habari zenu wanajukwaa...mimi nna somo kwa hawa me,hivi usafi wa nguo ya ndani kila cku ni kwa ke peke yao au? Mana kiroja cha mwaka janamme zma linasema kutokana na maumbile yetu sisi me tukivaaa boxer hata cku tatu ni sahihi...mi hoi kuckia hivyo,swali nyinyi hamtoi uchafu wa mwili au vp wenzetu..hamhisi uvundo..haijalishi hali ya hewa ikoje..usafi unaitajika kila wakati jamaniii,na si kwa galz tu.jitu lajitia umaradadi nje kumbe boxer nayo ni shida kufua kutwaa unasogoa kijiweni hata mda wa kuswafi nguo yako ya ndani ni shidaaaaah,inasikitisha kwa kweli.kumbuka fangasi inakunyemelea mda c mfupi.other wise uwe na pants as galz nyingi kama ni mvivu wa kufua kila cku..chagua wikiend ufue rundo lako..boxer moja then kurudia na hili joto letu la dar ndo usiseme kitu pwiyaaaaa!!! Lol ni hayo tu plz gyz be smart in and out.