Mwanaume zingatia haya mambo madogo

Mwanaume zingatia haya mambo madogo

Usilale kwa kukuja miguu
Au kujikunyata
Lala chali na ujitanue mtindo wa kulala unakuelezea uanaume wako

Nitalala chali sawa, shida kifua kinakuwa sambamba na tumbo yn ni flat hyo si aibu bora nijkunje tu budder ang.
 
niliwai kubahatika kuingia mahabusu kahama kama mtuhumiwa miaka ya 2012.
sikuamini nilichoona wanaume wa kisukuma hawatofautishi chupi za kiume na kike!
wanavaa zozote bila hofu, hadi bikini!
sijui na wanawake ni hivyo hivyo au la!
Kuingia mahabusu ni kubahatika?
 
Rangi ya nguo pink na purple siwezi kuvaa hata siku moja ila njano na maloon kwangu hazina shida., hapa nilipo tu nimepiga tshirt ya long sleeve rangi maloon plain
Kwahiyo mashabiki wa mbeya city tuishije.?
 
Alafu bora wewe mkuu sheria zako sio kali sana...
Kuna jamaa alisema mwanaume ukikuta mtoto wako anaangalia tamthilia l. Mfanye alie.🙌🙌🙌🙌🙌
Ee ndo wale baba anaingia ndani/sebuleni watoto wanaenda mwendo wa kunyata na kuinama mzee asiwaone kama walikuwa sebuleni
Alafu bora wewe mkuu sheria zako sio kali sana...
Kuna jamaa alisema mwanaume ukikuta mtoto wako anaangalia tamthilia l. Mfanye alie.🙌🙌🙌🙌🙌
 
Jamaa una akili sana, masculine figure km wewe wanahitajika humu JF. Najua wapo wengi ila wana exist in shadow, jitokezeni mnahitajika humu wazee. kuna brother alinipa story ya mfanyakazi mwenzie, anasema huyu mshikaji ana wake wawili ni waislam, wake zake wote wanafanya kazi ni waajiriwa ila mishahara yao ana control mshikaji, amejenga nyumba 3 in one na wanaishi wote hapo, nikajiuliza anawezaje huyu mwamba kwa dunia hii ya sasa, nahisi mshikaji atakuwa kichwa sana, akili nyingi, nahitaji kuzungukwa na watu kama hao.
 
Back
Top Bottom