Mwanaume, kiumbe adimu aliye hatarini kutoweka

Mwanaume, kiumbe adimu aliye hatarini kutoweka

Miaka 50 mbona ni mbali? Angalia nguo na sandaz wanazovaa siku hizi. Halafu wamekuwa ombaomba tu kama madem. Ngoja tuone mwisho wake...
Dah hii kweli aisee ngoja tuombe uzima ili tushuhudie yajayo.
 
Miaka 50 mbona ni mbali? Angalia nguo na sandaz wanazovaa siku hizi. Halafu wamekuwa ombaomba tu kama madem. Ngoja tuone mwisho wake...
Ha ha ha jamani shosti mie Nina bahati mbaya ya kukutana Na hao omba omba aiseee, huwa nachukia sana
 
Labda kazi yako ni kubeba zege mzee so usitake kila mtu ale dona asubuhi wakati sio official breakfast
Kumbe we ndiye hujui basi, kikawaida inabidi uanze na dozi nzito asubuhi kisha malizia na supu ya pweza as a dinner!!
 
Alafu hawa wadada wanaoponda vidume humu ni wasa.ga.ji yaani ni shida tupu miaka michache ijayo wataoana wenyewe tu. Wamekubuhu sana ganzi kibao
 
Tatizo ni kwamba maisha yamebadilishwa na teknolojia.... then wanawake wengi hawajabadilika kifikra.... Hapohapo Wanataka waishi maisha ya sasa ila yenye ukale mwingi hasa ule unao wa favor. Kwa upande wa pili wanaume nao wamebadilika ila si kwa matakwa yao wamebadilishwa na dunia bila wao kutaka.. hivyo wanacho demand ke kutoka kwa wanaume unakuta hawawezi kuwatimizia.
Hapa ndipo tatizo linapotokea ....... Suala la msingi ni wanaume waamue kubadilika kwa hiari yao na ke waamue kuuacha maisha ya usasa yanye ukale mwingi.
 
Achana na binadamu mwenye vichwa viwili, weekend iwe muruwa wakati kila kitu chake kimemkwamia na si ajabu akaanza kula sembe
Hii thread aione Judith Wambura aka Lady jay D. Huyu dada weekend yake itakuwa murua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom