Mwanaume zingatia haya mambo madogo

Mwanaume zingatia haya mambo madogo

Oya kuna rafiki yangu huyo anabembeleza ni hatari, huyo mkewako usiyemchekea wala kumwambia unampenda pale hachomoi, ndani ya sekunde 360 anakuwa keshaliwa.

Jamaa Simu yake inanamba nyingi za wake za watu, ukisoma sms sasa utakuta mke wa mtu kaandika mmewangu hajui kumbembeleza mwanamke ila nikiongea na wewe nahisi raha natamani hata ningeolewa na wewe.

Anachofanya sio kitu kizuri ila kupitia yeye nimebaini ukijifanya mwamba sana mke anapoteza hisia na wewe na inakuwa rahisi kuliwa na mtu atayeonesha kumjali hata kwa kuigiza
Haijalishi.

Hata umbembeleze mke wako vipi.
Atagongwa tu nje.

Usijisumbue Mkuu.
 
1. Rangi za mavazi
Rangi zinazungumza sana kuelezea mwanaume.
Katu usivae rangi ya pinki, yellow, maloon, purple.
Pendelea kuvaa rangi nyeupe, blue, red na black

2.usitamke ovyo neno nakupenda sijui I Love you.
Usimwambie demu I love you sijui nini ni ujinga tu.
Usimwambie neno hilo mkeo au mwanao.
Mwanaume lijali tunalisemaga hilo neno kwa matendo.


3.Usivae sare na mkeo.
Hilo ni udhaifu kwa kidume kujivika sare za kitenge na mkeo kama vipepeo

4. Usipige picha ovyo.
Kwenda location kama mademu ati kupiga picha ni tabia za kike mno

5. Usifanye birthday party.
Kuwa busy na ahughuli zako
Mwanaume anazaliwa mara moja
Birthday party ni mambo ya kike

6. Usipambanie mapenzi acha mapenzi yakupambanie,
Kidume unapigaje simu kwa demu, unatuma sms kwa demu hazijibiwi, huna shughuli za kufanya.
Mademu wengi wanapenda wanaume wasiowalilia malijali hasa, hiyo siri nmewapa

7. Chunga unavoongea ,
Usiongee kwa hisia labda kupanic au kufurahi sana,
Usifurahi kucheka sana mbele ya mkeo au demu.
Cheka kiasi

8. Fanya mazoezi uweke mwili timamu.
Sio unakuwa na mwili nyanya hamna kifua, mwanaume kuwa mikono laini
Hakikisha unavoamka jiweke kiume piga push ups kadhaa
Ruka kamba nk

9. Usivae nguo za kubana


10. Style za nywele.
Nyoa kiume usije kunyoa kibwezi, kiduku na style zingine kivulana

11. Style ya kulala
Usilale kwa kukuja miguu
Au kujikunyata
Lala chali na ujitanue mtindo wa kulala unakuelezea uanaume wako

12. Usikae uchi ovyo mbele ya mkeo.
Usipende tabia ya kuwa uchi bila sababu mbele ya mkeo au demu bila sababu a kujamba ovyo
Wanaume hatuko hivo
Usifanye hivo eti ndo uhuru kwa mpenzi wako huo ni udhaifu na ujinga

Uanaume siyo pesa ni maisha na jinsi gani una behave
Hivyo ni vigezo ili uonekane wewe ni "macho man" mbele ya wanaokuzunguka , lakini siyo vipimo vya uanaume wa kweli. Ni ujinga mtupu. Kama ingekuwa ndivyo, basi kila mwanaume wa kweli angetakiwa kupitia mafunzo ya ukomandoo. Kama unataka uonekane wewe ni "macho man" wa kweli, nenda gerezani ukaonyeshe how macho you are mbele ya wanaume wenzio.
 
Sikupingi mkuu. Ngoja tuongezee


13. Mwanaume kamili haoi au kufanya maisha na single maza
●Hiyo ni kujishusha thamani ni sawa na kujiunga kwenye familia ya mwanaume mwenzako. Mwanaume anatakiwa aanzishe familia yake mwenyewe na ndivyo Mungu anataka

14. Mwanaume kamili haudumii demu au mpenzi anamhudumia mke tu
●Baba ndiye mwenye jukumu la kumtunza binti yake mbaye hajaolewa

15. Mwanaume anapiga simu moja tu na kama ni meseji ni moja tu kwa manzi.
●Kama manzi hapigi au hajibu haina kupiga tena au kudouble text aanze yeye kukutafuta

16. Anajitanguliza yeye mwenyewe, familia yake na marafiki zake badala ya mwanamke/mpenzi/girlfriend

17. Mwanaume ha-date na mwanamke ambaye mchango wake ni K tu kwenye mahusiano

18. Hamrudii ex wake wala kumsamehe mwanamke msaliti

19. Kama sio bikira haina kulipa mahari

20. Mwanaume kamili hatumii snapchat, TikTok na wala hapost status kwenye WhatsApp

21. Maneno machache vitendo vinaongea

22. Mwanaume anasave zaidi kibunda chake kuliko matumizi

23. Mwanaume kamili ni mpambanaji yuko consistent in hustling
 
1. Rangi za mavazi
Rangi zinazungumza sana kuelezea mwanaume.
Katu usivae rangi ya pinki, yellow, maloon, purple.
Pendelea kuvaa rangi nyeupe, blue, red na black

2.usitamke ovyo neno nakupenda sijui I Love you.
Usimwambie demu I love you sijui nini ni ujinga tu.
Usimwambie neno hilo mkeo au mwanao.
Mwanaume lijali tunalisemaga hilo neno kwa matendo.


3.Usivae sare na mkeo.
Hilo ni udhaifu kwa kidume kujivika sare za kitenge na mkeo kama vipepeo

4. Usipige picha ovyo.
Kwenda location kama mademu ati kupiga picha ni tabia za kike mno

5. Usifanye birthday party.
Kuwa busy na ahughuli zako
Mwanaume anazaliwa mara moja
Birthday party ni mambo ya kike

6. Usipambanie mapenzi acha mapenzi yakupambanie,
Kidume unapigaje simu kwa demu, unatuma sms kwa demu hazijibiwi, huna shughuli za kufanya.
Mademu wengi wanapenda wanaume wasiowalilia malijali hasa, hiyo siri nmewapa

7. Chunga unavoongea ,
Usiongee kwa hisia labda kupanic au kufurahi sana,
Usifurahi kucheka sana mbele ya mkeo au demu.
Cheka kiasi

8. Fanya mazoezi uweke mwili timamu.
Sio unakuwa na mwili nyanya hamna kifua, mwanaume kuwa mikono laini
Hakikisha unavoamka jiweke kiume piga push ups kadhaa
Ruka kamba nk

9. Usivae nguo za kubana


10. Style za nywele.
Nyoa kiume usije kunyoa kibwezi, kiduku na style zingine kivulana

11. Style ya kulala
Usilale kwa kukuja miguu
Au kujikunyata
Lala chali na ujitanue mtindo wa kulala unakuelezea uanaume wako

12. Usikae uchi ovyo mbele ya mkeo.
Usipende tabia ya kuwa uchi bila sababu mbele ya mkeo au demu bila sababu a kujamba ovyo
Wanaume hatuko hivo
Usifanye hivo eti ndo uhuru kwa mpenzi wako huo ni udhaifu na ujinga

Uanaume siyo pesa ni maisha na jinsi gani una behave
Dah hapo kwenye kujamba maamaee yani demu wangu ananivumiliaga kwasababu akikumbuka moto naompelekea nakumfikisha kileleni anavumilia tu harufu na kishindo. Maanake siyo mjambo wa kitoto maamaee ni kishindo haswa with devastating impact mbrrr mbrrrr mbrr MBRRRRRR

Mufti kuku The Infinity Lamomy adriz
 
Nami pia niongeze point muhimu kwa wanaume wenzangu.

Baada ya kumaliza mlo wa usiku jitahidi kunywa maji mengi,kunywa maji ya kutosha mwanaume. Hii itasababisha usiku uamke amke kwenda kukojoa, hivyo unavyoamka usiku unapiga Doria mjengoni kwako, hiyo itakusaidia kuepuka mambo ya kipuuzi kama kuibiwa na vibaka(mie mtaani kwangu Vijana wanasemaga huwa silali usiku, maana mara nyingi wakikatisha anga zangu wananikuta nipo nazunguka zunguka)

Hii kanuni inasaidia mambo mengi sana ukiitumia, hata Ile michezo ya watoto wa jinsia tofauti kuamka usiku kwenda kuzamia chumba cha jinsia nyingine(nilikuaga nazamia sana chumba cha house girl enzi zangu) itapungua
Wengine ukiamka tu ukatembea,tayari ni kosa la kiufundi kutakucha uko zako unafikiria refa alikataaje goli la yanga???
 
Hivyo ni vigezo ili uonekane wewe ni "macho man" mbele ya wanaokuzunguka , lakini siyo vipimo vya uanaume wa kweli. Ni ujinga mtupu. Kama ingekuwa ndivyo, basi kila mwanaume wa kweli angetakiwa kupitia mafunzo ya ukomandoo. Kama unataka uonekane wewe ni "macho man" wa kweli, nenda gerezani ukaonyeshe how macho you are mbele ya wanaume wenzio.
Huwezi kuwa mwanaume kamili ukawa huna sehemu kubwa ya sifa hizl,ukikosa nyingi ya sifa hizo ndipo pale utasikia watu wanasema una mambo ya kike kike.

Hayafundishwi popote haya,ila yanaambukizwa kutoka kwa mwanaume huyu kwenda kwa yule,ukikulia mazingira ya wanaume wanoingia mapaka mcity na pensi za juu ya magoti,kila kitu utaona ni sawa kwa mwanaume.

Nyongeza,mwanaume hajisikii uvivu wala uzito kuwa na haiba ya kiume,hata toto lako la kiume ukiliambia mwanaume halii hovyo,linameza hiyo na kuifanyia kazi sio kuleta utetezi.
 
1. Rangi za mavazi
Rangi zinazungumza sana kuelezea mwanaume.
Katu usivae rangi ya pinki, yellow, maloon, purple.
Pendelea kuvaa rangi nyeupe, blue, red na black

2.usitamke ovyo neno nakupenda sijui I Love you.
Usimwambie demu I love you sijui nini ni ujinga tu.
Usimwambie neno hilo mkeo au mwanao.
Mwanaume lijali tunalisemaga hilo neno kwa matendo.


3.Usivae sare na mkeo.
Hilo ni udhaifu kwa kidume kujivika sare za kitenge na mkeo kama vipepeo

4. Usipige picha ovyo.
Kwenda location kama mademu ati kupiga picha ni tabia za kike mno

5. Usifanye birthday party.
Kuwa busy na ahughuli zako
Mwanaume anazaliwa mara moja
Birthday party ni mambo ya kike

6. Usipambanie mapenzi acha mapenzi yakupambanie,
Kidume unapigaje simu kwa demu, unatuma sms kwa demu hazijibiwi, huna shughuli za kufanya.
Mademu wengi wanapenda wanaume wasiowalilia malijali hasa, hiyo siri nmewapa

7. Chunga unavoongea ,
Usiongee kwa hisia labda kupanic au kufurahi sana,
Usifurahi kucheka sana mbele ya mkeo au demu.
Cheka kiasi

8. Fanya mazoezi uweke mwili timamu.
Sio unakuwa na mwili nyanya hamna kifua, mwanaume kuwa mikono laini
Hakikisha unavoamka jiweke kiume piga push ups kadhaa
Ruka kamba nk

9. Usivae nguo za kubana


10. Style za nywele.
Nyoa kiume usije kunyoa kibwezi, kiduku na style zingine kivulana

11. Style ya kulala
Usilale kwa kukuja miguu
Au kujikunyata
Lala chali na ujitanue mtindo wa kulala unakuelezea uanaume wako

12. Usikae uchi ovyo mbele ya mkeo.
Usipende tabia ya kuwa uchi bila sababu mbele ya mkeo au demu bila sababu a kujamba ovyo
Wanaume hatuko hivo
Usifanye hivo eti ndo uhuru kwa mpenzi wako huo ni udhaifu na ujinga

Uanaume siyo pesa ni maisha na jinsi gani una behave
Chai
 
Back
Top Bottom