Mwanaume wiki hufui boxer

Mwanaume wiki hufui boxer

Naonaga soo sana kufuliwa boxer, soksi na handkerchief.

Mke wangu hafui hivi vitu.
 
jichunguze looh utakuwa na shida sana.....afu ooh dem cmuelewi huyu mwanzo tulikuwa sawa lkn saiv dah...kaa tafakari ilo nalo laweza kuwa tatizo kaka.

Kufuafua ni shiiiiidaaah
 
Demu kaja gheto akawahi mwenyewe kuvulia kufuli lake ndani ya shuka nikashangaa sana!

Alipoenda chooni si nikaangalia kufuli lake daaah nilichokiona ni siri yangu!

Akija kwako akivulia ndani ya shuka hataki ww uone kuwa makino sana nae
 
Kuna jamaa alikuja kwangu na kuomba msaada wa hifadhi mambo yake sio mazuri.

Tatizo jamaa hafui nguo zake wala boxer akikaa hata sebuleni unatamani ukimbie hiyo halufu, ukiingia room kwake dak tano ushazimia.

Natamani angeuona huu uzi labda ungemfaa ila tatizo hajui hata kama kuna kitu duniani kinaitwa JF.

Asante mtoa mada najua utasaidia wengi
 
yan mkeo unamuonea noma kukufulia boxa???i guess inakuwa na mabao...thats why!!!

Hapana, mabao yatoke wapi wakati nampunguzia yeye? Ila naonaga sio poa kabisa, kwahyo wewe unafua ya mpenzi wako??
 
Hapana, mabao yatoke wapi wakati nampunguzia yeye? Ila naonaga sio poa kabisa, kwahyo wewe unafua ya mpenzi wako??

sa nisipofua mie atazifua nani? hiyo kazi ni yangu kufua boxa, sox, vitambaa na singlend zake haviguswi na mtu yeyote isipokuwa mimi tu.
 
Habari zenu wanajukwaa.

Mimi nina somo kwa wanaume, hivi usafi wa nguo ya ndani kila siku ni kwa mwanamke peke yake au?

Kiroja cha mwaka mwanamme mzima anasema kutokana na maumbile yetu sisi wanaume tukivaaa boxer hata siku tatu ni sahihi.

Niliposikia hivyo nilijiuliza swali nyinyi hamtoi uchafu wa mwili au vipi wenzetu hamhisi uvundo.

Haijalishi hali ya hewa ikoje.

Usafi unahitajika kila wakati jamani na si kwa girls tu, jitu lajitia umaridadi nje kumbe boxer nayo ni shida kufua kutwaa unasogoa kijiweni hata muda wa kusafisha nguo yako ya ndani ni shida.

Inasikitisha kwa kweli, kumbuka fangasi inakunyemelea muda si mfupi.

Other wise uwe na pants nyingi kama ni mvivu wa kufua kila siku.

Chagua wikiend ufue rundo lako.

Boxer moja then kurudia na hili joto letu la Dar ndo usiseme kitu pwiyaaaaa

Ni hayo tu please guys be smart in and out.

asante kwa ushauri kwa waume lakini mie nadhani huu ushauri haunihusu kwa kuwa sivaagi chupi.
 
Ngastuka machale kundesa teh teh teh jiki hapo usisahau hahahaha
Naipeleka dry cleaner maana mimi mwenyewe imenishinda....si unajua ina zaidi ya mwaka....
ilikuwa nyekundu ikawa njano...mara ikageuka blue sasa inakimbilia kwenye weusi...ngoja niiwahi
si unajua boxer yenyewe ndio hiyo hiyo moja
 
Naipeleka dry cleaner maana mimi mwenyewe imenishinda....si unajua ina zaidi ya mwaka....
ilikuwa nyekundu ikawa njano...mara ikageuka blue sasa inakimbilia kwenye weusi...ngoja niiwahi
si unajua boxer yenyewe ndio hiyo hiyo moja

hahahahahaha lol kikuuuu...he vdole havijakatika?
 
  • Thanks
Reactions: awp
Habari zenu wanajukwaa.

Mimi nina somo kwa wanaume, hivi usafi wa nguo ya ndani kila siku ni kwa mwanamke peke yake au?

Kiroja cha mwaka mwanamme mzima anasema kutokana na maumbile yetu sisi wanaume tukivaaa boxer hata siku tatu ni sahihi.

Niliposikia hivyo nilijiuliza swali nyinyi hamtoi uchafu wa mwili au vipi wenzetu hamhisi uvundo.

Haijalishi hali ya hewa ikoje.

Usafi unahitajika kila wakati jamani na si kwa girls tu, jitu lajitia umaridadi nje kumbe boxer nayo ni shida kufua kutwaa unasogoa kijiweni hata muda wa kusafisha nguo yako ya ndani ni shida.

Inasikitisha kwa kweli, kumbuka fangasi inakunyemelea muda si mfupi.

Other wise uwe na pants nyingi kama ni mvivu wa kufua kila siku.

Chagua wikiend ufue rundo lako.

Boxer moja then kurudia na hili joto letu la Dar ndo usiseme kitu pwiyaaaaa

Ni hayo tu please guys be smart in and out.

miili yetu inadry cleaner ha ha ha proud 2b a real man
 
huu uzi umenichekesha sana, taru ulichokiongea ni kweli tupu, wanaume waliowengi si wasafi kuanzia boxer, singilendi za ndani, hengachifu, makwapa hawanyoi, na huko chini ndo shida tupu. jamani wanatoa harufu hadi kinyaa
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu wanajukwaa.

Mimi nina somo kwa wanaume, hivi usafi wa nguo ya ndani kila siku ni kwa mwanamke peke yake au?

Kiroja cha mwaka mwanamme mzima anasema kutokana na maumbile yetu sisi wanaume tukivaaa boxer hata siku tatu ni sahihi.

Niliposikia hivyo nilijiuliza swali nyinyi hamtoi uchafu wa mwili au vipi wenzetu hamhisi uvundo.

Haijalishi hali ya hewa ikoje.

Usafi unahitajika kila wakati jamani na si kwa girls tu, jitu lajitia umaridadi nje kumbe boxer nayo ni shida kufua kutwaa unasogoa kijiweni hata muda wa kusafisha nguo yako ya ndani ni shida.

Inasikitisha kwa kweli, kumbuka fangasi inakunyemelea muda si mfupi.

Other wise uwe na pants nyingi kama ni mvivu wa kufua kila siku.

Chagua wikiend ufue rundo lako.

Boxer moja then kurudia na hili joto letu la Dar ndo usiseme kitu pwiyaaaaa

Ni hayo tu please guys be smart in and out.

Ndio maana mie nikienda kununua boxer sipiti maduka ya mitaani naingia maduka ya jumla najikusanyia dozen 3 kaaaazi kweli kweli mwezi mzima bandika bandua kufua mpaka mwezi umalizeee
 
Back
Top Bottom