Mwanaume wangu yupo busy, nifanye nini?

Mwanaume wangu yupo busy, nifanye nini?

Siamini kama mleta uzi hapati salamu ya aina hiyo.. Ninachoona kwenye andiko lake anataka zaidi.. Hapo sasa ndo ninaporudi kwenye pointi yangu kwamba jamaa kihulka sio wale romantic.. Ni aina ya mwanaume ambae anatoka hom asubuhi na kwenda kazini kwa ajili ya familia yake.. suala la sijui hun unaendeleaje mchana au ooh umeshakula kwake ni N/A.. Ndio alivyo na hawezi kubadilika au kubadilishwa..

NB: By saying yale mapenzi ya kwenye tamthilia nilikuwa ninamaanisha wale wenye hulka hiyo ya being romantic dear.. Usinielewe vibaya gorgeousmimi..

Ningekuwa napata hzo gudnight nsingeleta hii mada kwenu,mfano mzuri n leo hadi muda huu hamna cha msg wala cal,me nimepiga haijapokelewa
 
Last edited by a moderator:
Tatizo unamuonesha unampenda sana
HIVI WANAUME HUWAJUI

just fata ratiba yake
atakopopiga pokea
akituma msg jibu
akikaa kimya NA WEWE KAA mmekutana ukubwani kila mtu kalelewa kwao huko na tabia ni tofauti
so kama unampenda fata ratiba yake yeye
CHUKUA HILI WAZO LITAKUSAIDIA

i think the right way is to synchronize their timetables, and not one side to adapt to the other. Because that way one side is going to be completely striped of its values, and things will not work out well!!
 
Mimi sijui kwanini sio mshabiki wa mapenzi ya mbali. Pole mtoa mada
 
swtybby

ndiyo wote tupo hivyo, kwani wewe haupo busy? Mnafikiri pesa tunatafuta saa ngapi?
 
Last edited by a moderator:
kwanza mko mikoa tofauti hiyo ndiyo factor kubwa ya kuijadili hayo ya simu ni minor sana swtybby
 
Last edited by a moderator:
i think the right way is to synchronize their timetables, and not one side to adapt to the other. Because that way one side is going to be completely striped of its values, and things will not work out well!!

kulingana na maelezo ya mtoa mada kashajaribu kukaa nae na kuongea si mara moja
wanaume ukijaribu kuongea nae swala moja hilo hilo
anakuambia unalalama,mwishoe anakwambia una kelele mwishoe anatengeneza
sababu
 
Kusomana gani wakati me ananiumiza 2

Leo na me nimeamua kuuchuna akipata muda atanitafuta

Umeona eh,alafu ameshajua yupo busy atlst anicheck kabla hajaanza kazi zake

Sasa usiku ndio anawahi kulala kwasababu ya uchovu unaweza kupiga simu saa tatu isipokelewe

Hahahaaaaa,vidume vipo ila nimempenda wa mbali

Kweli mapenzi daaaahh!!! Yanatuumiza lakin wapiiii...bado tumo!!! It seem jamaa kajua unampenda na kashajua ...hivyo ni kawaida!!! Embu try this (at home) akiuchuna na wewe uchune afu uone kama atakutafuta!!! Na kama akikutafuta how does he react!! Then hapo utapata jibu na mwelekeo wako!!

NB: Ni ngumu sana kumchunia hasa kama unamfeel!! But it worth a try!!!
 
i doubt the fact that he is always busy,a man will take you the way you present ur self to him,mayb he tells you he was busy and you always a affirm and smirk,you should also assume him and see his reaction
 
Jaribu kumueleza nini unataka ili naye akupe ratiba yake ya cku kama hatoweza basi upendo uongoze mahusiano yenu.....kwa vile mara nyingine siyo rahisi kimfanya vile ww utakavyo...
 
swtybby

mimi siko hivo, ni pm nikuondoe kwenye tabu hiyo
 
Last edited by a moderator:
Kweli mapenzi daaaahh!!! Yanatuumiza lakin wapiiii...bado tumo!!! It seem jamaa kajua unampenda na kashajua ...hivyo ni kawaida!!! Embu try this (at home) akiuchuna na wewe uchune afu uone kama atakutafuta!!! Na kama akikutafuta how does he react!! Then hapo utapata jibu na mwelekeo wako!!

NB: Ni ngumu sana kumchunia hasa kama unamfeel!! But it worth a try!!!

N ngumu kuuchuna kweli hapa kwenyewe nimetoka kumcheck ila hajapokea
 
Me hata usipokuja yan mawasiliano muhmu

Yaani hapo kwenye simu sasa ndio utaomba poo maana kila baada ya dk 5 nakujulia hali
*********
Ila jaribu kuongea nae wenda atakuelewa
 
Jaribu kumueleza nini unataka ili naye akupe ratiba yake ya cku kama hatoweza basi upendo uongoze mahusiano yenu.....kwa vile mara nyingine siyo rahisi kimfanya vile ww utakavyo...

Ntajaribu kufanya hvyo
 
Back
Top Bottom