bitebo7
JF-Expert Member
- May 1, 2015
- 858
- 601
Naamini atanielewa
Ukimuona mbishi mbishi njoo nikupunguzege mawazo
Naamini atanielewa
Ukimuona mbishi mbishi njoo nikupunguzege mawazo
Yani best na wewe unashauri afanye mambo ya watoto? aaaah!Muwekee kwenye profile ya whatsapp.
Ukinidelete wenzio wananidownload
roho itamruka atakupigia kila muda.
Yani best na wewe unashauri afanye mambo ya watoto? aaaah!
Hiyo mipasho inaandikwa na watu wasiojielewa...!
N ngumu kuuchuna kweli hapa kwenyewe nimetoka kumcheck ila hajapokea
Ningekuwa napata hzo gudnight nsingeleta hii mada kwenu,mfano mzuri n leo hadi muda huu hamna cha msg wala cal,me nimepiga haijapokelewa
Sijawahi kumpga mizinga na sina hiyo hulka kabisa
Daaa! basi swtybby nakuonea huruma sana. Cha msingi wewe jitahidi kumpotezea tu na baada ya muda si mrefu utasahau na maisha yataendelea kama kawa. Watu ghafla wanafiwa na wapenzi wao waliowapenda sana lakini wanajikaza na baada ya muda flani huzuni huwaishia na wanadunda hadi sasa bila mawazo kama zamani sembuse wewe!.Cha kujua ni kuwa kilichokutokea wewe siyo kigeni hapa duniani na waswahili kwa kulijua hili walisema kuwa kifo cha wengi ni harusi hivyo usikonde saana hadi ukawa kama Betina.Ninauhakika ukimpata jamaa atakayekujali vizuri utamsahau tu huyo EX-wako. Mwanamuziki nguli Chidumule aliwahi kuimba Usipate taabuuu Nema uliyoyafanya siyo mageni hapa duniani...........Tafuta wimbo huu,usikilize,fananisha na hali iliyokutokea halafu utanielewa ninachosema. Bye.
Ukituma text haijibiwi siku nzima au unataka dakika hiyo hiyo akujibu?
unapiga simu saa ngapi?
why usiwe unapiga simu time ambazo unajua yupo nyumbani na anajiandaa kulala?
kama unapiga simu office hours na yeye ni very busy person ni halki yake kutokupokea
Muwekee kwenye profile ya whatsapp.
Ukinidelete wenzio wananidownload
roho itamruka atakupigia kila muda.
hahahahaha mipasho mingine unamkimbiza kabisa
kuna mmoja aliweka SHULE ULIYOSOMA MIE NILIJENGA
What i sense from you is neediness. Una hali ya kuhitaji mtu mwingine ili upate kamilisho, (fulfillment) Nimeshawahi kupita phase hiyo na kwakweli mwisho wake si mzuri. Tumia nafasi hii ili ukue.
The truth is, hata uangaike kiasi gani hautokuja kupata furaha na mapenzi nje yako. Relationships are meant to grow us, do not enter a relationship with a preconceived idea of 'how it should be' Rather build slowly with the aim of attaining True Love
True love is inside you, if you are able to find it within you then your partner will reciprocate it. Eventually both of you will find harmony, your relationship will not be about petty issues anymore.