Mwanaume, kiumbe adimu aliye hatarini kutoweka

Mwanaume, kiumbe adimu aliye hatarini kutoweka

ILA NIMESHANGAA MAANA WANAWAKE WANAKUJA JUU KWENYE KARIBIA KILA NYANJA.SINA TATIZO NA HILO BUT TATIZO NAINA WANAUME WANA SHRINK KILA UITWAO UCHAO. KUINUKA KWA WANAWAKE HAKUPASWI KUWA KUSINYAA KWA WANAUME
 
Mnalaumu nini wakati Haya ni matokeo ya malezi yenu mabovu? Ndio tatizo letu kubwa, kuangalia matokeo badala ya kuangalia wapi tatizo limeanzia.
Jaribu kuangalia jinsi wazazi wa leo wanavyolea watoto wao, vyakula wanavyowapa, nguo wanazowanunulia, jinsi waavyowa introduce kwenye ulimwengu wa teknohama.
Msiwalaumu watoto wenu kwa tabia za ajabu walizo nazo, jiangalieni jinsi mnavyowakuza, after all...most of you are parenting now!! Labda kwa baadhi ya wale wanaokula ujana wakati ngozi imeshajikunja kwa uzee.
 
Kiumbe mwanaume, haimaanishi tu kuwa na uume, ila ni zaidi ya uume.
Mwanaume wa Leo anatafuta jimama limlee...... huyo sio mwnaume
Mwanaume kutumia mkorogo, wewe sio mwanaume kaanzishe jinsia yako
Mwanaume kukaa vijiweni kupiga majungu, umbea na usengenyaji, dumme ,zima unampiga majungu binti, wewe si mwanaume, katafute jinsia yako.
Dume zima umewekwa kinyumba na mwanaume mwenzako, wewe ni baba yake mkubwa shetani
Duuh kweli kabisa
 
Acheni kuturudisha miaka ya nyuma Mwanaume kutumia minguvu,ukorof,ubabe na ukali wa kijnga....mwanaume wa sasa anatumia zaid akil kuish kiteknologia,,,ndio maana tulifanywa watumwa na wazungu kwa kukosa akili
Men Wa kwel Dyudyu ifanye kaz na akil kwakichwa
Kwani kujichubua, kupiga stori vijiweni, kupiga selfies, kuvaa mlegezo etc ndio akili?
 
ila haka ka wanaume kuvaa chupi za wake zao kapojeeeeeee maana kamezidi vile majuzi kuna workmate ile kuinama kajipigilia kufuri la mke wake wote chekooooooooo
Ni ushetani w ambao hautasamehewa na Mungu milele zote maana amekataza tusivae mavazi yasiyopendezwa kwa jinsia pinzani(kike) na wala Mwanamke asivae mavazi ya kiume.
 
Huo ujuzi wenu ndiyo kila kukicha ni vilio tele kwenye nyuzi za hapa JF nakati Baba na Babu zenu walitumia nguvu hizo hizo lakini ndiyo waliodumu miaka mingi na kwa uaminifu mwingi katika mahusiano yao?

Jiongeze kichwani kwa kujitathmini huo msemo wako kama unaakisi uhalisia katika mahusiano mazuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom