KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,758
- 39,493
Alafu wewe nikikukamata....utajuta kumiliki papuchi......ngoja nikafue BOXER yangu kwanzaHa ha imekuuma hiyoooo
Alafu wewe nikikukamata....utajuta kumiliki papuchi......ngoja nikafue BOXER yangu kwanzaHa ha imekuuma hiyoooo
Ni huyo mwanaume uliyekutana naye ni mchafuuu mimi navaa boxer kila ninapooga nilazima nibadrishe sasa inategemea nimeoga mara ngapi ila usi generalize wanaume wote nihuyo uliyekutana naye kama ni wamgodo nakubaliana naye kwani kazi zao hawana nafasi!Sawa taru hata nyie nina record yenu Brazia nyie mnavaa wiki kataa??hata wewe uliyovaa siyo yaleo!
nifue boxer kwan dem kazi yake nn?? nihangaike kusaka hela na yy lazima atoke kwao aje kunifulia kila wkend
Hahaaaa... naona visasi vinalipwa...
Sasa binti kucha mpaka nyayo unasafishwa na machinga, huko ndani pana hali gani?, na wewe utajiweka kwenye kundi la wasafi kweli?
Alafu wewe nikikukamata....utajuta kumiliki papuchi......ngoja nikafue BOXER yangu kwanza
Mimi siyo wa hivyo pole but wewe niko na uhakika kuwa Brazia yako siyo ya leo!BTW mimi nikivaa boxer naweka kwenye sehemu ya nguo chafu sasa utaona kuwa mimi sikama mwanaume wako!yote ni usafi tu ucjiteteee. ....kubali tu hali halisi kuwa nyinyi baadhi yenu mtaaabani kiusafi,uzuri limekugusa eeeh?! so kaaanze kufua ryt nw
....Chumvini huwa hatuogelei huwa tunalamba huku tukifurahia ladha ya chumvi huko mgodini........Ha ha ha ha utaogelea tu kama dagaa kwenye bwawa ha.ha
....Chumvini huwa hatuogelei huwa tunalamba huku tukifurahia ladha ya chumvi huko mgodini........
mi ndo nimeanza kufua...
mi mwenyewe ndo nimeanika sasa hvi. Ahsante mleta mada kukumbusha wajibu muhimu
enzi zile bado sijakua na wakuomba mechi za ghafla nlikua najivalia wiki kwa raha zangu... lakini sikuhizi nikioga nabadili tu maana lolote laweza kutokea muda wowote
eti "joto letu la dar"
hivi wanajf wote mnaishi dar??
Alafu wewe nikikukamata....utajuta kumiliki papuchi......ngoja nikafue BOXER yangu kwanza