utafiti
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 12,783
- 7,671
Kakuruhusu nani ujisahihishie?
Izo sifa zote nnazo
Kakuruhusu nani ujisahihishie?
"mimi siyo wala sijawahi kuwa malaya kama hutojali ni check kwenye 0768074172habari wakuu!!
Leo nimeamua kuandika kilichopo katika ndoto yangu katika swala zima la mahusiano..
Kila mtu amekuwa na ndoto au aina fulani hiv ya mtu ambaye angependa kuwa nawe katika mahusiano, kwangu mm namuota mwanaume wa aina hii..
1:mwanaume ambaye ningependa kuwa naye kwanza awe mwenye umri kati ya miaka 27-35
hii ni kwasababu mm mwenyewe nina miaka 27 kwahiyo nisingependa mwanaume nitakayekuwa nae nimzid umri..
2: Ningependa kuwa na mwanaume ambaye ameshapitia na kufanya mambo mengi sana, kiasi kwamba haoni jipya..
Mfano: Mwanaume ambaye alikuwa malaya ameshatembea na aina zote za wanawake amemaliza na ss ameamua kutulia na kutengeneza life.
3: Mwanaume ambaye ataniongoza katika maisha yangu, hasa katika ushaur au kunikosoa ninapokosea
4: Mwanaume ambaye atakuwa rafiki yangu..
5: Mwanaume ambaye anavumilika, nikisema anavumilika namaanisha hata kama hana kaz au ela lakini ni mwanaume ambaye ana akili na ukimsikiliza na kumuangalia ana future..
6:mwanaume ambaye anamsimamo na mwenye kujitambua anataka nn..
Dhaa!! Naota mengi ila kwasasa ngoja niishie hapa..
hhahahha unajisevia kumbeNipe kazi nikutafutie... Ila wakati nakutafutia nakua na wewe ili usiwe mpweke.
Hahahaa... Nipe fursa hiyo niichangamkie fasta..hhahahha unajisevia kumbe
changamka usisubiri fursaHahahaa... Nipe fursa hiyo niichangamkie fasta..
- :shocked:
Ngoja niwasambaze vijana wangu ,hapa ana fit Nicas Mtei au Kaizer Asprin akae kwanza bench asikilizie upepo
Habari wakuu!!
Leo nimeamua kuandika kilichopo katika ndoto yangu katika swala zima la mahusiano..
Kila mtu amekuwa na ndoto au aina fulani hiv ya mtu ambaye angependa kuwa nawe katika mahusiano, kwangu mm namuota mwanaume wa aina hii..
1:Mwanaume ambaye ningependa kuwa naye kwanza awe mwenye umri kati ya miaka 27-35
Hii ni kwasababu mm mwenyewe nina miaka 27 kwahiyo nisingependa mwanaume nitakayekuwa nae nimzid umri..
2: Ningependa kuwa na mwanaume ambaye ameshapitia na kufanya mambo mengi sana, kiasi kwamba haoni jipya..
Mfano: mwanaume ambaye alikuwa malaya ameshatembea na aina zote za wanawake amemaliza na ss ameamua kutulia na kutengeneza life.
3: mwanaume ambaye ataniongoza katika maisha yangu, hasa katika ushaur au kunikosoa ninapokosea
4: mwanaume ambaye atakuwa rafiki yangu..
5: mwanaume ambaye anavumilika, nikisema anavumilika namaanisha hata kama hana kaz au ela lakini ni mwanaume ambaye ana akili na ukimsikiliza na kumuangalia ana future..
6:mwanaume ambaye anamsimamo na mwenye kujitambua anataka nn..
Dhaa!! Naota mengi ila kwasasa ngoja niishie hapa..
Wewe ni Kiranga na una kiherehere.Mwanakulitafuta mwanakulipata.
changamka usisubiri fursa
Ahahahahah!Mkuu nisamehe bure nilikuwa namaanisha neno kiranga kama mtu machepele hivi.Halafu iyo mineno yako nilipokoleza kwa wino mwekundu inabidi nitafute kamusi kwanza na kama umenitukana mwenyewe.Usilitaje jina la Kiranga bure.
Unaweza kutumia Kiranga kama neno, lakini ukitaka kuni tag, hakikisha kuna sababu ya kunitag mimi Kiranga the person, as opposed to kiranga the word.
Else the dean will blast your greens to smithereens and gangrene your unclean routine. Knowwhattamean feen?
And while I sort this, best think of rigor mortis, prepare the dhoti or koti. I feel sorry if you are not forty with a hottie's goatee, clowning like Joti with no noti, Kiranga quoting Big Pun style when I flow this.
wala usipate tabu...ngoja nikutumie mie ya 20000Naanza kukutumia vocha ya 500 pm chap.
Ahahahahah!Mkuu nisamehe bure nilikuwa namaanisha neno kiranga kama mtu machepele hivi.Halafu iyo mineno yako nilipokoleza kwa wino mwekundu inabidi nitafute kamusi kwanza na kama umenitukana mwenyewe.
Habari wakuu!!
Leo nimeamua kuandika kilichopo katika ndoto yangu katika swala zima la mahusiano..
Kila mtu amekuwa na ndoto au aina fulani hiv ya mtu ambaye angependa kuwa nawe katika mahusiano, kwangu mm namuota mwanaume wa aina hii..
1:Mwanaume ambaye ningependa kuwa naye kwanza awe mwenye umri kati ya miaka 27-35
Hii ni kwasababu mm mwenyewe nina miaka 27 kwahiyo nisingependa mwanaume nitakayekuwa nae nimzid umri..
2: Ningependa kuwa na mwanaume ambaye ameshapitia na kufanya mambo mengi sana, kiasi kwamba haoni jipya..
Mfano: mwanaume ambaye alikuwa malaya ameshatembea na aina zote za wanawake amemaliza na ss ameamua kutulia na kutengeneza life.
3: mwanaume ambaye ataniongoza katika maisha yangu, hasa katika ushaur au kunikosoa ninapokosea
4: mwanaume ambaye atakuwa rafiki yangu..
5: mwanaume ambaye anavumilika, nikisema anavumilika namaanisha hata kama hana kaz au ela lakini ni mwanaume ambaye ana akili na ukimsikiliza na kumuangalia ana future..
6:mwanaume ambaye anamsimamo na mwenye kujitambua anataka nn..
Dhaa!! Naota mengi ila kwasasa ngoja niishie hapa..