli??

Acheni kujitoa ufahamu. Mahakama zimekuwa zikitoa haki pale penye haki miaka yote tangu uhuru mpaka leo.
 
Elewa kiswahili hata kama una mahaba na jiwe. Rufaa haitegemei hata kama unaekata rufaa kwake ni shetani. Rufaa inatoka kwa mtu sio kwa mkatiwa rufaa. Get that into your thin head. Yule ameondoka tayari kila kitu kitaenda kwa haki sasa
Nonsense!
Mimi siongelei mambo ya Magufuli naongelea judiciary system.

Acheni maisha ya kukariri ujinga na kushikiwa akili na wanasiasa wahuni.
 
mahakama zipi mkuu?
au unazungumzia mahakama ile ya magufuli iliyo wabambikizia kesi watu

mahakama zipi mkuu?
au unazungumzia mahakama ile ya magufuli iliyo wabambikizia kesi watu.
Huna hoja wewe.

Magufuli alikuwa hakimu au Jaji Mkuu?

Acheni kukaririshwa ujinga ninyi . Hivi kweli mtu kama Mbowe aibiwe kura na ushahidi anao asiende mahakamani???

Mtu kama Zitto Kabwe apoteze jimbo lake la Ubunge kwa kuibiwa kura na ushahidi anao asiende kweli mahakamani???

Mtu kama Halima Mdee akamate ushahidi halafu asiende mahakamani? Seriously????

Ninyi misukule ya CHADEMA tumieni akili zenu vizuri. Hao wahuni akina Sugu hawakuibiwa kura, walipoteza kihalali kabisa lakini wanaona aibu kukubali kushindwa wanaishia kuwaaminisha ninyi misukule kuwa walidhulumiwa.
 
Joseph Mbilinyi alialikwa kwenye TV hiyo kwa ajili ya Mahojiano katika kipindi chao cha medani za siasa , mabango yakawekwa kila kona


View attachment 1831323

Hatimaye siku ya mahojiano ikafika , Kwenye mahojiano yenyewe sasa mambo yalikuwa hivi .

View attachment 1831333
😀 😀 Saccos ya Mbowe, kila uchaguzi mkishindwa unakuwa sio uchaguzi tena. Hakuna genge la hovyo kabisa, kama ya huyu faru John.
 
Huna hoja wewe.

Magufuli alikuwa hakimu au Jaji Mkuu?

Acheni kukaririshwa ujinga ninyi . Hivi kweli mtu kama Mbowe aibiwe kura na ushahidi anao asiende mahakamani???

Mtu kama Zitto Kabwe apoteze jimbo lake la Ubunge kwa kuibiwa kura na ushahidi anao asiende kweli mahakamani???

Mtu kama Halima Mdee akamate ushahidi halafu asiende mahakamani? Seriously????

Ninyi misukule ya CHADEMA tumieni akili zenu vizuri. Hao wahuni akina Sugu hawakuibiwa kura, walipoteza kihalali kabisa lakini wanaona aibu kukubali kushindwa wanaishia kuwaaminisha ninyi misukule kuwa walidhulumiwa.
Hivi umeishia darasa la ngapi ?
 
Back
Top Bottom