UrbanSaint
Senior Member
- Aug 20, 2020
- 102
- 261
Mume akichepuka, mke samehe mgange yajayo.
But mume never usije kufanya kosa la kusamehe mkeo akichepuka.
Mwanaume anachepuka kwa sababu tofauti kabisa na zinazomfanya mwanamke achepuke
Mwanaume anachepuka sababu ya Tamaa wakati mwanamke anachepuka sabau ya ku-replace/upgrade.
Mwanaume anaweza kuchepuka na mwanamke mpya kila siku na bado moyoni akampenda mkewe.
Kwa asili mwanaume ni predator.. Haijalishi amewahi kulala na wanawake wangapi lakini atatamani wale ambao hajawahi kulala nao.
Mwanamke anachepuka akihisi amempata mwanaume bora zaidi yako.
anachepuka ku-upgrade/ku-replace.
Mwanamke akishachepuka hata mara moja tu kamwe hawezi kukuheshimu tena. Hata akilia na kujigalagaza wiki nzima na mkaendelea na maisha.. deep down moyoni mwake hawezi kuwa na heshima na wewe tena.
Mwanamke hajaumbwa kama mwanaume. Mwanamke
moyo na nafsi yake yaweza kujitoa kwa mwanaume mmoja tu
Usiombe ushauri juu ya suala hili.
Jamii yetu imeegemea kwenye usuluhishi kuliko uhalisia.
Ukiomba ushauri kwa kiongozi wa dini atakwambia shetani ameleta majaribu.
Ndugu na marafiki, watakwambia, vumilia, mitihani ya ndoa.
Usiingie kwenye huo mtego.
Na usijifariji kichwani kwamba ameteleza.
Hakuna mwanamke aliyechepuka mara moja na kuacha. Ni vile tu baada ya hapo anachepuka kwa uangalifu zaidi.
Let her go..
Usione kama umempoteza, bali tazama kama umejiepusha na balaa na matatizo kwenye maisha.
But mume never usije kufanya kosa la kusamehe mkeo akichepuka.
Mwanaume anachepuka kwa sababu tofauti kabisa na zinazomfanya mwanamke achepuke
Mwanaume anachepuka sababu ya Tamaa wakati mwanamke anachepuka sabau ya ku-replace/upgrade.
Mwanaume anaweza kuchepuka na mwanamke mpya kila siku na bado moyoni akampenda mkewe.
Kwa asili mwanaume ni predator.. Haijalishi amewahi kulala na wanawake wangapi lakini atatamani wale ambao hajawahi kulala nao.
Mwanamke anachepuka akihisi amempata mwanaume bora zaidi yako.
anachepuka ku-upgrade/ku-replace.
Mwanamke akishachepuka hata mara moja tu kamwe hawezi kukuheshimu tena. Hata akilia na kujigalagaza wiki nzima na mkaendelea na maisha.. deep down moyoni mwake hawezi kuwa na heshima na wewe tena.
Mwanamke hajaumbwa kama mwanaume. Mwanamke
moyo na nafsi yake yaweza kujitoa kwa mwanaume mmoja tu
Usiombe ushauri juu ya suala hili.
Jamii yetu imeegemea kwenye usuluhishi kuliko uhalisia.
Ukiomba ushauri kwa kiongozi wa dini atakwambia shetani ameleta majaribu.
Ndugu na marafiki, watakwambia, vumilia, mitihani ya ndoa.
Usiingie kwenye huo mtego.
Na usijifariji kichwani kwamba ameteleza.
Hakuna mwanamke aliyechepuka mara moja na kuacha. Ni vile tu baada ya hapo anachepuka kwa uangalifu zaidi.
Let her go..
Usione kama umempoteza, bali tazama kama umejiepusha na balaa na matatizo kwenye maisha.