Internal
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 3,579
- 3,925
Hio ni hali ya wanaume tulio wengi, Hatuchukulii uzito kila jambo, hisia anazo sana ila kuziona ni mpaka umfumanie anapiga story na rafiki ake waneaminiana sana hapo utamnasa akikusifia sana. Kuzira anakuinyesha kuwa yeye ni mwanaume kamili hata kama utaamua kumkacha anasimama kama yeye, kwa kifupi ni kwamba maisha bila wewe bado yanaenda japo anakupenda sana.