The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
- Thread starter
- #21
PakaJimmy je kwa wanaume ni kitu cha kawaida maana tumezoea kuona wanawake ndio wanakuwa makuwadi kwa wenzaoKuwadi ni WAKALA au middleman.
Hana kosa.
Sidhani kuwa mwanamke wa msimamo atapagawa kwa kusikiza saundi za kuwadi, kama hakuwa na mbegu ya penzi kwa mwanaume anayemtaka!
Last edited by a moderator: