Mwanaume kutovaa chupi

Mwanaume kutovaa chupi

Mtoa mada anaomba ushauri au anataka kubishana?
 
Chupi huanza ututoni yategemea mzazi wako alikuzoeshaje,hakuna mzazi ambaye hamfundishi mtoto wake kuvaa chupi,kwa umri unaotutajia ni kwamba mzazi wako ndiyo mwenye lawama kwani mpk 15 mzazi humfuatilia mwanaye kimavazi sasa 20 inawezekana una shida hiyo ya mzazi
 
Kumbe zamani ulikuwa unavaa, ila tokea uanze chuo mlimani huvai kufuli" sasa tukusaidieje kukuvisha au!? Hadithi michosho
 
Wakuu habarini za kunyooshwa na sizonje.Kwanza kabisa ningependa niweke wazi jinsia yangu then nieleze dokezo langu.Mimi ni mwanaume miaka ishirini na.Nipo chuo hapa mlimani nachukua masomo ya sayansi ya jamii.Tatizo nililokua nalo mimi toka nianze chuo sijawahi kuvaa chupi wala boksa au bukta zaid ya nguo moja tu.Je!hili ni tatizo au ni kawaida kwa mwanaume..??
Sababu ya kutovaa ni nini?
 
We jamaa itakua unakibamia, maake kwa movement alizokuwa nazo abdala kichwa wazi sio rahic kutembea mtupu
 
Kinacho nifanya nivae nguo ya ndani ni kuzuia dushe tu hasa pale linaposhtuka
Sasa we ambae huvai dah sijui unaishije
 
Hilo sio tatizo , mimi mwenyewe chupi sivai kabisa miaka kibao sasa kitu inaning'inia tu kama ya masai
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom