Mwanaume, kiumbe adimu aliye hatarini kutoweka

Mwanaume, kiumbe adimu aliye hatarini kutoweka

Haya yote yanaanza ndani ya familia.Hao mnaowasimanga ndio kaka zenu wadogo zenu na watoto wenu.

Mwanao wa miaka mitano analia unamnunulia lollipop.una kitoto kichanga cha kiume unakivisha nguo za kike eti sababu aliemtangulia alikuwa wa kike bado hujamnunulia avae kwanza za ddke.

Enzi zile watoto wakilia wanapewa mbegu za maboga au arizeti.hahahaaaa.
 
Nashukuru Mleta mada umekuja na bandiko lenye mashiko juu ya sisi wanaume Naumia sana nionapo mwanaume wanavaa vinguo vya kubana mapaja na kutumia vipodozi vya kike lkn nashukuru me umri wangu ushaanza kunitupa mkono now
 
mkuu acha wajichekeche wenyewe tubaki wenyewe tule papuchi kwa mafungu.si tupo wachache bidhaa inapokuwa chache hutafutwa kwa uhitaji mkubwa.
Mkuu ukiacha mashoga haaa wwngine wote pia ni wala papuch tuuu....
 
Nashukuru Mleta mada umekuja na bandiko lenye mashiko juu ya sisi wanaume Naumia sana nionapo mwanaume wanavaa vinguo vya kubana mapaja na kutumia vipodozi vya kike lkn nashukuru me umri wangu ushaanza kunitupa mkono now
Kweli mkuuu,
Haya mambo yanasikitisha mno...
 
Hahahahaha natafuta mwanaume wa kunipa dudu aiyaa njooni mnipige na mwiko kichwani
 
Khaaaah eti "mpige hata na mwiko kichwani" itabidi tuanze kutembea na miko kwenye mikoba.
Si ndio silaha zenu za karibu hizo kiukweli wanatudhalilisha sana nampongeza sana mleta uzi je weye utakubali kuwa na mtu ambae haelewiki?
 
Si ndio silaha zenu za karibu hizo kiukweli wanatudhalilisha sana nampongeza sana mleta uzi je weye utakubali kuwa na mtu ambae haelewiki?
Chukueni hatua muokoane, la sivyo hali si hali, kwa umbea,majungu na upashukuna sasa ndio mweeeeeh!! Yaani sijui tuelekeako itakuwaje.

Watu wenyewe mko wachache alafu tena bado eti ndsni yenu kuna wanawake[emoji134] [emoji134] sasa mnataka tujiwowe!!
 
Chukueni hatua muokoane, la sivyo hali si hali, kwa umbea,majungu na upashukuna sasa ndio mweeeeeh!! Yaani sijui tuelekeako itakuwaje.

Watu wenyewe mko wachache alafu tena bado eti ndsni yenu kuna wanawake[emoji134] [emoji134] sasa mnataka tujiwowe!!
Nyinyi ndio muongoze vita khasa kwa hilo la kujioa cha muhimu tushirikiane ili mapambano yazae matunda inasikitisha sana graph ya wanamume inashuka kwa kasi ya usein bolt.
 
ila haka ka wanaume kuvaa chupi za wake zao kapojeeeeeee maana kamezidi vile majuzi kuna workmate ile kuinama kajipigilia kufuri la mke wake wote chekooooooooo
Jamani..... Nyie wabaya. Kwanini mlimcheka mwenzenu [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Mwanaume Busy ukiamka ukilala instagram na facebook kutupia vipicha vya selfie
Sio mbaya kupiga picha labda useme kuna aina za picha hupendi mwanaume apige.Alafu hizi tecs au apps hazipo kwa ajili ya jinsia moja tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom