- Thread starter
- #41
pole sana kwa kukutana na wanaume wa aina hio maanake AISIFIAE MVUA IMEMNYEA....
ungefanya la maana umnunulie huyo jamaa yako boxers nyingi kidogo maanke ni wazi ana boxers si zaidi ya tatu....
na umwambie kuwa asirudie kuvaa boxer abadili kila siku,POLE SANA KWA YALIYOKUKUTA
hapa unapoteza muda tu maanake sidhani kama hao type yako wamo humu, humu tumo watu tuna boxers za kuvaa MWEZI MZIMA BILA KURUDIA tena designers sio za CHINGA vitu kama CK,PHAT FARM,PRINGLE,NEXT etc na nisikufiche huwa nazirundika maanake siwezi kufua kila siku nafua baada ya wiki au wiki mbili!!!!!!
asante sana......kumbuka kwa matendo icje ikawa maneno...kwa namna moja au nyingine itakuwa imekugusa bila shaka