NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 12,322
- 10,915
Wapuuzi,ndio wanaosabisha watoto wasio na malezi maana hawakawii kuzikataa mimba.maana target yao huwa papuchi tuHaaaa haa ila wanaakili mnoo...maaana wanapata papuch bila nguvu kubwa
Wapuuzi,ndio wanaosabisha watoto wasio na malezi maana hawakawii kuzikataa mimba.maana target yao huwa papuchi tuHaaaa haa ila wanaakili mnoo...maaana wanapata papuch bila nguvu kubwa
hatari sanaYaan lile jina la umalaya kwa wanawake ni nafuu,wanaume Malaya nyie hadi mnagongwa kama wanawake hhhaaaa
Nchi changa haiwezi kuendelea kwa kutegemea PAPUCHIWapuuzi,ndio wanaosabisha watoto wasio na malezi maana hawakawii kuzikataa mimba.maana target yao huwa papuchi tu
umeona eeh ndioNchi changa haiwezi kuendelea kwa kutegemea PAPUCHI
noma sanaumeona eeh ndio
Wanaziabudu.
Nanyi mnawatazama tu?kama umekosa mpige hata na mwiko kichwani.
Miaka 50 mbali miaka kumi na tano ijayo itakuwa matatizo tutakua tunanyang'anyana makeup ndani na madukani [emoji14] [emoji14] [emoji14]
tamthilia hii nzuri sana kwa TVhahahahahahahah nyie watu yaani hapa imagni mchezo ukooo..........
mr; bby nimesema staki hiyo lotion yangu mbonaq unaimimina kwa wingi
mrs: mmmh kidogo tuu aafu, uondoke hapo kwenye dressing table na mie nikae
hahahahahahahahah kweli dunia imekwisha wazazi tuna kazi ya ziada
Sio kidogo Mungu niepushie adha hiihahahahahahahah nyie watu yaani hapa imagni mchezo ukooo..........
mr; bby nimesema staki hiyo lotion yangu mbonaq unaimimina kwa wingi
mrs: mmmh kidogo tuu aafu, uondoke hapo kwenye dressing table na mie nikae
hahahahahahahahah kweli dunia imekwisha wazazi tuna kazi ya ziada
Jamani..... Nyie wabaya. Kwanini mlimcheka mwenzenu [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Chukueni hatua muokoane, la sivyo hali si hali, kwa umbea,majungu na upashukuna sasa ndio mweeeeeh!! Yaani sijui tuelekeako itakuwaje.
Watu wenyewe mko wachache alafu tena bado eti ndsni yenu kuna wanawake[emoji134] [emoji134] sasa mnataka tujiwowe!!
tamthilia hii nzuri sana kwa TV
Haya naondoka[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji3]hahahahah atoto ntakuchapa huku umefata nini WANAWAKE MUONDOKE HUKUUUUUUUU
natamani kuongea kitu hapa ila nadhani kitabadilisha hali ya hewa humu ndani.... Ningemuelewa mtoa bandiko kama na yeye angetUambia jinsi yake.. Maana kwa bandiko hili nadhani limeandikwa na mtoto wa kike... Hakuna mwanaume lijali anayeweza kuandika hili tena katika aina ya mkono kiunoni kama mwandishi wa hili bandiko. Bujibuji ww ni jinsia gani? Tuanzie hapo
Haya naondoka[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji3]
hata ulivyo andika tu inaonekana wewe sio mwanaumeAcheni kuturudisha miaka ya nyuma Mwanaume kutumia minguvu,ukorof,ubabe na ukali wa kijnga....mwanaume wa sasa anatumia zaid akil kuish kiteknologia,,,ndio maana tulifanywa watumwa na wazungu kwa kukosa akili
Men Wa kwel Dyudyu ifanye kaz na akil kwakichwa
umeona eehh mkuu Daudi1 katika vitu navinyali ni hivyo unaanzanje kusisimuka kwa mwanaume mwenzio jamani gggghhhrrrrWanaume wanaoniboa ni hawa wanaowekwa unyumba huku ukimwita mwanaume mwenzio bebi et unamgombania mwanaume mwenzio na kumuonea wivu wa mapenz mwanaume mwenzio inauma sana
umeona eehh mkuu Daudi1 katika vitu navinyali ni hivyo unaanzanje kusisimuka kwa mwanaume mwenzio jamani gggghhhrrrr
Hbr kuhusu iringa ya kizushi mashoga wamejaa pwani kma dar na tanga mombasahata anaejihusha kwanini ujiingize katika ushoga? nilishangaa iringa unaambiwa waliojiweka wazi zaidi ya 1500 tena wanavyuo kwanini hizi tabia ipo bongo5 hii habari