cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
- Thread starter
- #21
unataka kweli nijibu Cheusi??
go ahead!!
unataka kweli nijibu Cheusi??
yaani umeongea jipweint ambalo aah basi tu ngoja ninyamaza nisije nikamwaga michere ma-rice na mamipunga bure mbere ya kukuz!!!!Other reason is wanaume wengi huwa wanakuwa intimidated ikiwa wanawake wana earn more than them... so thats a problem actually it is a big problem when a man feels unsecured or powerless mbele ya mke wake...
Another reason ni Wanawake wenye ku earn more than their spouses always tends to look down at their spouses...kitu ambacho kina sababisha mahusiano yao kufail...
So the bottom line I dont think money is everything but you cant change human nature...it is difficult....
unakosa huduma muhimu kama chakula malazi na mavazi
napingana na wewe,sorry bro!
hata nife njaa siwezi kuukabithi mwili wangu ambao ni hekalu la roho mtakatifu kwa janaume nisililipenda!
kama lina mihela si linisaidie tu bure!!
Ukiwa na fedha unaogopa kuishiwa/kufilisika ukiwa na huna hela huna wasiwasi wa kuishiwa na tena masikini wengi ni wacha Mungu sana. Matajiri wengi ni voodoists
cheusi cheusi cheusi........!
nakiri kuna kitu fulani ninakipenda kuhusu wewe......wala sio avatar yako wala nini...........nimefuatilia sana posts zako nikagundua there si something special about you baby...........!sometimes uko complicated na pia una aina fulani ya uandishi na jinsi unavyopresent posts zako sio siri huwa inanivutia sana........!!
sijui ni kitu gani lkn niko curious sana kukufahamu zaidi......!
.....nice topic......!!
napingana na wewe,sorry bro!
hata nife njaa siwezi kuukabithi mwili wangu ambao ni hekalu la roho mtakatifu kwa janaume nisililipenda!
kama lina mihela si linisaidie tu bure!!
ni kweli wote twapenda fedha,hata mie napenda fedha ndio maana nahangaika kila siku kuzitafuta lkn kuna wanaozipenda lkn wanafikiri njia pekee yakujipatia hizo fedha ni kutoka kwa kina baba tu,sasa hawa ndio niliowalenga hapa,hawa ninaowalenga wao hawajali chochote na wako tayari kufanya chochote na mwanaume wa aina yeyote mradi tu wajue ana pesa,kwao mapenzi ya kweli hayana nafasi,na mwanaume asiye na fedha wao humuona wa nini na wa kazi gani!
kwao mwanaume mwenye dhamni ni yule mwenye fedha!!!
Watu wa JF hamuishi vituko. Sasa mavazi na malazi ya uhusiano gani na machine ya kunyoosha misuli? Ila maladhi ndo kweli unakuwa huwezi kupata. Kuna jamaa yangu kajogoo kake kaliugua polio, basi akawa anatamba kwamba haweza kufa kwa ngoma labda anywe virus kwenye maji!!
cheusi cheusi cheusi........!
nakiri kuna kitu fulani ninakipenda kuhusu wewe......wala sio avatar yako wala nini...........nimefuatilia sana posts zako nikagundua there si something special about you baby...........!sometimes uko complicated na pia una aina fulani ya uandishi na jinsi unavyopresent posts zako sio siri huwa inanivutia sana........!!
sijui ni kitu gani lkn niko curious sana kukufahamu zaidi......!
.....nice topic......!!
ukiwa na fedha unaogopa kuishiwa/kufilisika ukiwa na huna hela huna wasiwasi wa kuishiwa na tena masikini wengi ni wacha mungu sana. Matajiri wengi ni voodoists
mapenzi ya kweli,ni pale unapopata mtu anayeendana na wewe..kihaiba,kipesa na kila kitu,ukisema unapenda pesa ndio maana unahangaika kuzitafuta...afu uko na mtu ambaye hana pesa nitakushangaa sana![/QUOTE]
umeniacha kibaha hapo,hebu twende sambamba,unamaanisha nini?
cheusi cheusi cheusi........!
nakiri kuna kitu fulani ninakipenda kuhusu wewe......wala sio avatar yako wala nini...........nimefuatilia sana posts zako nikagundua there si something special about you baby...........!sometimes uko complicated na pia una aina fulani ya uandishi na jinsi unavyopresent posts zako sio siri huwa inanivutia sana........!!
sijui ni kitu gani lkn niko curious sana kukufahamu zaidi......!
.....nice topic......!!
mapenzi ya kweli,ni pale unapopata mtu anayeendana na wewe..kihaiba,kipesa na kila kitu,ukisema unapenda pesa ndio maana unahangaika kuzitafuta...afu uko na mtu ambaye hana pesa nitakushangaa sana![/QUOTE]
umeniacha kibaha hapo,hebu twende sambamba,unamaanisha nini?
namaanisha km wewe ni mtu wa pesa,unahangaika kuzitafuta...i presume unazinyaka kwa sana...hutotaka kuwa na mtu ambaye hana pesa...simply hamuendani!,mabuzi oyeeee!lol
mkuu inaonyesha umeoza tayari la msingi mtumie pm[/QUOTE]
tatizo hajibu pm mkulu......!nimejipinda na pm hadi vidole vimebonyea kamanda but in vain......!