Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
unapenda bao nyingi?mmmhh
ntajua siku nikikutana nae uso kwa uso hahah lol:roll:
unapenda bao nyingi?mmmhh
ntajua siku nikikutana nae uso kwa uso hahah lol:roll:
Hili ni swali muhumu sana mkubwa, wala hawa waandishi hawajamuuliza anaishije bila kufanya kazi. Halafu ikitokea siku moja wake zake wote wameenda kusalimia Mars anafanyaje?
simple scientific fact: mtu huwezi ishi bila kulala!! huyu anawezaje?
unapenda bao nyingi?
WanaJF mnamfikiriaje mtu huyu, ni binadamu wa kawaida?
- Kwenye majambos lazima aende mizunguko 15 kila siku
- Ana wake 4, wanapokezana hakuna kulala
- nguvu zake ni sawa na wanaume 30000
- anaweza kuzuia treni isitembee
- anaweza kupindisha sarafu kwa kukandamiza kwenye jicho lake
- Akitumia mikono anaichana sarafu kama karatasi
- Haruhusiwi kufanya kazi yoyote wala kufungwa asije akapiga watu
Si hadithi ya kutunga, unaweza kujionea
- Kwenye majambos lazima aende mizunguko 15 kila siku
- Ana wake 4, wanapokezana hakuna kulala
- nguvu zake ni sawa na wanaume 30000
- anaweza kuzuia treni isitembee
- anaweza kupindisha sarafu kwa kukandamiza kwenye jicho lake
- Akitumia mikono anaichana sarafu kama karatasi
- Haruhusiwi kufanya kazi yoyote wala kufungwa asije akapiga watu
WanaJF mnamfikiriaje mtu huyu, ni binadamu wa kawaida?
Si hadithi ya kutunga, unaweza kujionea
The only mission he has ni sex tu? what a waste! Ningekuwa kwenye serikali ningeamuru awe crane, catterpilar, buldozer..afanye kazi ngumu hadi akome!Hizo nguvu anazojidai nazo ningezikomesha ili awe na manufaa kwa jamii! hao wake zake wanne ukiwaangalia wanaonekana kuogopa sana..hao alishaoa mara 28! Huyu ni mdhalilishaji tu hana lolote!
Kwa mtaji huu, nadhani hata Muhammad (SAW) haoni ndani....