Mwanaume kuzirazira sababu yake nini?

Mwanaume kuzirazira sababu yake nini?

Huyo anaweza kuwa na moja kati ya haya
1. Ni wa mwisho kuzaliwa
2. Alianza mahusiano na wewe kupunguza stress za kuachana na mpz wake aliempenda ila anaona hufeet kwenye lile gap anatafuta njia ya kuacha
3. Hajakuzoe au hajiamini labda wew umemzidi status sasa anahic akipiga story anaweza kukosea.
4. Yeye yupo kwenye kundi la Frgematic, maana kundi hili huwa co wadau wa story.
5 anaweza kuwa na mambo yanamchanganya jaribu kuongea nae kwa upole kama yapo jaribu kimfarij. Atakuona wewe mi mhimu kwenye maisha yake.
Mwisho muombee mpz wako kwa bidii na imani kubwa maana shetan huwa hapendi kuona watu wanapendana na uwe mvumilivu, miezi 5 ni michache sana kukata tamaa.
Shukran Mkuu nimekuelewa
 
Sisi wanaume tukipenda huwa tunapenda kweli ila mwanamke akitukera hata kama tumependa kiasi gani kumuacha au kumbadirikia ni kitendo cha dakika moja tu.Pengine unamuomba sana pesa ndomana anasikilizia maumivu.Punguzeni mambo ya kuombaomba pesa kila mara mana huwa mnatutoa kabisa kwenye mood.
Kwani mwanamke hupaswi kumuhudumia??
 
Huyo jamaa yako ana stress zake binafsi ambazo ameshindwa kukwambia,au amepitia malezi mabovu ya kufokewa na kupigwa hovyo toka akiwa utotoni na madhara yake ndio hayo kukosa furaha na kutokujiamini,

Mkishindana njoo kwangu nikupe raha za dunia..😀😀
Sasa kama jambo linakutatiza si unamwambia tu mpenzi wako kwani shida iko wapi
 
Mleta mada usisahau kutuletea mrejesho hapa ili na wengine wafaidike,JF watu wengi wamekua wakiomba ushauri wa mambo mbalimbali ila ni wachache sana huleta mrejesho!

Mrejesho ni muhimu sana ili watu wengine wajifunze pia na kuepuka kuanzishwa kwa thd nyingi za kuuliza/kutafuta ushauri wa jambo lile lile kila mara.
 
ina tegeme kama mm hapa huwa sinaga story kabisa huwa nakaaga kimya na kususa nasusa ila kwa kitu chenye maana na mambo mengi kama haya ni kwamba mnatakiwa muwe mnaendanaa na kujishusha sometime
 
Yan kuna watu wanachezea
shiling kwenye tundu la choo

Usawa huu unapata mwanamke
Mwenye mapenz ya that af
Unamfanya kama mpira wa kona
Aiseee!!!


Miss embu nakuomba Pm
 
Yaani kumbe mkuu katika yote hayo uliyoandika tayari jibu unalo na inaonesha ni jinsi gani mapenzi ya nguvu kubwa ,tena tusiende hata mbali tuanzie humu humu jf, kuna jukwaa lina wachangiaji kama MMU na unahisi ni kwann
mbona umehamia kwenye topic sasa !!??
kwahiyo haya leti amani tena now umehamia kwenye nguvu ""??
kuhusu swala la uwepo wa amani ulipaswa kusema yanaleta amani 50% ..then 50% nikaraha maana kuna watu wameshakufa na wengine kupata vilema kupitia hayo hayo mapenzi

kuhusu swali lako la uwepo wa jukwaa la MMU JF jukwaa hilo limewekwa kwa mantik pana ya watu kushare experience za mahusiano wanayopitia ama waliyowahi kupitia ..inaweza kuwa ni experiance nzuri ama mbaya ...na kwa uzoefu wangu nilioupata humu sehemu kubwa ya thread zilizopo MMU zimejaa malalamiko na kukuta tamaa kwa watu juu ya mapenzi "waweza kuon amani uliyokuwa unaizungumzia wewe ikiwatesa watu kwa kiasi kikubwa ..na hkunaga amani yenye mateso amani inapaswa kuwa na raha "
kama wewe huu uzi wako uliouleta hapa nao pia umejaa lawama kwa jamaa yko "'mpka umekaa na kuamua kuuleta huku ili kupewa ushauri means nijambo linalo kunyima amani flna furaha na kupelekea kuubabua moyo wako kama vile umelishwa tindikali "" so amani uliyokuwa unaizungumzia iko wapi hapo ..."" wanawake wengi wamezalishwa na kukimbiwa ..wengine wanatunza familia zao ..wengine wameshindwa na kuwa machokoraa wao na watoto wao "" kwahayo matukio bado hujanishawishi kuwa mapenzi huwa yanaleta amani kwa 100℅..mpak ukafikia hatua yakusema hakuna maisha bila mapenzi """wakati kina Nicola Tesla walikuwa hawana wake wala ma gf
 
Vyotevyote
Mtaka mawili moja humponyoka.
kupendwa ni muhimu kupgiana cm ovyo ni utoto. labda m2 kama huyo mjarib tu ili kujua anakupenda. wew endelea tu kumpigia cm alaf unatafuta cku unatulia kama cku mbili humpigii kama anakupenda atapata shida lazima akupigie tu.
kuzirazira ni kutokana na mapenz aliyo kuwa nayo unajua mtu anapo kupenda ukimkosea kidogo inamuuma sana.
mim kuna kipind nilikuta mpenz wang anachat na rafiki yake wa kiume alaf yule rafik yake anamuita mpenz wang my love duh nilimaind mpaka mwisho aliomba msamaha sana ila siku msamehe ila baadae hasira zilivyo pungua nilimuelewa tena ila hakurudia tena.
 
Back
Top Bottom