adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 2,887
- 4,386
Kwa maelezo yako mazuri Sugu angepata haki yake chini ya usimamizi wako Mkuu.. unaonekana mtu mwema sanaKama SUGU aliibiwa "kura" na anao ushahidi kuwa uchaguzi ulikuwa rigged, kwanini hakufungua kesi mahakamani??
Tumewahi kushuhudia matokeo ya Ubunge yakipingwa mahakamani na wapinzani wakashinda, mfano ni Godbless Lema mwaka 2010 rejea kesi yake na Batlida.
Sasa hawa wanaopiga kelele kuwa uchaguzi haukuwa wa haki kwanini hawakwenda Mahakamani kudai haki zao??????????????????????
Wanafiki wakubwa!!