Witch hunter
JF-Expert Member
- Nov 21, 2018
- 1,591
- 3,984
Naye akihitaji we piga tu.Vipi kuhusu mumewe..??
Naye akihitaji we piga tu.Vipi kuhusu mumewe..??
Acha kukariri..!Una jitumia meseji unajijibu
stop this fucking madness
Alikudanganya nani?Tunza mke wa Mtu na Mungu atakutunzia mke wako.
Hii nimewaza sana hasa kuhusu Yule chawa,Kama 10k Katema mambo kibao je kwa mumewe akipewa 50k si ataongea hata mambo ambayo hayapo..Kama biashara yako ni bora,hao wateja hawanunui kwa sababu yake bali ni kutokana na ubora wa Bidhaa au huduma.
Mwambie ukweli kuwa huwezi lala na Mke wa mtu,sasa wewe jichanganye.aliyekupa taarifa kuwa huyo ni mke wa mtu amisha peleka taarifa kwa mume wake
Mbona hujayaeleza hapa sasa?Watu huwa wanatembea na wake za watu sababu hawaelewi madhara au uzito wa issue ya kutembea na mke wa mtu.
Jambo la kwanza mtu anawazia ni kupiga mzigo mara kadhaa akizoea huyo mwanamke apige chini atafute mwingine.
Sasa kuna matokeo au mazingira hutokea unapokuwa unapiga wake za watu ni vema kujifunza.
😂😂😂😂😂 umenifurahisha sana mkuu.Na hz ndio nyuzi watanganyika wanazipenda na ccm inataka ziwe nyingi sana.
KAZI ni kipimo cha UTU
Karma ipoAlikudanganya nani?