Mwanaume perfume hizi ni mzuri sana kwako

Mwanaume perfume hizi ni mzuri sana kwako

Kuna marashi ya kiarabu nililetewa kutoka Zanzibar, niliyapenda sana. Yanaitwa sijui Mousouf sina hakika na jina, ni mazuri sana!
 
Helll

Mwanaume mwenzangu ambaye bado ujajua perfume nzuri zitakazo kufanya uonekane mtanashat na kunukia vizuri wakati wote mimi natumia hizi mbili

Hii natumia kama sehemu ninako enda hakuna kusanyiko kubwa la watu wengi sana hii ndio natumia au safari za kawaida bei 50000
View attachment 3403558
Hii ya pili natumia kama sehemu niendayo kama kuna kusanyiko kubwa la watu yaani watu wengi kama vile harusini mikutanoni hii nasikika mwenyewe tu hii harufu yake kali na ina kaa mda mrefu sana so ukitumia hii unakuwa wa kipekee kabisa yaani perfume zingine hazitosikika itasikika yako tu bei yake kuanzia 50000 inategemea na duka
View attachment 3403560
Haya leteni perfume zingine ambazo zipo vizuri sana kwa mwanaume
Mi natumia cha kupima hakina jina il kina namba 212 (two one two) ni balaa harufu yake kwenye watu 500 wanasika wote
 
kwhy mkubwa mtoa mada anapulizia kitu fake
Yeye pia amekiri hivyo
Maana Original kama bei zake ni hizo, hata iweje huwezi kupata punguzo kwa 95% au zaidi kisa tu zinauzwa nchi masikini

Bei za perfume zipo juu sana siku hizi
Ila fake nazo zipo sana huko
 
Helll

Mwanaume mwenzangu ambaye bado ujajua perfume nzuri zitakazo kufanya uonekane mtanashat na kunukia vizuri wakati wote mimi natumia hizi mbili

Hii natumia kama sehemu ninako enda hakuna kusanyiko kubwa la watu wengi sana hii ndio natumia au safari za kawaida bei 50000
View attachment 3403558
Hii ya pili natumia kama sehemu niendayo kama kuna kusanyiko kubwa la watu yaani watu wengi kama vile harusini mikutanoni hii nasikika mwenyewe tu hii harufu yake kali na ina kaa mda mrefu sana so ukitumia hii unakuwa wa kipekee kabisa yaani perfume zingine hazitosikika itasikika yako tu bei yake kuanzia 50000 inategemea na duka
View attachment 3403560
Haya leteni perfume zingine ambazo zipo vizuri sana kwa mwanaume
Nomaaa
 
Helll

Mwanaume mwenzangu ambaye bado ujajua perfume nzuri zitakazo kufanya uonekane mtanashat na kunukia vizuri wakati wote mimi natumia hizi mbili

Hii natumia kama sehemu ninako enda hakuna kusanyiko kubwa la watu wengi sana hii ndio natumia au safari za kawaida bei 50000
View attachment 3403558
Hii ya pili natumia kama sehemu niendayo kama kuna kusanyiko kubwa la watu yaani watu wengi kama vile harusini mikutanoni hii nasikika mwenyewe tu hii harufu yake kali na ina kaa mda mrefu sana so ukitumia hii unakuwa wa kipekee kabisa yaani perfume zingine hazitosikika itasikika yako tu bei yake kuanzia 50000 inategemea na duka
View attachment 3403560
Haya leteni perfume zingine ambazo zipo vizuri sana kwa mwanaume
Sitii neno hapa. But mzigo ni huu hapa.
 

Attachments

  • IMG_2754.jpeg
    IMG_2754.jpeg
    650.2 KB · Views: 11
Helll

Mwanaume mwenzangu ambaye bado ujajua perfume nzuri zitakazo kufanya uonekane mtanashat na kunukia vizuri wakati wote mimi natumia hizi mbili

Hii natumia kama sehemu ninako enda hakuna kusanyiko kubwa la watu wengi sana hii ndio natumia au safari za kawaida bei 50000
View attachment 3403558
Hii ya pili natumia kama sehemu niendayo kama kuna kusanyiko kubwa la watu yaani watu wengi kama vile harusini mikutanoni hii nasikika mwenyewe tu hii harufu yake kali na ina kaa mda mrefu sana so ukitumia hii unakuwa wa kipekee kabisa yaani perfume zingine hazitosikika itasikika yako tu bei yake kuanzia 50000 inategemea na duka
View attachment 3403560
Haya leteni perfume zingine ambazo zipo vizuri sana kwa mwanaume
Sio wote wenye uwezo wa kutumia hiyo kaka
Kama mimi natumia kasablanka siwezi junua zaidi ya bei ya hapo
 
Sisi tunaotumia Bushra hatuweki neno wacha tupite kimya tu,mpaka kampuni ya bushra iache kutengeneza
 
Back
Top Bottom