Mwanaume kama una tabia hizi, badilika

Mwanaume kama una tabia hizi, badilika

Kwenye X badala ya S hapo kwakwel nakuung mkono, pia mwanaum unakut anakutumia text et "mambo" daaah, huo ni ushamba sana yani, au mnakutana anakusalimia "mambo" ,, mimi kuna jamaa mmoja alkua kanipa kazi sas ile nmkutan nae aend kunionesha kazi yenyew et ananisalimia "mambo" nikamwambia huwa sijibu hiyo salamu akaniuliza kwann nkamwambia basi tuu,, siwezi kukujibu labda ubadili salamu…!!
Salamu gani sasa unataka ili na mimi tusije tukakutana nikafail stage ya kwanza tu ya salam
 
Eti mwanaume unaoga mara 5 kwa siku sasa sijui huyo dada yako yeye ataoga mara ngapi akiwa Period. ❌

Mwanaume upo room kwako eti unasikiliza nyimbo za taarabu siku nzima, woii acha ujinga na usiende Mombasa. utatuletea aibu. [emoji13]✔

Mwanaume mzima eti huna hata aibu unamtext rafiki yako wakiume unamuita My.. Khaaa.. ivi we unakili zote kweli.. [emoji23]✔

Mwanaume eti hadi umri huo hujawahi kusingiziwa hata mimba na hauna mtoto, Mi nakwambia we bado hujawa mwanaume.❌

Eti mwanaume unakuta unamfukuzia dem miezi 6 na hujawahi kumleta geto japo hata kukutembelea tu, Kudadeq badilika coz huo sio uanaume.❌

Mwanaume unakula chips kila siku bila aibu; haya we endelea tu sisi tupo na tutatoa msaada pale ambapo dem wako atatushobokea kisa haumridhishi.❌

Mwanaume upo kwenu na una miaka 28, yaani wewe ni mgonjwa kabisa. kaka ugua pole.. ✔

Mwanaume hujawahi kumtoa dem wako Out hata siku moja kisa ubahili, shauri yako sisi tupo tutamtoa tu.. na usilalamike [emoji13][emoji13]❌

Mwanaume ukipigiwa simu na dem eti unalegeza sauti sasa sijui ili iweje; Acha ujinga mwanaume ni sauti bana. koromoa kama trekta linapanda mlima acha ubwege unajishushia CV.. ✔

Mwanaume unapiga punyeto wakati Tanzania ina wasichana zaidi ya milioni 20. Hakika wewe ni mpumbavu hata ukinichukia ndo nishasema .. [emoji39]✔

Jamani uanaume sio mchezo uanaume ni kazi.

Mtihani ulikuwa na maswali 10 umepata 5 umekosa 5 soma kwa bidii paper ijayo upate maksi zote

❌=pumba
✔=points
 
Eti mwanaume unaoga mara 5 kwa siku sasa sijui huyo dada yako yeye ataoga mara ngapi akiwa Period.

Mwanaume upo room kwako eti unasikiliza nyimbo za taarabu siku nzima, woii acha ujinga na usiende Mombasa. utatuletea aibu. [emoji13]

Mwanaume mzima eti huna hata aibu unamtext rafiki yako wakiume unamuita My.. Khaaa.. ivi we unakili zote kweli.. [emoji23]

Mwanaume eti hadi umri huo hujawahi kusingiziwa hata mimba na hauna mtoto, Mi nakwambia we bado hujawa mwanaume.

Eti mwanaume unakuta unamfukuzia dem miezi 6 na hujawahi kumleta geto japo hata kukutembelea tu, Kudadeq badilika coz huo sio uanaume.

Mwanaume unakula chips kila siku bila aibu; haya we endelea tu sisi tupo na tutatoa msaada pale ambapo dem wako atatushobokea kisa haumridhishi.

Mwanaume upo kwenu na una miaka 28, yaani wewe ni mgonjwa kabisa. kaka ugua pole..

Mwanaume hujawahi kumtoa dem wako Out hata siku moja kisa ubahili, shauri yako sisi tupo tutamtoa tu.. na usilalamike [emoji13][emoji13]

Mwanaume ukipigiwa simu na dem eti unalegeza sauti sasa sijui ili iweje; Acha ujinga mwanaume ni sauti bana. koromoa kama trekta linapanda mlima acha ubwege unajishushia CV..

Mwanaume unapiga punyeto wakati Tanzania ina wasichana zaidi ya milioni 20. Hakika wewe ni mpumbavu hata ukinichukia ndo nishasema .. [emoji39]

Jamani uanaume sio mchezo uanaume ni kazi.
Halaf mwanamme mzima kukaa kibarazani kuwananga wanaume wenzio JF nako siyo tabia nzuri...BADILIKA Mzeya!
 
Unataka bifu na [HASHTAG]#wanaume wa dar[/HASHTAG] au sio
 
Na wale wanaotumia maneno kama ' si kwa mwendo huo' Mungu anakuona na maneno mengine ya kishosti. Wengine wanatumia emoji za vidole juu daah huwa nawatafakari sana.
 
Kupiga picha unaeka edit za kipuuzi sijui Mara 360 huku umebinua vimdomo wewe ni bonge la choko
 
Eti mwanaume unaoga mara 5 kwa siku sasa sijui huyo dada yako yeye ataoga mara ngapi akiwa Period.

Mwanaume upo chumbani kwako eti unasikiliza nyimbo za taarabu siku nzima, woii acha ujinga na kwanini usiende Mombasa. utatuletea aibu. [emoji13]

Mwanaume mzima eti huna hata aibu unamtext rafiki yako wakiume unamuita My.. Khaaa.. ivi we unakili zote kweli.. [emoji23]

Mwanaume eti hadi umri huo hujawahi kusingiziwa hata mimba na hauna mtoto, Mi nakwambia we bado hujawa mwanaume.

Eti mwanaume unakuta unamfukuzia dem miezi 6 na hujawahi kumleta geto japo hata kukutembelea tu, Kudadeq badilika coz huo sio uanaume.

Mwanaume unakula chips kila siku bila aibu; haya we endelea tu sisi tupo na tutatoa msaada pale ambapo dem wako atatushobokea kisa haumridhishi.

Mwanaume upo kwenu na una miaka 28, yaani wewe ni mgonjwa kabisa. kaka ugua pole..

Mwanaume hujawahi kumtoa dem wako Out hata siku moja kisa ubahili, shauri yako sisi tupo tutamtoa tu.. na usilalamike [emoji13][emoji13]

Mwanaume ukipigiwa simu na dem eti unalegeza sauti sasa sijui ili iweje; Acha ujinga mwanaume ni sauti bana. koromoa kama trekta linapanda mlima acha ubwege unajishushia CV..

Mwanaume unapiga punyeto wakati Tanzania ina wasichana zaidi ya milioni 20. Hakika wewe ni mpumbavu hata ukinichukia ndo nishasema .. [emoji39]

Jamani uanaume sio mchezo uanaume ni kazi.
daaaah!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom