VERBOSE
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 8,145
- 12,746
- Thread starter
- #61
Upo sahihi kabisa mkuu yaan umesema vizuri na vyema kabisa, mimi nimekuelewaUnajua kibongo bongo tumezoea kwamba kutafuta hela ni mtu kuchacharika huku na huko, mara kusafiri huku na huko, lakini deep down kuna watu wanaonekana wapo simple tu hawachachariki lakini wanaingiza pesa nzuri tu, na mda huo huo jamii inawachukulia kama ni wazembe na hawachachariki kutafuta pesa.