Mwanaume kuzirazira sababu yake nini?

Mwanaume kuzirazira sababu yake nini?

Malizia na bila kukusudia
nimalizie bila kukusudia "" lkini chnzo kilichopelekea umauti kilikuwa ni ugomvi (so bado naitafuta amani uliyoisema )...mapenzi yanaleta amani huku nawewe umekuja huku kulalamika ..hahaaa hpo walalamika kisa tu Jamaa huwa ananuna..je siku ukipiga Simu yake akapokea demu nakuanza kukuchamba ?? TMJ patakuhusu mkuu....
then
kuna mtu moja alikuwa ni member wa jf humu alikuwa anaishi mbeya alijinyonga January ya mwaka huu .na akacha wosia kuwa amejinyonga baada ya mkewe kuwa msaliti "".unasemaje na hapo !!??
 
Kwa experience yangu,
Cc wanaume hatususi, ila kwa hilo la kutokuongea it can happen sababu kwa muda huo kuzoeana kwa undani inaweza pelekea hivo,
Ila ilo la kususasusa embu fuatilia pengine amekuchoka au jamaa wako anapenda kubembelezwa...
 
Atakuwa anakupenda kuna option mbili kususa au kukupiga makofi utakapo mkosea ni we kuchagua njia bora ukipata mwanaume anaepiga story hyo atakua anashinda vikoba wote salamu kugegeda then anakuachia pesa ya matumiz au mzungumzie lini tuna nunua kitu flani atakujibu kwa kutulia akueleweshe
 
Huyo anaweza kuwa na moja kati ya haya
1. Ni wa mwisho kuzaliwa
2. Alianza mahusiano na wewe kupunguza stress za kuachana na mpz wake aliempenda ila anaona hufeet kwenye lile gap anatafuta njia ya kuacha
3. Hajakuzoe au hajiamini labda wew umemzidi status sasa anahic akipiga story anaweza kukosea.
4. Yeye yupo kwenye kundi la Frgematic, maana kundi hili huwa co wadau wa story.
5 anaweza kuwa na mambo yanamchanganya jaribu kuongea nae kwa upole kama yapo jaribu kimfarij. Atakuona wewe mi mhimu kwenye maisha yake.
Mwisho muombee mpz wako kwa bidii na imani kubwa maana shetan huwa hapendi kuona watu wanapendana na uwe mvumilivu, miezi 5 ni michache sana kukata tamaa.
 
Habari za usiku , Kuna mwanaume nimedumu nae kwa takriban miez 5 mpaka sasa lakni kitu kinachonikera ni mtu wa kuzila zila na kususa susa sana mpaka najiuliza huyu ana mapenzi ya dhati kweli maana mm najua mwanaume hasusi na hasa kwa mwanamke ampendae na pia huwa sio MTU wa story yaani anaweza mkakaa hapo kimya mpaka uanze ww kuongea .na wakati mwingine simu anaweza akakaa siku nzma asipige au akipiga anaongea maneno mawil tu keshakata, naomba wenye experience na mapenzi hii ikoje hasa katk mahusiano ..
Sisi wanaume tukipenda huwa tunapenda kweli ila mwanamke akitukera hata kama tumependa kiasi gani kumuacha au kumbadirikia ni kitendo cha dakika moja tu.Pengine unamuomba sana pesa ndomana anasikilizia maumivu.Punguzeni mambo ya kuombaomba pesa kila mara mana huwa mnatutoa kabisa kwenye mood.
 
Habari za usiku , Kuna mwanaume nimedumu nae kwa takriban miez 5 mpaka sasa lakni kitu kinachonikera ni mtu wa kuzila zila na kususa susa sana mpaka najiuliza huyu ana mapenzi ya dhati kweli maana mm najua mwanaume hasusi na hasa kwa mwanamke ampendae na pia huwa sio MTU wa story yaani anaweza mkakaa hapo kimya mpaka uanze ww kuongea .na wakati mwingine simu anaweza akakaa siku nzma asipige au akipiga anaongea maneno mawil tu keshakata, naomba wenye experience na mapenzi hii ikoje hasa katk mahusiano ..

Hiyo lazima atakuwa hakimu
 
Inabidi ww umuonyeshe umuhimu wa kupiga kuna watu inabidi uwe mfano kwao...sasa mpenzi wako anasusa na kuondoka halaf naww unaenda kulala hutaki kulimaliza hilo tatizo siku hiyohiyo matokeo yake ndio unaanza kupata doubts namna hii
Daah mambo mengine yanakera
 
hivyo tu sina kawaida ya kushika simu kutafuta namba yake na kumpigia na labda ubize unachangia. yeye ndio huwa ananipigia mara nyingi ila tunaongea sana tu
alaf pia mwanzo alikuwa akilalamika ila mpaka sasa ameshanizoea wala hapati shida.

kikubwa alicho gundua ni kuwa nampenda tu.

je wewe unataka kupendwa au kupigiwa simu.
Vyotevyote
 
nimalizie bila kukusudia "" lkini chnzo kilichopelekea umauti kilikuwa ni ugomvi (so bado naitafuta amani uliyoisema )...mapenzi yanaleta amani huku nawewe umekuja huku kulalamika ..hahaaa hpo walalamika kisa tu Jamaa huwa ananuna..je siku ukipiga Simu yake akapokea demu nakuanza kukuchamba ?? TMJ patakuhusu mkuu....
then
kuna mtu moja alikuwa ni member wa jf humu alikuwa anaishi mbeya alijinyonga January ya mwaka huu .na akacha wosia kuwa amejinyonga baada ya mkewe kuwa msaliti "".unasemaje na hapo !!??
Yaani kumbe mkuu katika yote hayo uliyoandika tayari jibu unalo na inaonesha ni jinsi gani mapenzi ya nguvu kubwa ,tena tusiende hata mbali tuanzie humu humu jf, kuna jukwaa lina wachangiaji kama MMU na unahisi ni kwann
 
Kwa experience yangu,
Cc wanaume hatususi, ila kwa hilo la kutokuongea it can happen sababu kwa muda huo kuzoeana kwa undani inaweza pelekea hivo,
Ila ilo la kususasusa embu fuatilia pengine amekuchoka au jamaa wako anapenda kubembelezwa...
Kuhusu kubembelezwa hilo kweli maana akisusa kama ukambembeleza tu kidogo unaona mwenyewe tu anakaa sawa, ila binafsi sipendi hiyo hali
 
Atakuwa anakupenda kuna option mbili kususa au kukupiga makofi utakapo mkosea ni we kuchagua njia bora ukipata mwanaume anaepiga story hyo atakua anashinda vikoba wote salamu kugegeda then anakuachia pesa ya matumiz au mzungumzie lini tuna nunua kitu flani atakujibu kwa kutulia akueleweshe
Duuh kumbe, kwahiyo yaani hamuongeagi na wanawake zenu mpaka muulizwe jambo??
 
Huyo jamaa yako ana stress zake binafsi ambazo ameshindwa kukwambia,au amepitia malezi mabovu ya kufokewa na kupigwa hovyo toka akiwa utotoni na madhara yake ndio hayo kukosa furaha na kutokujiamini,

Mkishindana njoo kwangu nikupe raha za dunia..😀😀
 
Back
Top Bottom