Mwanaume zingatia haya mambo madogo

Mwanaume zingatia haya mambo madogo

Kwa hiyo akae Uchi /ajambe mbele ya mwanamke sababu ni kitu anapenda?
Acha umama mkuu.
Ukiwa hivyo ndivyo unaenda mbinguni, nani amekuambia wanawake wanafanana preference kila mwanadamu ana taste zake msikariri mambo kutaka kuwa mcharo, ishi vile nafsi inataka utaishi kwa raha sana na siku ya mwisho ufurahi na sio hufurahi ila unamfurahisha binadamu ambae muda wowote anakuacha.

Mwanaume kamili ni yule anaetimiza majukumu yake kwa familia yake, kuwapa matunzo mazuri na kuwaongoza katila njia iliyosahii
 
1. Rangi za mavazi
Rangi zinazungumza sana kuelezea mwanaume.
Katu usivae rangi ya pinki, yellow, maloon, purple.
Pendelea kuvaa rangi nyeupe, blue, red na black

2.usitamke ovyo neno nakupenda sijui I Love you.
Usimwambie demu I love you sijui nini ni ujinga tu.
Usimwambie neno hilo mkeo au mwanao.
Mwanaume lijali tunalisemaga hilo neno kwa matendo.


3.Usivae sare na mkeo.
Hilo ni udhaifu kwa kidume kujivika sare za kitenge na mkeo kama vipepeo

4. Usipige picha ovyo.
Kwenda location kama mademu ati kupiga picha ni tabia za kike mno

5. Usifanye birthday party.
Kuwa busy na ahughuli zako
Mwanaume anazaliwa mara moja
Birthday party ni mambo ya kike

6. Usipambanie mapenzi acha mapenzi yakupambanie,
Kidume unapigaje simu kwa demu, unatuma sms kwa demu hazijibiwi, huna shughuli za kufanya.
Mademu wengi wanapenda wanaume wasiowalilia malijali hasa, hiyo siri nmewapa

7. Chunga unavoongea ,
Usiongee kwa hisia labda kupanic au kufurahi sana,
Usifurahi kucheka sana mbele ya mkeo au demu.
Cheka kiasi

8. Fanya mazoezi uweke mwili timamu.
Sio unakuwa na mwili nyanya hamna kifua, mwanaume kuwa mikono laini
Hakikisha unavoamka jiweke kiume piga push ups kadhaa
Ruka kamba nk

9. Usivae nguo za kubana


10. Style za nywele.
Nyoa kiume usije kunyoa kibwezi, kiduku na style zingine kivulana

11. Style ya kulala
Usilale kwa kukuja miguu
Au kujikunyata
Lala chali na ujitanue mtindo wa kulala unakuelezea uanaume wako

12. Usikae uchi ovyo mbele ya mkeo.
Usipende tabia ya kuwa uchi bila sababu mbele ya mkeo au demu bila sababu a kujamba ovyo
Wanaume hatuko hivo
Usifanye hivo eti ndo uhuru kwa mpenzi wako huo ni udhaifu na ujinga

Uanaume siyo pesa ni maisha na jinsi gani una behave
yote haya na bado unatombewa
 
1. Rangi za mavazi
Rangi zinazungumza sana kuelezea mwanaume.
Katu usivae rangi ya pinki, yellow, maloon, purple.
Pendelea kuvaa rangi nyeupe, blue, red na black

2.usitamke ovyo neno nakupenda sijui I Love you.
Usimwambie demu I love you sijui nini ni ujinga tu.
Usimwambie neno hilo mkeo au mwanao.
Mwanaume lijali tunalisemaga hilo neno kwa matendo.


3.Usivae sare na mkeo.
Hilo ni udhaifu kwa kidume kujivika sare za kitenge na mkeo kama vipepeo

4. Usipige picha ovyo.
Kwenda location kama mademu ati kupiga picha ni tabia za kike mno

5. Usifanye birthday party.
Kuwa busy na ahughuli zako
Mwanaume anazaliwa mara moja
Birthday party ni mambo ya kike

6. Usipambanie mapenzi acha mapenzi yakupambanie,
Kidume unapigaje simu kwa demu, unatuma sms kwa demu hazijibiwi, huna shughuli za kufanya.
Mademu wengi wanapenda wanaume wasiowalilia malijali hasa, hiyo siri nmewapa

7. Chunga unavoongea ,
Usiongee kwa hisia labda kupanic au kufurahi sana,
Usifurahi kucheka sana mbele ya mkeo au demu.
Cheka kiasi

8. Fanya mazoezi uweke mwili timamu.
Sio unakuwa na mwili nyanya hamna kifua, mwanaume kuwa mikono laini
Hakikisha unavoamka jiweke kiume piga push ups kadhaa
Ruka kamba nk

9. Usivae nguo za kubana


10. Style za nywele.
Nyoa kiume usije kunyoa kibwezi, kiduku na style zingine kivulana

11. Style ya kulala
Usilale kwa kukuja miguu
Au kujikunyata
Lala chali na ujitanue mtindo wa kulala unakuelezea uanaume wako

12. Usikae uchi ovyo mbele ya mkeo.
Usipende tabia ya kuwa uchi bila sababu mbele ya mkeo au demu bila sababu a kujamba ovyo
Wanaume hatuko hivo
Usifanye hivo eti ndo uhuru kwa mpenzi wako huo ni udhaifu na ujinga

Uanaume siyo pesa ni maisha na jinsi gani una behave

90% ni fikra za miaka 1800 huko.

10% upo sahihi
 
Kwa hiyo akae Uchi /ajambe mbele ya mwanamke sababu ni kitu anapenda?
Acha umama mkuu.


Sasa mbona umama, hizi ni tabia za wanaume washamba yani wanapenda kuforce hoja zao zikubalike na ukiwapinga wanakutukana, eti umama ni dhahiri umejionyesha wewe ni uneducated.

Nakuuliza kwani mkiwa chumbani mnafanya mapenzi huwa mnafanya mkiwa na nguo? Yani nini cha ajabu?

Ukitoka kuoga unavalia wapi nini maana ya kuwa na masterbed room? ukiwa unavaa unavalia wapi nguo au unamwambia akupishe chumbani? nini maana ya kuwa na chumba cha pamoja cha baba na mama, yani niogope kuvaa nguo au kuaachia uume wangu mbele ya mke wangu kisa nitakua sio lijali hizi tafiti mnazitoa wapi? Otherwise uwe na minyamanyama au una kibamia ndiyo utaogopa kukaa utupu mbele ya mke wako, akili za kitoto sana hizi
 
Nami pia niongeze point muhimu kwa wanaume wenzangu.

Baada ya kumaliza mlo wa usiku jitahidi kunywa maji mengi,kunywa maji ya kutosha mwanaume. Hii itasababisha usiku uamke amke kwenda kukojoa, hivyo unavyoamka usiku unapiga Doria mjengoni kwako, hiyo itakusaidia kuepuka mambo ya kipuuzi kama kuibiwa na vibaka(mie mtaani kwangu Vijana wanasemaga huwa silali usiku, maana mara nyingi wakikatisha anga zangu wananikuta nipo nazunguka zunguka)

Hii kanuni inasaidia mambo mengi sana ukiitumia, hata Ile michezo ya watoto wa jinsia tofauti kuamka usiku kwenda kuzamia chumba cha jinsia nyingine(nilikuaga nazamia sana chumba cha house girl enzi zangu) itapungua
 
1. Rangi za mavazi
Rangi zinazungumza sana kuelezea mwanaume.
Katu usivae rangi ya pinki, yellow, maloon, purple.
Pendelea kuvaa rangi nyeupe, blue, red na black

2.usitamke ovyo neno nakupenda sijui I Love you.
Usimwambie demu I love you sijui nini ni ujinga tu.
Usimwambie neno hilo mkeo au mwanao.
Mwanaume lijali tunalisemaga hilo neno kwa matendo.


3.Usivae sare na mkeo.
Hilo ni udhaifu kwa kidume kujivika sare za kitenge na mkeo kama vipepeo

4. Usipige picha ovyo.
Kwenda location kama mademu ati kupiga picha ni tabia za kike mno

5. Usifanye birthday party.
Kuwa busy na ahughuli zako
Mwanaume anazaliwa mara moja
Birthday party ni mambo ya kike

6. Usipambanie mapenzi acha mapenzi yakupambanie,
Kidume unapigaje simu kwa demu, unatuma sms kwa demu hazijibiwi, huna shughuli za kufanya.
Mademu wengi wanapenda wanaume wasiowalilia malijali hasa, hiyo siri nmewapa

7. Chunga unavoongea ,
Usiongee kwa hisia labda kupanic au kufurahi sana,
Usifurahi kucheka sana mbele ya mkeo au demu.
Cheka kiasi

8. Fanya mazoezi uweke mwili timamu.
Sio unakuwa na mwili nyanya hamna kifua, mwanaume kuwa mikono laini
Hakikisha unavoamka jiweke kiume piga push ups kadhaa
Ruka kamba nk

9. Usivae nguo za kubana


10. Style za nywele.
Nyoa kiume usije kunyoa kibwezi, kiduku na style zingine kivulana

11. Style ya kulala
Usilale kwa kukuja miguu
Au kujikunyata
Lala chali na ujitanue mtindo wa kulala unakuelezea uanaume wako

12. Usikae uchi ovyo mbele ya mkeo.
Usipende tabia ya kuwa uchi bila sababu mbele ya mkeo au demu bila sababu a kujamba ovyo
Wanaume hatuko hivo
Usifanye hivo eti ndo uhuru kwa mpenzi wako huo ni udhaifu na ujinga

Uanaume siyo pesa ni maisha na jinsi gani una behave
Rangi ya nguo pink na purple siwezi kuvaa hata siku moja ila njano na maloon kwangu hazina shida., hapa nilipo tu nimepiga tshirt ya long sleeve rangi maloon plain
 
1. Rangi za mavazi
Rangi zinazungumza sana kuelezea mwanaume.
Katu usivae rangi ya pinki, yellow, maloon, purple.
Pendelea kuvaa rangi nyeupe, blue, red na black

2.usitamke ovyo neno nakupenda sijui I Love you.
Usimwambie demu I love you sijui nini ni ujinga tu.
Usimwambie neno hilo mkeo au mwanao.
Mwanaume lijali tunalisemaga hilo neno kwa matendo.


3.Usivae sare na mkeo.
Hilo ni udhaifu kwa kidume kujivika sare za kitenge na mkeo kama vipepeo

4. Usipige picha ovyo.
Kwenda location kama mademu ati kupiga picha ni tabia za kike mno

5. Usifanye birthday party.
Kuwa busy na ahughuli zako
Mwanaume anazaliwa mara moja
Birthday party ni mambo ya kike

6. Usipambanie mapenzi acha mapenzi yakupambanie,
Kidume unapigaje simu kwa demu, unatuma sms kwa demu hazijibiwi, huna shughuli za kufanya.
Mademu wengi wanapenda wanaume wasiowalilia malijali hasa, hiyo siri nmewapa

7. Chunga unavoongea ,
Usiongee kwa hisia labda kupanic au kufurahi sana,
Usifurahi kucheka sana mbele ya mkeo au demu.
Cheka kiasi

8. Fanya mazoezi uweke mwili timamu.
Sio unakuwa na mwili nyanya hamna kifua, mwanaume kuwa mikono laini
Hakikisha unavoamka jiweke kiume piga push ups kadhaa
Ruka kamba nk

9. Usivae nguo za kubana


10. Style za nywele.
Nyoa kiume usije kunyoa kibwezi, kiduku na style zingine kivulana

11. Style ya kulala
Usilale kwa kukuja miguu
Au kujikunyata
Lala chali na ujitanue mtindo wa kulala unakuelezea uanaume wako

12. Usikae uchi ovyo mbele ya mkeo.
Usipende tabia ya kuwa uchi bila sababu mbele ya mkeo au demu bila sababu a kujamba ovyo
Wanaume hatuko hivo
Usifanye hivo eti ndo uhuru kwa mpenzi wako huo ni udhaifu na ujinga

Uanaume siyo pesa ni maisha na jinsi gani una behave
Bila namba 2 nitaishi vipi? Asiniambie ananipenda? Mwenyewe anajua kitakachomkuta, moto atakaowashiwa sio wa kawaida.

Namba 6 ndio nguzo kuu ya mahusiano/ndoa. Mawasiliano imara ni kitu cha msingi kuliko vyote. Siwezi kujiona mapenzini bila mawasiliano imara.
 
Oya kuna rafiki yangu huyo anabembeleza ni hatari, huyo mkewako usiyemchekea wala kumwambia unampenda pale hachomoi, ndani ya sekunde 360 anakuwa keshaliwa.

Jamaa Simu yake inanamba nyingi za wake za watu, ukisoma sms sasa utakuta mke wa mtu kaandika mmewangu hajui kumbembeleza mwanamke ila nikiongea na wewe nahisi raha natamani hata ningeolewa na wewe.

Anachofanya sio kitu kizuri ila kupitia yeye nimebaini ukijifanya mwamba sana mke anapoteza hisia na wewe na inakuwa rahisi kuliwa na mtu atayeonesha kumjali hata kwa kuigiza
 
Sasa mbona umama, hizi ni tabia za wanaume washamba yani wanapenda kuforce hoja zao zikubalike na ukiwapinga wanakutukana, eti umama ni dhahiri umejionyesha wewe ni uneducated.

Nakuuliza kwani mkiwa chumbani mnafanya mapenzi huwa mnafanya mkiwa na nguo? Yani nini cha ajabu?

Ukitoka kuoga unavalia wapi nini maana ya kuwa na masterbed room? ukiwa unavaa unavalia wapi nguo au unamwambia akupishe chumbani? nini maana ya kuwa na chumba cha pamoja cha baba na mama, yani niogope kuvaa nguo au kuaachia uume wangu mbele ya mke wangu kisa nitakua sio lijali hizi tafiti mnazitoa wapi? Otherwise uwe na minyamanyama au una kibamia ndiyo utaogopa kukaa utupu mbele ya mke wako, akili za kitoto sana hizi
Kabla sijasahau uneducated mwenyewe.
Pili jaribu kusoma alichoandika mtoa mada kwa makini na kuelewa. Hajasema usikae uchi mbele mkeo, ila kaa uchi ukiwa na sababu(labda umemaliza kutomba, au umetoka kuoga). Sio kwa sababu wikend leo unashinda nyumbani basi siku nzima unazunguka uchi wa mnyama chumbani mbele ya mkeo,
 
Sasa mbona umama, hizi ni tabia za wanaume washamba yani wanapenda kuforce hoja zao zikubalike na ukiwapinga wanakutukana, eti umama ni dhahiri umejionyesha wewe ni uneducated.

Nakuuliza kwani mkiwa chumbani mnafanya mapenzi huwa mnafanya mkiwa na nguo? Yani nini cha ajabu?

Ukitoka kuoga unavalia wapi nini maana ya kuwa na masterbed room? ukiwa unavaa unavalia wapi nguo au unamwambia akupishe chumbani? nini maana ya kuwa na chumba cha pamoja cha baba na mama, yani niogope kuvaa nguo au kuaachia uume wangu mbele ya mke wangu kisa nitakua sio lijali hizi tafiti mnazitoa wapi? Otherwise uwe na minyamanyama au una kibamia ndiyo utaogopa kukaa utupu mbele ya mke wako, akili za kitoto sana hizi
Zingatia neno hovyo hovyo,hutakiwi kukaa uchi hovyo hovyo, hutakiwi kufanya chochote hovyo hovyo,hivyo tu.
 
niliwai kubahatika kuingia mahabusu kahama kama mtuhumiwa miaka ya 2012.
sikuamini nilichoona wanaume wa kisukuma hawatofautishi chupi za kiume na kike!
wanavaa zozote bila hofu, hadi bikini!
sijui na wanawake ni hivyo hivyo au la!
 
niliwa kubahatika kuingia mahabusu kahama kama mtuhumiwa miaka ya 2012.
sikuamini nilichoona wanaume wa kisukuma hawatofautishi chupi za kiume na kike!
wanavaa zozote bila hofu, hadi bikini!
sijui na wanakwake ni hivyo hivyo au la!
Shangaa kabisa haswa jiwe angavu
 
1. Rangi za mavazi
Rangi zinazungumza sana kuelezea mwanaume.
Katu usivae rangi ya pinki, yellow, maloon, purple.
Pendelea kuvaa rangi nyeupe, blue, red na black

2.usitamke ovyo neno nakupenda sijui I Love you.
Usimwambie demu I love you sijui nini ni ujinga tu.
Usimwambie neno hilo mkeo au mwanao.
Mwanaume lijali tunalisemaga hilo neno kwa matendo.


3.Usivae sare na mkeo.
Hilo ni udhaifu kwa kidume kujivika sare za kitenge na mkeo kama vipepeo

4. Usipige picha ovyo.
Kwenda location kama mademu ati kupiga picha ni tabia za kike mno

5. Usifanye birthday party.
Kuwa busy na ahughuli zako
Mwanaume anazaliwa mara moja
Birthday party ni mambo ya kike

6. Usipambanie mapenzi acha mapenzi yakupambanie,
Kidume unapigaje simu kwa demu, unatuma sms kwa demu hazijibiwi, huna shughuli za kufanya.
Mademu wengi wanapenda wanaume wasiowalilia malijali hasa, hiyo siri nmewapa

7. Chunga unavoongea ,
Usiongee kwa hisia labda kupanic au kufurahi sana,
Usifurahi kucheka sana mbele ya mkeo au demu.
Cheka kiasi

8. Fanya mazoezi uweke mwili timamu.
Sio unakuwa na mwili nyanya hamna kifua, mwanaume kuwa mikono laini
Hakikisha unavoamka jiweke kiume piga push ups kadhaa
Ruka kamba nk

9. Usivae nguo za kubana


10. Style za nywele.
Nyoa kiume usije kunyoa kibwezi, kiduku na style zingine kivulana

11. Style ya kulala
Usilale kwa kukuja miguu
Au kujikunyata
Lala chali na ujitanue mtindo wa kulala unakuelezea uanaume wako

12. Usikae uchi ovyo mbele ya mkeo.
Usipende tabia ya kuwa uchi bila sababu mbele ya mkeo au demu bila sababu a kujamba ovyo
Wanaume hatuko hivo
Usifanye hivo eti ndo uhuru kwa mpenzi wako huo ni udhaifu na ujinga

Uanaume siyo pesa ni maisha na jinsi gani una behave
We unatufundisha tusipende au?
Mwanamke unayempenda unampigia simu na kama hazijibiwi lazima uhoji kwa ukali kwanini anakudharau. Sasa wewe endelea kukaa hivyo hivyo?
 
Back
Top Bottom