Tusitafute pesa 😎.Na sisi athest tusiopenda watu kututembelea muda wote tunapenda kukaa peke yetu tutafanye nini ili wasije?
Ohio street na uwanja wa fisi.hebu nielekeze hilo chimbo na mimi nibadilike mpaka mnisahau
Ohio street wakati hookers wanatega ulikuwa hujazaliwa.Ohio street na uwanja wa fisi.
Kusema ukweli sina hamu na ndugu kunitembelea, niwe na hela au sina!Yangu ni hayo tu, leo sijisikii kuandika gazeti kubwa la Serekali kwa mada za kueleweka km hizi ili nikuchoshe sio vizuri kabisa mimi sihitaji kukuchosha mkuu, nimejisikia kukukumbusha tu.
Sasa wewe kaza hilo shingo lako tegesha hilo fuvu usitafute hela halafu uone km kuna ndugu atakutembelea hata ukilazwa.
Amka hapo nenda ukatafute hela.
Acha uvivu.
Muone.
Duuh walizojirithisha tena?Kusema ukweli sina hamu na ndugu kunitembelea, niwe na hela au sina!
Madhara na Mali walizo jirithisha INATOSHA!
Waniache niishi nitakavyo kama nami nilivyowapa nafasi hiyo...
Hahaha punguza kidogo basi mboni unajaza mpaka juu hivyo
Unataka kusikia habari za nani tena? Ndugu wamekufanya nini kwani?Sitaki habari za ndugu mimi nikienda kijijini
Oya kumefanya nini huko kwaani ndio kuna chimbo la nini unamueleza?Ohio street na uwanja wa fisi.
Hahaha nimeamka na hangover mbaya sana leo, dah bia naitazama chupa hapa natamani ninywe tenaOhio street wakati hookers wanatega ulikuwa hujazaliwa.
Duuh kwani umefanyajwe mkuu nini shida hutaki kutembeleana na ndugu?Mi hata nikiwa na mihela sitaki kutembelewa,sitaki mazowea,salamu tu hata kny simu mbelee
Upo sahihi kabisa ila kutegea mtego huko ndio kutafuta kwenye km unamsaka panya ukamkosa sasa ili umpate kirahisi unategesha tego akipita tu kanasa ila mwanzo ulikua unamtafuta haumpatiPesa haitafutwi bali inategewa mtego
DiuuuhNa sisi athest tusiopenda watu kututembelea muda wote tunapenda kukaa peke yetu tutafanye nini ili wasije?
Wengi Jau sanaDuuh kwani umefanyajwe mkuu nini shida hutaki kutembeleana na ndugu?
uwanja wa fisi nikaliwe? hell no🤣Ohio street na uwanja wa fisi.
Ndugu makocho sanaUnataka kusikia habari za nani tena? Ndugu wamekufanya nini kwani?
Unajua kibongo bongo tumezoea kwamba kutafuta hela ni mtu kuchacharika huku na huko, mara kusafiri huku na huko, lakini deep down kuna watu wanaonekana wapo simple tu hawachachariki lakini wanaingiza pesa nzuri tu, na mda huo huo jamii inawachukulia kama ni wazembe na hawachachariki kutafuta pesa.Upo sahihi kabisa ila kutegea mtego huko ndio kutafuta kwenye km unamsaka panya ukamkosa sasa ili umpate kirahisi unategesha tego akipita tu kanasa ila mwanzo ulikua unamtafuta haumpati