Mwanaume, kiumbe adimu aliye hatarini kutoweka

Mwanaume, kiumbe adimu aliye hatarini kutoweka

hata anaejihusha kwanini ujiingize katika ushoga? nilishangaa iringa unaambiwa waliojiweka wazi zaidi ya 1500 tena wanavyuo kwanini hizi tabia ipo bongo5 hii habari
nikuulize wewe mkuu,hivi ishawahi kukupata kuwa unamtamani mwanaume mwenzio lets say kama mwanamke yaani kumwona me amejaza jaza kama mdada laini sana ana sura nzurii mpaka ukajihisi kusisimuka kwa kumwona tu na kama mwanaume yaani unahisi kama unawish angekuwa your hero someone have you ever felt like that?
 
nikuulize wewe mkuu,hivi ishawahi kukupata kuwa unamtamani mwanaume mwenzio lets say kama mwanamke yaani kumwona me amejaza jaza kama mdada laini sana ana sura nzurii mpaka ukajihisi kusisimuka kwa kumwona tu na kama mwanaume yaani unahisi kama unawish angekuwa your hero someone have you ever felt like that?

mimi sijawahi mkuu kwanza nitaanzaje kumtamani mwanaume mwenzangu hata aweje Huo ni ushetani mkuu wanawake wengi nishindwe kuwaona mpaka mwanaume
 
Richard ndugu yangu umeanzisha thread na unaichangamkia haswaa
 
nikuulize wewe mkuu,hivi ishawahi kukupata kuwa unamtamani mwanaume mwenzio lets say kama mwanamke yaani kumwona me amejaza jaza kama mdada laini sana ana sura nzurii mpaka ukajihisi kusisimuka kwa kumwona tu na kama mwanaume yaani unahisi kama unawish angekuwa your hero someone have you ever felt like that?
Kwanza hata concentration kwa mwanaume hamna kabisaaa ndo uje hiyo ya kumtamani, ukiona dalili za kumtamani mwanaume mwenzako kingono hilo tatizoo tayari
 
nikuulize wewe mkuu,hivi ishawahi kukupata kuwa unamtamani mwanaume mwenzio lets say kama mwanamke yaani kumwona me amejaza jaza kama mdada laini sana ana sura nzurii mpaka ukajihisi kusisimuka kwa kumwona tu na kama mwanaume yaani unahisi kama unawish angekuwa your hero someone have you ever felt like that?
Hisia hatari sana hizi, hisia za kishoga kulana viboga
 
nikuulize wewe mkuu,hivi ishawahi kukupata kuwa unamtamani mwanaume mwenzio lets say kama mwanamke yaani kumwona me amejaza jaza kama mdada laini sana ana sura nzurii mpaka ukajihisi kusisimuka kwa kumwona tu na kama mwanaume yaani unahisi kama unawish angekuwa your hero someone have you ever felt like that?
ikumbie dhambi hiyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom