Mwanaume tafuta Hela Ndugu waje kukutembelea

Mwanaume tafuta Hela Ndugu waje kukutembelea

Lazima ndugu waje ukiwa mfuko umetuna,
umenielewa lakini nachomaanisha

Halafu kwa tafsiri yako hiyo na unajisifia kabisa kuwa unaikubalii,ndugu wa kweli atakuja hata kama huna kitu,na ndiyo maana nakuambia ndugu anaekuja wakati umefanikiwa hao ni kama chawa au kupe hawana msaada kwako bali kukufiata kwa ilichonacho tu,ndugu aliekua na mimi kwa hali zote huyo unakula nae vyema kabisa sio mnafiki huyo
 
Amka ukatafute zipo kila sehemu jicho lako tu
98E25B92-E58F-4B65-97A2-27AB022A38D6.jpeg
 
mimi motive ya kutafuta hela kuna maeno machache nimejipangia ni ya kusaidia wenye uhitaji,kuishi maisha ya kumpendaza Mungu,kula vizuri na familia yangu,kuvaa vizuri na familia yangu,kusaidia kazi ya Mungu, kipaumbele changu ni watoto wangu, mke wangu na mama yangu, maana mshua alishatanguliaga so hao ndiyo watu wangu wa karibu na sina cha kuregret juu ya maisha yangu,ndugu zangu niwasaidia vizuri tu ila wakiwa mbali mambo ya kuja kwangu kuanzia Januari mpaka december hapana sio ndugu zangu sio ndugu upande wq mke wangu ,ndugu lazima wawe na mipaka kipindi cha sikuku ndiyo naruhusu ndugu kutembelea ili watoto wawajue ndugu zao,na baada ya hiyo nimekua na maisha ya raha sana na amani tele ,najaribu kuwaambia kuwa kuna maisha unaweza ishi ukafurahia sana kwa kuweka kanuni ndogo tu,na Mungu hukaa sehemu yenye amani na utulivu isio na fitina,chagua kwq busara kuishi maisha mazuri na inawezekana
 
Yangu ni hayo tu, leo sijisikii kuandika gazeti kubwa la Serekali kwa mada za kueleweka km hizi ili nikuchoshe sio vizuri kabisa mimi sihitaji kukuchosha mkuu, nimejisikia kukukumbusha tu.

Sasa wewe kaza hilo shingo lako tegesha hilo fuvu usitafute hela halafu uone km kuna ndugu atakutembelea hata ukilazwa.
Amka hapo nenda ukatafute hela.
Acha uvivu.
Muone.
Utafute Hela kwani nimezipoteza?.
 
umenielewa lakini nachomaanisha

Halafu kwa tafsiri yako hiyo na unajisifia kabisa kuwa unaikubalii,ndugu wa kweli atakuja hata kama huna kitu,na ndiyo maana nakuambia ndugu anaekuja wakati umefanikiwa hao ni kama chawa au kupe hawana msaada kwako bali kukufiata kwa ilichonacho tu,ndugu aliekua na mimi kwa hali zote huyo unakula nae vyema kabisa sio mnafiki huyo
Hilo nalo neno
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom