miss charming
JF-Expert Member
- Dec 3, 2016
- 910
- 906
- Thread starter
- #61
Najaribu kutaka kujiweka sawaKm mna mipango ya muda mrefu hivyo mbona unaanza kuogopa vitu vidogo km mwenzio kuzila
Najaribu kutaka kujiweka sawaKm mna mipango ya muda mrefu hivyo mbona unaanza kuogopa vitu vidogo km mwenzio kuzila
[emoji23] [emoji23] [emoji23] poaOna sasa kumbe twini Wangu kabisaa,.sasa Fanya hivi "mpotezee".
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Binti analalamika kwamba Bwana hasemi.... jana niliona binti mwingine analalamika kwamba Bwana anasema sana.....
Basi humu ndani naona tafrani tupu..tehteehh
Kama mpo pamoja kwa miezi 5 na unajiona haupo sawa basi ujue hamuwezi kuwa sawa...jifunze kujishusha km yeye hajapiga simu ww piga kwan unapungukiwa kama mtu unampenda kweliNajaribu kutaka kujiweka sawa
inategemea kwa aina ya wapenzi na wapenzi kwani hujui kuwa lulu yupo jela kwa kesi ya kumuua aliyekuwa mpnzi ""Lakin yanaleta amani uongo kweli
Kwani kuna sehemu nimeongelea ngono ??/soma vizuri post zanguinaonyesha wazi kuwa mpka leo hii haujui tofauti ya mapenzi na ngono !!?
Na kupigiwa kuna raha yake piaKama mpo pamoja kwa miezi 5 na unajiona haupo sawa basi ujue hamuwezi kuwa sawa...jifunze kujishusha km yeye hajapiga simu ww piga kwan unapungukiwa kama mtu unampenda kweli
Malizia na bila kukusudiainategemea kwa aina ya wapenzi na wapenzi kwani hujui kuwa lulu yupo jela kwa kesi ya kumuua aliyekuwa mpnzi ""
sasa amani iko wapi hapo !!?
Na kweli,.ngoja nikalale tuu[emoji125] [emoji125]Jifunze kupuuza ili usiiharibu siku yako nzuri
Inabidi ww umuonyeshe umuhimu wa kupiga kuna watu inabidi uwe mfano kwao...sasa mpenzi wako anasusa na kuondoka halaf naww unaenda kulala hutaki kulimaliza hilo tatizo siku hiyohiyo matokeo yake ndio unaanza kupata doubts namna hiiNa kupigiwa kuna raha yake pia
Duhhh.....Na kweli,.ngoja nikalale tuu[emoji125] [emoji125]
akikua ataachaNa wala sionyeshi sana kama nampenda maana najua atasumbua zaidi sema tu ni tabia yake
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ulindage na mchana,mweh!!!Duhhh.....
Hadi nimekutamani wallah...
Hii kazi ya ulinzi sijui nitakuja pumzika lini haki....[emoji29] [emoji29]
Na kweli,.ngoja nikalale tuu[emoji125] [emoji125]
Tehteehh.... ujue Mungu anakuona haki[emoji23] [emoji23] [emoji23] ulindage na mchana,mweh!!!
kuna content yko inasema maisha bila mapenzi haiwrzekani !!?Kwani kuna sehemu nimeongelea ngono ??/soma vizuri post zangu
hivyo tu sina kawaida ya kushika simu kutafuta namba yake na kumpigia na labda ubize unachangia. yeye ndio huwa ananipigia mara nyingi ila tunaongea sana tuMmmh kuna sababu kwann humpii simu labda