Naonaga soo sana kufuliwa boxer, soksi na handkerchief.
Mke wangu hafui hivi vitu.
jichunguze looh utakuwa na shida sana.....afu ooh dem cmuelewi huyu mwanzo tulikuwa sawa lkn saiv dah...kaa tafakari ilo nalo laweza kuwa tatizo kaka.
Bora sisi kama...beberu nyie ni zaidi ya vibudu....sometimes nzi wa kijani anawafata.....
yan mkeo unamuonea noma kukufulia boxa???i guess inakuwa na mabao...thats why!!!
Hapana, mabao yatoke wapi wakati nampunguzia yeye? Ila naonaga sio poa kabisa, kwahyo wewe unafua ya mpenzi wako??
Habari zenu wanajukwaa.
Mimi nina somo kwa wanaume, hivi usafi wa nguo ya ndani kila siku ni kwa mwanamke peke yake au?
Kiroja cha mwaka mwanamme mzima anasema kutokana na maumbile yetu sisi wanaume tukivaaa boxer hata siku tatu ni sahihi.
Niliposikia hivyo nilijiuliza swali nyinyi hamtoi uchafu wa mwili au vipi wenzetu hamhisi uvundo.
Haijalishi hali ya hewa ikoje.
Usafi unahitajika kila wakati jamani na si kwa girls tu, jitu lajitia umaridadi nje kumbe boxer nayo ni shida kufua kutwaa unasogoa kijiweni hata muda wa kusafisha nguo yako ya ndani ni shida.
Inasikitisha kwa kweli, kumbuka fangasi inakunyemelea muda si mfupi.
Other wise uwe na pants nyingi kama ni mvivu wa kufua kila siku.
Chagua wikiend ufue rundo lako.
Boxer moja then kurudia na hili joto letu la Dar ndo usiseme kitu pwiyaaaaa
Ni hayo tu please guys be smart in and out.
Naipeleka dry cleaner maana mimi mwenyewe imenishinda....si unajua ina zaidi ya mwaka....Ngastuka machale kundesa teh teh teh jiki hapo usisahau hahahaha
Naipeleka dry cleaner maana mimi mwenyewe imenishinda....si unajua ina zaidi ya mwaka....
ilikuwa nyekundu ikawa njano...mara ikageuka blue sasa inakimbilia kwenye weusi...ngoja niiwahi
si unajua boxer yenyewe ndio hiyo hiyo moja
Habari zenu wanajukwaa.
Mimi nina somo kwa wanaume, hivi usafi wa nguo ya ndani kila siku ni kwa mwanamke peke yake au?
Kiroja cha mwaka mwanamme mzima anasema kutokana na maumbile yetu sisi wanaume tukivaaa boxer hata siku tatu ni sahihi.
Niliposikia hivyo nilijiuliza swali nyinyi hamtoi uchafu wa mwili au vipi wenzetu hamhisi uvundo.
Haijalishi hali ya hewa ikoje.
Usafi unahitajika kila wakati jamani na si kwa girls tu, jitu lajitia umaridadi nje kumbe boxer nayo ni shida kufua kutwaa unasogoa kijiweni hata muda wa kusafisha nguo yako ya ndani ni shida.
Inasikitisha kwa kweli, kumbuka fangasi inakunyemelea muda si mfupi.
Other wise uwe na pants nyingi kama ni mvivu wa kufua kila siku.
Chagua wikiend ufue rundo lako.
Boxer moja then kurudia na hili joto letu la Dar ndo usiseme kitu pwiyaaaaa
Ni hayo tu please guys be smart in and out.
Habari zenu wanajukwaa.
Mimi nina somo kwa wanaume, hivi usafi wa nguo ya ndani kila siku ni kwa mwanamke peke yake au?
Kiroja cha mwaka mwanamme mzima anasema kutokana na maumbile yetu sisi wanaume tukivaaa boxer hata siku tatu ni sahihi.
Niliposikia hivyo nilijiuliza swali nyinyi hamtoi uchafu wa mwili au vipi wenzetu hamhisi uvundo.
Haijalishi hali ya hewa ikoje.
Usafi unahitajika kila wakati jamani na si kwa girls tu, jitu lajitia umaridadi nje kumbe boxer nayo ni shida kufua kutwaa unasogoa kijiweni hata muda wa kusafisha nguo yako ya ndani ni shida.
Inasikitisha kwa kweli, kumbuka fangasi inakunyemelea muda si mfupi.
Other wise uwe na pants nyingi kama ni mvivu wa kufua kila siku.
Chagua wikiend ufue rundo lako.
Boxer moja then kurudia na hili joto letu la Dar ndo usiseme kitu pwiyaaaaa
Ni hayo tu please guys be smart in and out.