Mwanaume pesa!

cheusimangala

JF-Expert Member
Feb 27, 2010
2,585
497
3.jpg


pesa sabuni ya roho!
pesa ni maua!
nani kasema pesa haiwezi kununua furaha!
mwenye pesa si mwenzio,
mwanaume mwenye pesa hata awe vipi warembo watamfanya ajisikie kama mfalme!
mwanaume mwenye pesa zake atajipatia wanawake wenye uzuri na urembo wa kila namna na kila rika!
eti kina dada kwa nini kupenda pesa kunatufanya tuwe zaidi ya vipofu maana kipofu haoni lkn anahisi!
kina dada tuache kuwa na mioyo yenye kudhamini fedha na mali tu kwani hata sisi tuna uwezo wakujitafutia fedha zetu bila kutegemea mabuzi!!
mwanaume ni - - - - - - -!!!
 
3.jpg


pesa sabuni ya roho!
pesa ni maua!
nani kasema pesa haiwezi kununua furaha!
mwenye pesa si mwenzio,
mwanaume mwenye pesa hata awe vipi warembo watamfanya ajisikie kama mfalme!
mwanaume mwenye pesa zake atajipatia wanawake wenye uzuri na urembo wa kila namna na kila rika!
eti kina dada kwa nini kupenda pesa kunatufanya tuwe zaidi ya vipofu maana kipofu haoni lkn anahisi!
kina dada tuache kuwa na mioyo yenye kudhamini fedha na mali tu kwani hata sisi tuna uwezo wakujitafutia fedha zetu bila kutegemea mabuzi!!
mwanaume ni - - - - - - -!!!

Hilo na wanawake kupenda wanaume wenye fedha nyingi lipo tangu enzi za mababu zetu. Na siyo Africa tu hata nchi zilizoendelea, kama ulivyooona kwa Tiger Woods, alikuwa anabadilisha warembo kama mashari vile!
 
Usikute huyo ni OSAMA hapo kajibadili tu ili achukue mzigo wake!

.....PESA NI MATOKEO, SIYO MSINGI WA MAENDELEO....Mwal Nyerere..1972!
 
Kama pesa inanunua furaha basi hakuna watu wangekuwa na furaha hapa duniani kama wale wacheza sinema wa Hollywood lakini wengi wao maisha yao ni very miserable kuliko hata wale wasio na pochi ya kutisha.
 
eti kina dada kwa nini kupenda pesa kunatufanya tuwe zaidi ya vipofu maana kipofu haoni lkn anahisi! kina dada tuache kuwa na mioyo yenye kudhamini fedha na mali tu kwani hata sisi tuna uwezo wakujitafutia fedha zetu bila kutegemea mabuzi!! mwanaume ni - - - - - - -!!!

We da Cheu, siyo akina dada tu, kila mtu anapenda pesa. Ulishakutana na wataalamu wa bahasha za brown? Ukifika muda wa kupokea kila mtu anakuwa kama ana hysteria, yaani meno yote 32 nje nje!!

Hata hivyo, kwani kuna mtu anapenda kuumwa na chawa au kunguni? Basi dawa ya hao wadudu ni pesa!!
 
Ukiwa na fedha unaogopa kuishiwa/kufilisika ukiwa na huna hela huna wasiwasi wa kuishiwa na tena masikini wengi ni wacha Mungu sana. Matajiri wengi ni voodoists
 
3.jpg


pesa sabuni ya roho!
pesa ni maua!
nani kasema pesa haiwezi kununua furaha!
mwenye pesa si mwenzio,
mwanaume mwenye pesa hata awe vipi warembo watamfanya ajisikie kama mfalme!
mwanaume mwenye pesa zake atajipatia wanawake wenye uzuri na urembo wa kila namna na kila rika!
eti kina dada kwa nini kupenda pesa kunatufanya tuwe zaidi ya vipofu maana kipofu haoni lkn anahisi!
kina dada tuache kuwa na mioyo yenye kudhamini fedha na mali tu kwani hata sisi tuna uwezo wakujitafutia fedha zetu bila kutegemea mabuzi!!
mwanaume ni - - - - - - -!!![/QUOTE]

cheusi utakunywa nini leo?.....bili juu yangu
 
We da Cheu, siyo akina dada tu, kila mtu anapenda pesa. Ulishakutana na wataalamu wa bahasha za brown? Ukifika muda wa kupokea kila mtu anakuwa kama ana hysteria, yaani meno yote 32 nje nje!!

Hata hivyo, kwani kuna mtu anapenda kuumwa na chawa au kunguni? Basi dawa ya hao wadudu ni pesa!!
ni kweli wote twapenda fedha,hata mie napenda fedha ndio maana nahangaika kila siku kuzitafuta lkn kuna wanaozipenda lkn wanafikiri njia pekee yakujipatia hizo fedha ni kutoka kwa kina baba tu,sasa hawa ndio niliowalenga hapa,hawa ninaowalenga wao hawajali chochote na wako tayari kufanya chochote na mwanaume wa aina yeyote mradi tu wajue ana pesa,kwao mapenzi ya kweli hayana nafasi,na mwanaume asiye na fedha wao humuona wa nini na wa kazi gani!
kwao mwanaume mwenye dhamni ni yule mwenye fedha!!!
 
Very often it is found that women loves to date with financially strong men. Just as a dog gets atttracted towards bones, men gets attracted towards beautiful women similarly women are attracted to males who have the most resources and the ability to manipulate and distribute those resources.
 
3.jpg


pesa sabuni ya roho!
pesa ni maua!
nani kasema pesa haiwezi kununua furaha!
mwenye pesa si mwenzio,
mwanaume mwenye pesa hata awe vipi warembo watamfanya ajisikie kama mfalme!
mwanaume mwenye pesa zake atajipatia wanawake wenye uzuri na urembo wa kila namna na kila rika!
eti kina dada kwa nini kupenda pesa kunatufanya tuwe zaidi ya vipofu maana kipofu haoni lkn anahisi!
kina dada tuache kuwa na mioyo yenye kudhamini fedha na mali tu kwani hata sisi tuna uwezo wakujitafutia fedha zetu bila kutegemea mabuzi!!
mwanaume ni - - - - - - -!!![/QUOTE]

cheusi utakunywa nini leo?.....bili juu yangu

kitochi cha mbege kinatosha!
 
3.jpg


pesa sabuni ya roho!
pesa ni maua!
nani kasema pesa haiwezi kununua furaha!
mwenye pesa si mwenzio,
mwanaume mwenye pesa hata awe vipi warembo watamfanya ajisikie kama mfalme!
mwanaume mwenye pesa zake atajipatia wanawake wenye uzuri na urembo wa kila namna na kila rika!
eti kina dada kwa nini kupenda pesa kunatufanya tuwe zaidi ya vipofu maana kipofu haoni lkn anahisi!
kina dada tuache kuwa na mioyo yenye kudhamini fedha na mali tu kwani hata sisi tuna uwezo wakujitafutia fedha zetu bila kutegemea mabuzi!!
mwanaume ni asset!!![/QUOTE]


huyo mkipisha barabarani utageuka kweli??
 
ni kweli wote twapenda fedha,hata mie napenda fedha ndio maana nahangaika kila siku kuzitafuta lkn kuna wanaozipenda lkn wanafikiri njia pekee yakujipatia hizo fedha ni kutoka kwa kina baba tu,sasa hawa ndio niliowalenga hapa,hawa ninaowalenga wao hawajali chochote na wako tayari kufanya chochote na mwanaume wa aina yeyote mradi tu wajue ana pesa,kwao mapenzi ya kweli hayana nafasi,na mwanaume asiye na fedha wao humuona wa nini na wa kazi gani!
kwao mwanaume mwenye dhamni ni yule mwenye fedha!!!

Inategemea kiwango chako cha ujasiriamali na opportunity nyingine ulizonazo. Kama nafasi nyingine zimekugoma, watu wengine wanaona hakuna haja ya kuukalia uchumi wakati demand ipo. Nadhani ni kanuni tu za biashara (supply and demand)!
 
Other reason is wanaume wengi huwa wanakuwa intimidated ikiwa wanawake wana earn more than them... so thats a problem actually it is a big problem when a man feels unsecured or powerless mbele ya mke wake...

Another reason ni Wanawake wenye ku earn more than their spouses always tends to look down at their spouses...kitu ambacho kina sababisha mahusiano yao kufail...

So the bottom line I dont think money is everything but you cant change human nature...it is difficult....
 
Inategemea kiwango chako cha ujasiriamali na opportunity nyingine ulizonazo. Kama nafasi nyingine zimekugoma, watu wengine wanaona hakuna haja ya kuukalia uchumi wakati demand ipo. Nadhani ni kanuni tu za biashara (supply and demand)!
napingana na wewe,sorry bro!
hata nife njaa siwezi kuukabithi mwili wangu ambao ni hekalu la roho mtakatifu kwa janaume nisililipenda!
kama lina mihela si linisaidie tu bure!!
 
Back
Top Bottom