Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,970
- 35,342
Maghayo una vitukoDah hapo kwenye kujamba maamaee yani demu wangu ananivumiliaga kwasababu akikumbuka moto naompelekea nakumfikisha kileleni anavumilia tu harufu na kishindo. Maanake siyo mjambo wa kitoto maamaee ni kishindo haswa with devastating impact mbrrr mbrrrr mbrr MBRRRRRR
Mufti kuku The Infinity Lamomy adriz
Ukiwa hivyo ndivyo unaenda mbinguni, nani amekuambia wanawake wanafanana preference kila mwanadamu ana taste zake msikariri mambo kutaka kuwa mcharo, ishi vile nafsi inataka utaishi kwa raha sana na siku ya mwisho ufurahi na sio hufurahi ila unamfurahisha binadamu ambae muda wowote anakuacha.
Mwanaume kamili ni yule anaetimiza majukumu yake kwa familia yake, kuwapa matunzo mazuri na kuwaongoza katila njia iliyosahii

Mkuu tafuta mtu uwe unalala naye uache kujikunja kama pakaHapo kwenye kulala naomba uniache tuu mana mm hua nalala najikunja mpaka natengeneza umbo la 0
Nakubali master sijakuangusha hata kimojaSikupingi mkuu. Ngoja tuongezee
13. Mwanaume kamili haoi au kufanya maisha na single maza
●Hiyo ni kujishusha thamani ni sawa na kujiunga kwenye familia ya mwanaume mwenzako. Mwanaume anatakiwa aanzishe familia yake mwenyewe nd ndivyo Mungu anataka
14. Mwanaume kamili haudumii demu au mpenzi anamhudumia mke tu
●Baba ndiye mwenye jukumu la kumtunza binti yake mbaye hajaolewa
15. Mwanaume anapiga simu moja tu na kama ni meseji ni moja tu kwa manzi.
●Kama manzi hapigi au hajibu haina kupiga tena au kudouble text aanze yeye kukutafuta
16. Anajitanguliza yeye mwenyewe, familia yake na marafiki zake badala ya mwanamke/mpenzi/girlfriend
17. Mwanaume ha-date na mwanamke ambaye mchango wake ni K tu kwenye mahusiano
18. Hamrudii ex wake wala kumsamehe mwanamke msaliti
19. Kama sio bikira haina kulipa mahari
20. Mwanaume kamili hatumii snapchat, TikTok na wala hapost status kwenye WhatsApp
21. Maneno machache vitendo vinaongea
22. Mwanaume anasave zaidi kibunda chake kuliko matumizi
23. Mwanaume kamili ni mpambanaji yuko consistent in hustling
🙆♀️🙆♀️🙆♀️Hapo kwenye kulala,,Nililala na mshkaji ghetto kuja kishtuka usingzin naona jamaa kabinuka kiuno kipo juu. Asubuhi nikamtimua🤒
dronedrakeMwanaume kuangalia porn na kupiga nyeto Ni udhaifu mkubwa Sana.
Khaa!Kwenda zako huko

😂niliwai kubahatika kuingia mahabusu kahama kama mtuhumiwa miaka ya 2012.
sikuamini nilichoona wanaume wa kisukuma hawatofautishi chupi za kiume na kike!
wanavaa zozote bila hofu, hadi bikini!
sijui na wanawake ni hivyo hivyo au la!