Mwanaume, kiumbe adimu aliye hatarini kutoweka

Mwanaume, kiumbe adimu aliye hatarini kutoweka

Mbona hao walegeza suruali,warembuaji,walegeza sauti,wavaa heleni,wavaa suruali za kubana.e.g Diamond, Ali Kiba, ndio mnao washobokea?
 
Mbona hao walegeza suruali,warembuaji,walegeza sauti,wavaa heleni,wavaa suruali za kubana.e.g Diamond, Ali Kiba, ndio mnao washobokea?


pale na wengine wanapowaiga wakati hawajawekeza hata kidogo ni usharobaro tu nakuchagua kazi utafikiri familia walizotoka zinamiliki makampuni
 
Walianza wazazi na vijana ndo wanamalizia.... Wazee siku hizi hakuna lakini hapa wanajizeesha na wakati kwa haya walizonazo hawawezi hata kuwakemea watoto wao.... tunashindana kuvaa nguo brand na kalitiki mnaweka ili mshindane na ulimwengu wa sasa usio size yenu.... Wazazi wa kiume ni dhaifuuuuuuuuu na Hamna haja ya kulaumu kwa maana haya ni matunda yenu.

Wanawake bhanaaa mpo kama bendera fuata upepo na mkikutwa mnavyowasifia bad boys huku mmebana pua "he is smart,naughty and nasty on bed""... Hivi kuna bad boy anaepiga panki na swaga za kilokole
 
Naona at least sasa wadada Wa jf wamepata pa kuwasemea wanaume...

Men....
We need serious changes.
 
Naona at least sasa wadada Wa jf wamepata pa kuwasemea wanaume...

Men....
We need serious changes.
Mbona hapo kwa kiasi kikubwa mnasemana wenyewe, kumbe hata nyie mnakereka!!
By the way hujambo shem darling wangu? Mwambie dogo talaka inamuhusu soon, lasivyo ajisalimishe.
 
Mbona hapo kwa kiasi kikubwa mnasemana wenyewe, kumbe hata nyie mnakereka!!
By the way hujambo shem darling wangu? Mwambie dogo talaka inamuhusu soon, lasivyo ajisalimishe.
Yes. Hatufurahii kuona baadhi yetu tunakua wabana pua, shogaz, kujichubua, kuwa mariooo.. ..
Tunaumia saana.

Sijambo Dada shemeji. Namuombea msamaha.....hako katalaka nipe miee.....maaana its 100% I deserve it. Na sio yeye. Nahusiika kwa kutokuwepo kwake.
 
Yes. Hatufurahii kuona baadhi yetu tunakua wabana pua, shogaz, kujichubua, kuwa mariooo.. ..
Tunaumia saana.

Sijambo Dada shemeji. Namuombea msamaha.....hako katalaka nipe miee.....maaana its 100% I deserve it. Na sio yeye. Nahusiika kwa kutokuwepo kwake.
Mrudishie smatifoni yake jamani, kweli ndio uliamua kuuchukua ule ushauri?
 
Yes. Hatufurahii kuona baadhi yetu tunakua wabana pua, shogaz, kujichubua, kuwa mariooo.. ..
Tunaumia saana.

Sijambo Dada shemeji. Namuombea msamaha.....hako katalaka nipe miee.....maaana its 100% I deserve it. Na sio yeye. Nahusiika kwa kutokuwepo kwake.
mkuu acha wajichekeche wenyewe tubaki wenyewe tule papuchi kwa mafungu.si tupo wachache bidhaa inapokuwa chache hutafutwa kwa uhitaji mkubwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom